Wanahistoria nijuzeni kuhusu hili?

Wanahistoria nijuzeni kuhusu hili?

Mzigua_255

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2026
Posts
814
Reaction score
1,646
Wakuu mimi nafuatilia lugha ya kiswahili na kiarabu nakuta maneno mengi ya kiswahili yametoka Kiarabu naomba ufafanuzi wa kina sababu za lugha ya kiswahili kua na maneno mengi ambaya yametokana na lugha ya kiarabu
MFANO:

IJUMAA=jumm'at
shetani=shaitwana
jini=jinni
wasiwasi=was was
abudu=aa'bud
wala=wala
maskini=maskini
fukara=fuqarat
binti=bintu
zinaa=zinaa
haki=haqq

hayo ni mingoni mwa maneno machaeche ambayo yanafanana

WAKUU NIPENI MUONGOZO NIPATE KUELEWA TAFADHARINI SANA

nawasilisha:
 
Tusome jamani.! Kiswahili form 3 ulikua wapi
 
Waarabu walipiga kambi ndani ya Tanganyika wakaigeuza kuwa Shamba lao la kuvuna mifugo (watumwa) kwa miaka mingi tu.

Hivyo, siyo ajabu kuwa maneno mengi ya Kiswahili ni mchanganyiko wa lugha za Kibantu na Kiarabu
 
Waarabu walipiga kambi ndani ya Tanganyika wakaigeuza kuwa Shamba lao la kuvuna mifugo (watumwa) kwa miaka mingi tu.

Hivyo, siyo ajabu kuwa maneno mengi ya Kiswahili ni mchanganyiko wa lugha za Kibantu na Kiarabu
AHSANTE MKUU
 
Umejuaje kua elimu yake alifika hiyo form 3?

Kusoma ni pamoja na kujifunza kupitia kwenye mitandao kama hii,sio lazima kusoma iwe ni kwenda tu kwenye kuta za darasa,
Msaidieni mleta mada kumpa majibu kwanyinyi wenye elimu.
Sijui mimi form 2D
 
Wakuu mimi nafuatilia lugha ya kiswahili na kiarabu nakuta maneno mengi ya kiswahili yametoka Kiarabu naomba ufafanuzi wa kina sababu za lugha ya kiswahili kua na maneno mengi ambaya yametokana na lugha ya kiarabu
MFANO:

IJUMAA=jumm'at
shetani=shaitwana
jini=jinni
wasiwasi=was was
abudu=aa'bud
wala=wala
maskini=maskini
fukara=fuqarat
binti=bintu
zinaa=zinaa
haki=haqq

hayo ni mingoni mwa maneno machaeche ambayo yanafanana

WAKUU NIPENI MUONGOZO NIPATE KUELEWA TAFADHARINI SANA

nawasilisha:
Hauwezi kuandika sentensi tatu za kiswahili bila kutumia neno lenye asili ya kiarabu hata Moja .

Najua hili Galatia watapinga
 
Wakuu mimi nafuatilia lugha ya kiswahili na kiarabu nakuta maneno mengi ya kiswahili yametoka Kiarabu naomba ufafanuzi wa kina sababu za lugha ya kiswahili kua na maneno mengi ambaya yametokana na lugha ya kiarabu
MFANO:

IJUMAA=jumm'at
shetani=shaitwana
jini=jinni
wasiwasi=was was
abudu=aa'bud
wala=wala
maskini=maskini
fukara=fuqarat
binti=bintu
zinaa=zinaa
haki=haqq

hayo ni mingoni mwa maneno machaeche ambayo yanafanana

WAKUU NIPENI MUONGOZO NIPATE KUELEWA TAFADHARINI SANA

nawasilisha:
Hata hati ya kiswahili Zamani ilikuwa kiarabu , mtu ukitaka kuandika kiswahili hatutumii latin kama sasa ni mwendo wa kuandika kwa kiarabu tu , Waingereza ndio walitoa hiyo nasikia
 
Hata hati ya kiswahili Zamani ilikuwa kiarabu , mtu ukitaka kuandika kiswahili hatutumii latin kama sasa ni mwendo wa kuandika kwa kiarabu tu , Waingereza ndio walitoa hiyo nasikia
Ah wangeacha tu napenda sana kuandika kiarabu!
 
Tusome jamani.! Kiswahili form 3 ulikua wapi
Hoja ya kiswahili Kibantu ndio ilishinda form 3 , sababu Kibantu kuwa na maneno mengi zaidi , muundo wa maneno , sentesi na mnyumbuliko ni Kibantu pure .

Ila katika lugha za kigeni kiarabu ndio sehemu kubwa ya kiswahili
 
Kiswahili kilitokana na Kiarabu enzi Waarabu wamekuja kufanya biashara katika Pwani zetu hasa Afrika Mashariki.
kiswahili hakikutokana na kiarabu
kiswahili ni lugha chotara inayotaka na msamiati wa both lugha za kibantu na kiarabu.
 
Back
Top Bottom