Dirisha la rufaa HELSB 2019/20 (Appeal window)

Dirisha la rufaa HELSB 2019/20 (Appeal window)

Kuna aliye fanikiwa ku verify hizi steps, kwangu bi step moja tu ya demographic information inaweka green, zingine ziko yellow nabnashindwa ko comfirm maana hamna hiyo option
IMG_20191114_142134.jpg
 
wakuu samahan mbona taarifa zangu nimejaza kwa usahihi lakini bado inaonyesha yellow sehemu nyengine?
20191114_152724.jpeg
 
Ilo tatizo adi mimi nashindwa endelea sasa sijui wanatufanyia kusudi ili ifike deadline tuwe tumekosa
1573734971686.jpeg
 
Mimi binafsi, nimetokea kuichukia Sana serikali
 
Wadau naomba ufafanuzi apo wametuambia tuambatanishe form page namba tatu ya maombi ya rufaa iyo form inapatikana wapi
Screenshot_20191115-122512.jpeg
 
Wengine wanaam iwa page 2 wengine page 3, halafu hiyo appeal form sehemu ya ku download haionekani
 
Mkuu hadi hapa nimesha give up kabisa.Mwaka Jana nilikosa mkopo nikaahirisha hadi this year but na mwaka huu batch zote vilevile zimeniacha.Sijawasili chuoni hadi sasa na sina kingine cha kufanya zaidi ya kubaki nyumbani hadi mwakani nijaribu tena.Mustakabali wangu wa elimu hadi sasa siuelewi,nyumbani life ngumu ela hakuna,yaani kila kitu naona kinageuka dhidi yangu.Siko happy na haya maisha kabisa.
kama upo Dar fanya transfer chuo ulichokuwa admitd kwenda TIA hawa jamaa wanakusajili bila hata ya kulipa ada. unalipa registration cost tu elfu 85
 
Akaunt zote ndo HVO MKUU auwez ukakuta uko log out MKUU utakikuta kipengele cha kukata rufaa kabla ujaingia kwa akaunt yako
 
Back
Top Bottom