Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,637
- 2,459
pole yetu ss watoto wa mamantilie
dirishani siyo
Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu (HELSB) inatarajia kufungua dirisha la rufaa kwa wanafunzi waliokosa mikopo pamoja na wale wanaohisi kupata asilimia kidogo kwenye awamu zilizopita.
Dirisha hilo linatarajiwa kufunguliwa kuanzia tarehe 13/11/2019 hadi tarehe 23/11/2019.
View attachment 1260482
hata ukiwa nyumbani, si ulishawahi kuona muhukumiwa anakatia rufaa sebuleni kwakeKama auja report chuo unaeza appeal au nikwa walio chuo tayari
sasa unadhani unamkomoa nani?duh kamq mmm cipotez mdah kuapply wawape watoto wa shangaz zao ccc watoto wa mama ntilie tunaenda vuta bangi tuwasubir uswazi tuwakabe2
siyo lazima wote msome nchii Ina wasomi wengi na ipo chini kiuchumi wacha tujaribu msemo Wa wahenga "UKIWA UNAONA ELIMU NI GHALI ,BASI JARIBU UJINGA"pole yetu ss watoto wa mamantilie
Mkuu force ivo ivo Mungu yupo.Mkuu hadi hapa nimesha give up kabisa.Mwaka Jana nilikosa mkopo nikaahirisha hadi this year but na mwaka huu batch zote vilevile zimeniacha.Sijawasili chuoni hadi sasa na sina kingine cha kufanya zaidi ya kubaki nyumbani hadi mwakani nijaribu tena.Mustakabali wangu wa elimu hadi sasa siuelewi,nyumbani life ngumu ela hakuna,yaani kila kitu naona kinageuka dhidi yangu.Siko happy na haya maisha kabisa.
Kama vipo basi hakikisha una vi certify RITA kabla ya ku upload, kama hamna uende ofisi za usajili wa vizazi na vifo ila kule itakuchukua muda mrefu kidogo sababu lazima wahakiki taarifa kama kweli wahusika wamefariki na watahitaji vithibitisho kama Burial permit kutoka kwa daktarinijaribu kuambatanisha je naweza pata mkopo maana kozi niliyochaguliwa ni bachelor of arts with education nataka nifanye mishe niambatanishe na vyeti vya vifo je naweza fanikiwa?
Ndo unamaanisha nn,hata ukiwa nyumbani, si ulishawahi kuona muhukumiwa anakatia rufaa sebuleni kwake
We umepata admission chuo gani boss?. Yawezekana hawana admission details zako au kuna taarifa zako wamehisi zina udanganyifu fanya kuwasiliana naoHivi sisi tulioandikiwa "you're not eligible for appeal" wanamaanisha nini msaada tafadhali.
Saut mwanza mkuuWe umepata admission chuo gani boss?. Yawezekana hawana admission details zako au kuna taarifa zako wamehisi zina udanganyifu fanya kuwasiliana nao
kuwa eligible maana yake wanaogopa utatumia vibaya hela Una tamaa wewe
Hivi sisi tulioandikiwa "you're not eligible for appeal" wanamaanisha nini msaada tafadhali.
nenda bomani vinatolewahivi nikifanya harakati naweza pata vyeti vya vifo kweri?
Pole sana ndugu, jaribu kuwatafuta kwa simu au kwenda ofisini ili ujue reason za kuwa rejected ku appeal. Mi mwenyewe nimecheza kamali tu hapa dogo hajafanya registration halafu pia system yao ina changamoto una comfirm taarifa unapata green tock uki lovin badae unakutana na yellow tena.Saut mwanza mkuu
Nashukuru nimewapata, nilifanya correction trh 4 October nika'comfirm lakini wao wanasema bado hawaja"verify mpaka jumamosi ndio nitakuwa verified.Pole sana ndugu, jaribu kuwatafuta kwa simu au kwenda ofisini ili ujue reason za kuwa rejected ku appeal. Mi mwenyewe nimecheza kamali tu hapa dogo hajafanya registration halafu pia system yao ina changamoto una comfirm taarifa unapata green tock uki lovin badae unakutana na yellow tena.
Mkuu hadi hapa nimesha give up kabisa.Mwaka Jana nilikosa mkopo nikaahirisha hadi this year but na mwaka huu batch zote vilevile zimeniacha.Sijawasili chuoni hadi sasa na sina kingine cha kufanya zaidi ya kubaki nyumbani hadi mwakani nijaribu tena.Mustakabali wangu wa elimu hadi sasa siuelewi,nyumbani life ngumu ela hakuna,yaani kila kitu naona kinageuka dhidi yangu.Siko happy na haya maisha kabisa.