Dini zinavyoharibu watu akili

wanaotoa elimu ndio huharibu maana nyingi za dini ya uislamu,Mungu ameitumia lugha ya kiarabu ili iwe rahisi kuelewa wale wanaofikishiwa (lugha ya kiarabu imejitosheleza kimaana,hakuna neno la kiarabu lenye maana zaidi ya moja MF.kama "njoo" Basi "njoo" hakuna neno lingine utalitumia lenye maana sawa na "njoo")na ili kusiwe na mkanganyiko wa maana Kama ambao upo kwa Sasa na kugawa dini katika madhehebu mengi Hali ya kuwa wote NI wa dini Moja ,kinachowatenganisha hakuna zaidi ya kila mmoja kuelewa na kuamini katika kile alichokisoma,

na kuhusu kiarabu lugha ya peponi Mimi MWENYEWE napinga ,na kwa Sasa Kuna misahafu iliyotafsiriwa Kama kiarabu hujui Basi Soma neno la Mungu kwa kiswahili na kujua ametuamrisha Nini na ametukataza Nini..MUNGU ANASIKIA LUGHA ZOTE

nimechambua kulingana na imani yangu ambayo nimechagua ukienda mbali na nje ya imani nitaunga mkono asilimia Mia hoja yako[emoji120][emoji120]
 
Muislamu, Jifunze Kiarabu Achana na Kiingereza. Peponi Lugha ni Kiarabu tu

View attachment 2309809

Na Wakristu nao tunajua historia ya Israeli na vizazi vyake kuliko hata historia ya mataifa yetu.

Tunalazimika kusheherekea eti mashujaa wa imani huku tunawadharau mababu zetu kwa kuwaita mashetani na kukataa majina yao.

Dini ni adui ya Muafrika.

Mimi sitaki dini kabisa.
 
Mimi mwenyewe Jana nikiruka mpaka marekani na
Habari yako hii wewe ni ya uongo kwa sababu zifuatazo :

1. Wewe siyo muadilifu.
2. Wewe ni muongo, yaani una tabia ya uongo uongo na kubadilisha habari na maana zake, katika misingi ya elimu ya hadithi, habari zako hazifanyiwi kazi mpaka awepo au wawepo wakweli zaidi yako wawe wameelezea tukio hilo, huu ni mfano tu.
3. Wewe si nabii wala si mtume
4. Wewe ni Mshirikina.

Aisee kuna sababu nyingi mno.
 
Wengi hili hawalielewi..kila jamii ilikua na dini yake na ambao ndio utamaduni..sasa wamatumbi wakiletewa utamaduni wa wengine ndio wanaona wako peponi kumbe wanafata mila na tamaduni za wingine.

#MaendeleoHayanaChama
inahitaji mtu kusoma na kutambua hizi dini,na wengi wanachanganya utamaduni na dini ya MUNGU,ukimsoma Mungu ni wa wote ila ukiisoma dini Mungu wamemgawa
 
Ayo ni wewe unanizushia , ila nimekwambia Mimi nilipaa Jana mpaka marekani na kurudi
 
ulisoma dini hukumsoma MUNGU..
 
unaamini katika Mungu lakini[emoji41]!?
 
Kazi yangu nimemaliza. Sasa unaposema unazushiwa na huo ndiyo ukweli, wewe una matatizo ya akili.
Kwa hiyo wewe unamuamini Muhamma mtu asie muadilifu unakataa ushahidi wangu wa Mimi muadilifu
1 , Muhamma alikuwa na matatizo ya akili
2. Muhammad alioa mke wa mtoto wake wa kufikia mpaka akapiga marufuku ku adopt
3. Muhammad alimuoa mtoto Aisha miaka 6
4. Muhammad alikuwa anaua kikatili mfano yule bibi kizee alimfunga kwenye ngamia akamchana katikati
5. Muhammad aliua familia nzima na bwana harusi akachukua mke wa huyo bwana harusi akambaka

Na uchafu mwingi ambao Mimi ata ki nukta sina
 
Haya mambo yote unayoyasema hua mnafunsishwa msikitini tu, hakuna mahala pengine hua huu utaahira unasemwa. Mbaya zaidi huu ujinga unasemwa na watu wasioenda shule kabisa.

Sifa ya kwanza ya kua muumini wa hii dini ni kua mjinga ana punguani.
 
Hawa watu hawakwepeki,they are everywhere ukiwakwepa kwenye dini za uislamu na ukristo utawakuta kwny dini ya mpira,ukikwepa utumwa wa minyororo watakufanya mtumwa katika sehemu "zile"..yaani huwakwepi
 
, wewe una matatizo ya akili.
Kisai Kwa Nini unasahau Muhammad alikuwa na matatizo ya akili alikuwa na ugonjwa unaitwa schizophrenia
Soma
Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063


Schizophrenia -is a serious mental disorder in which people interpret reality abnormally. Schizophrenia may result in some combination of hallucinations, delusions, and extremely disordered thinking and behavior that impairs daily functioning, and can be disabling.
 
Mawe ya kujengea [emoji23] WTF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…