Diva wa Clouds FM, ukikopi story JF u-acknowledge source

Diva wa Clouds FM, ukikopi story JF u-acknowledge source

Wekeni na sura zenu sio kumponda tu diva! Wengine humu mna sura kama vigagula! Dadeki
 
Ni mara kadhaa sasa namsikia diva kwenye kipindi chake redioni akisimulia stori anazokopi JF MMU bila kusema source ya info yake.

Najua na hii unaiona, work on it.View attachment 1159966
Nyie mnaangalia shingo,sijui makalio.Wengine tunaangalia kama matundu matatu yapo,kila tundu linakazi yake.kama anayo baso ni mzuri na ni kiumbe kamili.
 
Hivi huyu diva mnasema ni mbaya mkimlinganisha na nani??

Acheni hizo bhana..semeni ni ordinary tu..
 
what the hell is this creature?, anapiga kiswakinge sana huyu utafikiri katoka USA leo lakini kwa0 tandale
 
Naumia moyoni Jonitha, mwenzio sikuoni Jonitha , naumia moyoni Jonithaaa Jon Jon Jonithaaaaa🎧
 
Wakuu mada ni ipi maana kinachochangiwa ni tofauti na uzi..... au nipo jukwaa la picha
 
1711AD18-2863-4B55-A306-73F3C581DE8D.jpeg


Wakuu mbona nimepitia picha zake ana tako..... au ni masponchi 😀😀😀
 
Back
Top Bottom