Diva wa Clouds FM, ukikopi story JF u-acknowledge source

Diva wa Clouds FM, ukikopi story JF u-acknowledge source

usikute anayendika hizo story humu ni yeye!
 
Nawaza bado .kwann aliwaza kupiga picha km hii jamani.ila huyu sio mzee...amejitaabisha tu na makeup..zimemkuza zaidi .na kuna mamisuko jaman ukisuka unakuwa mzee..ww nywele unavaa blonde jaman unaweka moto kichwani!
Alafu kuna picha insta anajiweka sio yy kbs..mfano hii hapa
Ni mzee ila inategemea anaesema ivo ni nani

Mfano kama wewe ni above 30 huwezi sema huyu ni mzee
 
..wewe fanya tutimize azma yetu ya kunikumbatia mtumishi, zizini nimeshatoka mda siwezi hata kujirudisha mwenyewe


Bas unahitaji maombi...hahaa yataanza ijumaa rasmi..tunafunga na kuomba..na ili kufanya maombi ya cemented kbs nitambulishe kwa my wife wako kbs mm ni mwinjilist nakuja dar kuuza vitabu..nahitaj kufikia kwako😅😅..usk tukeshe kwenye maombi
 
Bas unahitaji maombi...hahaa yataanza ijumaa rasmi..tunafunga na kuomba..na ili kufanya maombi ya cemented kbs nitambulishe kwa my wife wako kbs mm ni mwinjilist nakuja dar kuuza vitabu..nahitaj kufikia kwako..usk tukeshe kwenye maombi
 
mimi siwez sema ni mzee..ila makeup zimemkomaza...huyu hana hata mtoto m1..kama kangefanyika vimashindano vya hapa na pale wakawekwa na walozaa huyu anaachwa mbali kbs...
Sio make up tu, huyu hana sura kabisa.. Kwenye instagram uko ni filters tupu.. Alafu anafake sana... Unajua kitu kinachoshangaza ukimuona instagram ni mzuri kidogo.. ila kutana nae live sasa...
 
Sio make up tu, huyu hana sura kabisa.. Kwenye instagram uko ni filters tupu.. Alafu anafake sana... Unajua kitu kinachoshangaza ukimuona instagram ni mzuri kidogo.. ila kutana nae live sasa...

hahahaa yes kule ni filters balaa inboa balaa yaan
 
...ntakuja ñimejiandaa mno mno..vitabu kama vyote.....hahajaa ..ila ntabeba na asali..kwa utakatifu zaidi..
Njoo mtumishi, huku najiandaa kwa upako uliotukuka. Uje na naipenda sana. Una vitu adimu huwa najiandaa kuvipata, nataka kupata neno
 
Njoo mtumishi, huku najiandaa kwa upako uliotukuka. Uje na naipenda sana. Una vitu adimu huwa najiandaa kuvipata, nataka kupata neno


😂😂😂Asali inafukuza mashwetan..ikitumiwa ipasavyo😂😂😂!

khanga nyepesi/mtandio, na pipi kifua siwez acha kwa ajili ya kukamilisha package nzima...!😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom