ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,370
- 118,760
Hahahaha, manee! Hivyo vitabu tutasoma usiku kucha, na hivi nina uchu wa kusoma, sijasoma mdaaa! Khanga nyepesi inatosha sana, natokwa udenda sanaa!!Asali inafukuza mashwetan..ikitumiwa ipasavyo
!
khanga nyepesi/mtandio, na pipi kifua siwez acha kwa ajili ya kukamilisha package nzima...!![]()


