Diva wa Clouds FM, ukikopi story JF u-acknowledge source

Diva wa Clouds FM, ukikopi story JF u-acknowledge source

Asali inafukuza mashwetan..ikitumiwa ipasavyo!

khanga nyepesi/mtandio, na pipi kifua siwez acha kwa ajili ya kukamilisha package nzima...!
Hahahaha, manee! Hivyo vitabu tutasoma usiku kucha, na hivi nina uchu wa kusoma, sijasoma mdaaa! Khanga nyepesi inatosha sana, natokwa udenda sanaa!!
 
Sio make up tu, huyu hana sura kabisa.. Kwenye instagram uko ni filters tupu.. Alafu anafake sana... Unajua kitu kinachoshangaza ukimuona instagram ni mzuri kidogo.. ila kutana nae live sasa...
Anaweka picha za watu wengine
 
Amejikunja style zote mayai yamemgomea kabisa
Hayo mayai anayo? Kuna wengine wakiwa kwenye soko wanawaka si tu hutoa mimba Bali pia huchomoa na kizazi na kutupia paka wale kizazi kikichochomolewa ili wale bata wakidhani watabaki navuzuri hewani au mawinguni milele Kama konki konki
 
Humu wadau wameshalisema hilo tangu miaka ya nyuma lakini bado anaendeleza.. hasikiii huyo..
 
@Mods hembu piteni huku haraka muokeo maisha,
hz comments humu zinaweza sababisha mtu ajinyonge,

kama unawenge ukiona demu wako anapondwa hv haki hata km umetoa mahali, unaingia mitini.

Anyway ana masikio km ya Polepole
 
Back
Top Bottom