Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Shida ni mwanamke mmoja eti ye kujiona mzuri kuliko wanawake wote
Shubaamit astaghafurirah 😅
Ni wivu tuu
Shida ni mwanamke mmoja eti ye kujiona mzuri kuliko wanawake wote
Shubaamit astaghafurirah 😅
Sasa ulitaka vibaya vyote viwe vyake mkuu?.Mbona jina lake ni zuri kuliko yeye mwenyewe!?


wakawaida sana tako nahisi huwa anavaaga kigodoro, hakustahili hata kuitwa hilo jina, anastahili kuitwa chausiku, mwajuma, suzy ,nk.Ni mara kadhaa sasa namsikia diva kwenye kipindi chake redioni akisimulia stori anazokopi JF MMU bila kusema source ya info yake.
Najua na hii unaiona, work on it.View attachment 1159966
Wapare mtabaki kuwa juu![]()


Aisifye mvua.....!
Aisifye mvua.....!
Ila kweli Mane, tuchapane Tu mtumishi![]()
Elfu hamsini??? bajeti ya kunywa beer kwa siku sitoi....bora ninywe beer tu....Kazeeka Kuna umri ukifika kwa mwanamke uzee haujifichi japo waweza uficha walau kwa kuvaa Dela ,jeans ,hijabu nk.Lakini kwa hizo alizovaa tuwe wakweli ni Mzee huyo au ajuza kwa kiswahili kizuri ila Kama ana umri mdogo basi ana umbo la kizee.Hapo mahari ya milioni moja tu haipo .Mtu hata akiambiwa mahari atoe laki Tano aweza goma akasema ana elfu hamsini.
Elfu hamsini??? bajeti ya kunywa beer kwa siku sitoi....bora ninywe beer tu....
😀😀😀😀😀😀😀😀Elfu hamsini??? bajeti ya kunywa beer kwa siku sitoi....bora ninywe beer tu....
Mbona yupo uchi? believe me akiamka kwenye kile kiti utakuta MAVI
Acha uchafu unazeeka vibaya wewe
Shingo tu kaaaah...ngoja nirud kuangalia avatani kwanzaNawaza bado .kwann aliwaza kupiga picha km hii jamani.ila huyu sio mzee...amejitaabisha tu na makeup..zimemkuza zaidi .na kuna mamisuko jaman ukisuka unakuwa mzee..ww nywele unavaa blonde jaman unaweka moto kichwani
!
Alafu kuna picha insta anajiweka sio yy kbs..mfano hii hapa



Shingo tu kaaaah...ngoja nirud kuangalia avatani kwanza![]()