Dirisha la rufaa HELSB 2019/20 (Appeal window)

Dirisha la rufaa HELSB 2019/20 (Appeal window)

tushakata tamaa na mambo ya loan board kama me nshabeba mabegi narudi nyumbani kuenda saidiana na wazazi kuuza karanga mkono uende kinywan kusoma si haki ya kila mtanzania makelele tunaloyasikiaga kwa viongozi wetu wawapo majukwaaani ni ng'onjera za abunuasi tu awana lolote pusi tu
 
Mwaka Jana nilikosa nikaenda mpaka chuo nikasajiliwa maisha ya umaskini yakanishinda chuoni nikarudii kitaa kupambana nikasema ningoje mwaka huu mwaka huu pia nimeomba nimekosa nimeingia kwenye kukataa rufaa nikifika kipengele cha appeal reason nikiweka cheti na kuzaliwa na kupreview nikisubmit tu mitambo yao inaniambia sijaweza appeal reason nimeshajitahidi mpaka nimechoka hakuna namna acha niendelee kugangaa njaa kitaani si wameamuwa kutunyima sijui wengine sisi ni wakongo sio watanzania hii ni nchi yangu naipenda sana ila ukweli kusema Hanna serikali naichukia hapa duniani kama hii
 
Lazima uweke cheti cha kuzaliwa na other reason ndo ita kubari...iyo other reason kama huna.. nenda ata kwa mtendaji wa mtaa aku andikie ata barua inayo onesha hali halisi ya familia yenu na muhuri theni ndo ui aproad apo kwenye other reasoni



Pia uki aproad preview ita goma ila submit ivyo ivyo tu..ukisha submit ndo ui preview tena ku hakikisha kama ndo yenyewe theni ndo uta confirme



Sorry kama uandishi wangu uta wapa shida
Mwaka Jana nilikosa nikaenda mpaka chuo nikasajiliwa maisha ya umaskini yakanishinda chuoni nikarudii kitaa kupambana nikasema ningoje mwaka huu mwaka huu pia nimeomba nimekosa nimeingia kwenye kukataa rufaa nikifika kipengele cha appeal reason nikiweka cheti na kuzaliwa na kupreview nikisubmit tu mitambo yao inaniambia sijaweza appeal reason nimeshajitahidi mpaka nimechoka hakuna namna acha niendelee kugangaa njaa kitaani si wameamuwa kutunyima sijui wengine sisi ni wakongo sio watanzania hii ni nchi yangu naipenda sana ila ukweli kusema Hanna serikali naichukia hapa duniani kama hii
 
Ila bodi ya mikopo nadhani kuna matatizo wanayo haiwezekani uwambie watu wakate rufaa ndipo uwape mkopo wakati ili kuwa ni haki yao kupewa kama pesa zipo si wawape tu watu wakasomee sasa MTU akate rufaa tena na kama hawataki kuwapa wawambie tu hii nchi bora hat mwaka mmoja uongozi ubadilike kuliko huuu upuuzi wanaotufanyia MTU ni mtanzania umesoma shule za serikali mwanzo mwisho familia yako haina uwezo Ila bado unakuwa hujakizi vigezo Ila kuna mtoto wa tajiri kasoma private mwanzo mwisho eti yeye kapata mkopo hiii serikali inatufugia hasira moyoni IPO siku itatutoka tu hiyo hasira MTU unakosa mkopo miaka miwili mfululizo
 
Hamna kitu kinauma kama ukikumbuka mazingira magumu uliyosoma halafu ukajitaidi kuwa IPO siku ndoto yako itatimia acha uvumilie halafu unafika mwishoni HIVi hivi ndoto yako inakatishwa Mimi sasa hivi ndoto naamini kuwa ndoto yangu ya kuwa doctor ndio imeishia hapa nwak Jana nilijua ni bahati mbaya tu kukosa ila na mwaka huu tena ndio nimekubali ndoto imekufa
 
Back
Top Bottom