Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,434
- 4,671
Na lina mikunjoKumbe ndiye huyu 'tako hadi akae'
Na lina mikunjoKumbe ndiye huyu 'tako hadi akae'
Hahahaa ameondoa "TINT"......Video ya JONITA ya PINGU na DESO ft MR Blue ndio color yake halisi.Kajipiga mkono mmoja naona
Ova
Nimeasi mtumishi!!..Mtumishi "mtaabishaji"ulipotea..nadhan ulikua kwa makambi
Acha utoto mkuu!
Hayo makitu utamu wake ni akili zako. Hauwezi kuulizia utamu kwa mtu mwingine zaidi ya nafsi yako pekee, ndiyo maana yakaitwa ma falagha na yanalindwa na katiba ya nchi.
Kwa jina jingine ni mautam, lakini siyo kikolezo kama sukari ama asali uijuayo wewe.
Ushangae sasa! Vionjo hutofautiana ntu na ntu hasa inapotokea kutangulia unyanyaswaji mkubwa wa kisaikolojia kwa kuringiwa na kuzungushwa, ama kuwekewa sharti la kuhonga hela kubwa!
Hapo utaliona tamu kweli, kuliko mimi ninayesanuliwa bure na kusepa.
Kwa hiyo usije ukauliza swali hilo tena eti..... 'tamu?'.. Utamu akili zako.
Wanawake wacheze vizuri wakiwa 18 - 25 maana at 22 ndio Binti anakuwa kwenye ubora wake,Katika Age hiyo akicheza hovyo karata zake atakuja kuishia kuwa kama wakina DIVA,WEMA,UNYOYA,SHANGAZI EZEKIEL,WOPA etc AKishacheza karata vibaya kwenye umri wa 18-25 basi nafasi ya pili ya kujirudi na kujitunza/Kujimaintain/Kujing'arisha basi ataenda hadi 30 akishavuka 30 basi ajiandae kwa UZEE....Kwa Mwanaume ukishafika 45 basi ushazeeka.Kazeeka Kuna umri ukifika kwa mwanamke uzee haujifichi japo waweza uficha walau kwa kuvaa Dela ,jeans ,hijabu nk.Lakini kwa hizo alizovaa tuwe wakweli.Ni Mzee huyo au ajuza kwa kiswahili kizuri ila Kama ana umri mdogo Basi ana umbo la kizee.Hapo mahari ya milioni Moja tu haipo .Mtu hata akiambiwa mahari atoe laki Tano aweza goma akasema ana elfu hamsini.
Nimeasi mtumishi!!
Kwa umri wao hao uliowataja na huyu vijana hujitahidi kuwakwepa.Ukiona hawa wakiwa na wapenzi mara nyingi huwa ni na watu wazima tu ambao huwachezea na kuwatupa huko Sio wa kuwaoa.Kuna umri mwanamke ukifika Kama ulivyosema hata ajipodoe vipi akeshe saluni mwili huendesha mgomo wa kukataa kukubali kuwa uonekane haujazeeka.Wanawake wacheze vizuri wakiwa 18 - 25 maana at 22 ndio Binti anakuwa kwenye ubora wake,Katika Age hivyo akicheza hovyo karata zake atakuja kuishia kuwa kama wakina DIVA,WEMA,UNYOYA,SHANGAZI EZEKIEL,WOPA etc AKishacheza karata vibaya kwenye umri wa 18-25 basi nafasi ya pili ya kujirudi na kujitunza/Kujimaintain/Kujing'arisha basi ataenda hadi 30 akishavuka 30 basi ajiandae kwa UZEE....Kwa Mwanaume ukishafika 45 basi ushazeeka.
Usinichape bwana, au tuchapateNtakuchapa mtumishi..shida nn..usiasi km mm bwana




Kabisa Wanawake wanawahi Kuzeeka!!Kwa umri wao hao uliowataja na huyu vijana hujitahidi kuwakwepa.Ukiona hawa wakiwa na wapenzi mara nyingi huwa ni na watu wazima tu ambao huwachezea na kuwatupa huko Sio wa kuwaoa.Kuna umri mwanamke ukifika Kama ulivyosema hata ajipodoe vipi akeshe saluni mwili huendesha mgomo wa kukataa kukubali kuwa uonekane haujazeeka.
Mwili.wa mwanamke akizeeka hata apige picha kwa pozi ipi ya staili gani lazima mwili uonyeshe picha halisia ya uzee Kama hiyo picha inavyojionyeshakumbe ni mzee.
Saluni zinaficha mengi siku mfano zipigwe marufuku na hayo mawigi utashangaa Wanawake vikongwe wenye sura mbaya walivyo wengi kwenye nchiBila makeup na mawigi bongo wote ni masela mbona.....
Diva mwenyewe ndo huyo kumbe muguu yote ya kushoto kama ya wanawake wa kichagaNi mara kadhaa sasa namsikia diva kwenye kipindi chake redioni akisimulia stori anazokopi JF MMU bila kusema source ya info yake.
Najua na hii unaiona, work on it.View attachment 1159966
Hahaha akipita humu anaweza jinyonga 😅Anawekaga na iris ya bandia...hatari tupu
Mm sijasema mby lakini..ila nimedokeza tu anawekaga hzo makituHahaha akipita humu anaweza jinyonga 😅
Yes sio mbaya ila ni mubayaMm sijasema mby lakini..ila nimedokeza tu anawekaga hzo makitu
Yes sio mbaya ila ni mubaya
Shida ni mwanamke mmoja eti ye kujiona mzuri kuliko wanawake woteBamutu ya kongo wewe😅