babu kavu
Senior Member
- Jul 4, 2022
- 120
- 128
wanaotoa elimu ndio huharibu maana nyingi za dini ya uislamu,Mungu ameitumia lugha ya kiarabu ili iwe rahisi kuelewa wale wanaofikishiwa (lugha ya kiarabu imejitosheleza kimaana,hakuna neno la kiarabu lenye maana zaidi ya moja MF.kama "njoo" Basi "njoo" hakuna neno lingine utalitumia lenye maana sawa na "njoo")na ili kusiwe na mkanganyiko wa maana Kama ambao upo kwa Sasa na kugawa dini katika madhehebu mengi Hali ya kuwa wote NI wa dini Moja ,kinachowatenganisha hakuna zaidi ya kila mmoja kuelewa na kuamini katika kile alichokisoma,Ha ha ha hizi dinii hizi
Imagine ktk mafundisho ya dini Moja ya vitu ambavyo Huwa waislam wanavyo fundishwa ni kwamba lugha ya kiarabu ndio lugha Bora kuliko lugha zote Duniani hivyo basi ni lazima muislam aijue lugha hiyo Kwa sababu ndio lugha Ambayo itatumika kuzungumza siku ya kiama
Na watu Wana Amini Wana weka juhudi na maarifa katika kujifunza lugha hiyo
Masikini hawajui kuwa Wameaminishwa hivyo Ili lugha hiyo ipate kusambaa Kwa wepesi zaidi Duniani na Endapo ikisimbaa na kufika mbali zaidi itakuwa ni rahisi Kwa mataifa ya uarabuni kuweza kujitangaza kimataifa zaidi
Hawajui hata kwenda kuhiji maka ni chanzo cha mapato kwa nchi ya saudi arabia.. watu wanaoenda kuhiji wanachangia pato la taifa la saudi arabia kupitia utaliii wa kidini
Jiulize Mungu gani mbaguzi. Akupe lugha yako ya kabila lako...ila neno lake akuletee kwa lugha ya wengine
na kuhusu kiarabu lugha ya peponi Mimi MWENYEWE napinga ,na kwa Sasa Kuna misahafu iliyotafsiriwa Kama kiarabu hujui Basi Soma neno la Mungu kwa kiswahili na kujua ametuamrisha Nini na ametukataza Nini..MUNGU ANASIKIA LUGHA ZOTE
nimechambua kulingana na imani yangu ambayo nimechagua ukienda mbali na nje ya imani nitaunga mkono asilimia Mia hoja yako



!?