Diva wa Clouds FM, ukikopi story JF u-acknowledge source

Diva wa Clouds FM, ukikopi story JF u-acknowledge source

Watu wa humu Jf mmeshaanza kuwa wachawi sasa,nyie wenyewe story za ku-iba and U don't show sources,kitu hicho akifanya mwingine mnajifanya mnaka-sirika na mnataka aseme sources haya ndio mambo ya Wanasiasa.
Any way life Goes bana,
 
Watu wa humu Jf mmeshaanza kuwa wachawi sasa,nyie wenyewe story za ku-iba and U don't show sources,kitu hicho akifanya mwingine mnajifanya mnaka-sirika na mnataka aseme sources haya ndio mambo ya Wanasiasa.
Any way life Goes bana,
 
kumbe ni mzee.
Kazeeka Kuna umri ukifika kwa mwanamke uzee haujifichi japo waweza uficha walau kwa kuvaa Dela ,jeans ,hijabu nk.Lakini kwa hizo alizovaa tuwe wakweli ni Mzee huyo au ajuza kwa kiswahili kizuri ila Kama ana umri mdogo basi ana umbo la kizee.Hapo mahari ya milioni moja tu haipo .Mtu hata akiambiwa mahari atoe laki Tano aweza goma akasema ana elfu hamsini.
 
Back
Top Bottom