Dini zinavyoharibu watu akili

Dini zinavyoharibu watu akili

Sijaona tatizo la dini hapo, maana ni mtizamo tu wa Mtu kama na wewe ulivyosema kua Dini zinaharibu akili. Hivyo inabaki kua mtizamo
 
Mimi sio muumini wa Hadithi (maana zipo zinazopishana ,hazina ukamilifu)

kwanza kitu kimoja umesahau,Dini zote hizi mbili ukristo na uislamu umeanzia huko uarabuni,hivyo mitume hawakuwa na lugha ambayo wangeweza kutumia kuwasilisha kwa watu wao isipokuwa kiarabu..na Neno lilipaswa lifike duniani KOTE Sasa Kama anaenda kueneza neno la Mungu sehemu ambayo hawaijui lugha ya kiarabu anawasiliana nao vipi!?wàtajua vipi kuhusu Mungu Kama lugha hawaitambui!?

haihitaji kuwa na elimu kubwa kujua Mungu ANATAKA Nini kwa binaadamu hili NDIO kubwa..let's ask ourselves why!? and not how!??

na kwa hyo Aya uliyoitoa Bado haijaelezea kwamba Mungu anataka aombwe kwa kiarabu ,Bali ujumbe wake ufike kwa lugha hiyo ,ingekuwa mtume mzaramo Basi angemwambia azungumze nao kizaramo
Ukristo haukuanzia uarabuni, Usikariri.

Yesu hakuishi Uarabuni na wala hakuongea kiarabu. Mitume na manabii(ambao na nyinyi mnadai mnawatambua) kama kina Musa, Daudi, Suleiman etc HAWAKUONGEA KIARABU, Waliongea Kiebrania, Lugha yao ya taifa lao la Israel.

... make your facts straight
 
Ukristo haukuanzia uarabuni, Usikariri.

Yesu hakuishi Uarabuni na wala hakuongea kiarabu. Mitume na manabii(ambao na nyinyi mnadai mnawatambua) kama kina Musa, Daudi, Suleiman etc HAWAKUONGEA KIARABU, Waliongea Kiebrania, Lugha yao ya taifa lao la Israel.

... make your facts straight
ahsante kwa usahihisho,Basi hao uliowataja wote want ndani ya Quran na wote walishushiwa neno la Mungu,je walizungumza kiarabu au kiebrania!??au mkiona mtume kwenye,au KUSIKIA mtume mnajua Muhammad peke yake!?

Basi tukubaliane Mungu alishusha mitume katika mataifa mbalimbali na kwa lugha tofauti sio KIARABU TU

Kama hiyo mitume uliyoitaja hawakuwa waarabu Wala hawakuzungumza kiarabu walikuwa wanamuabudu vipi Mungu!?

narudia Tena Mungu wa waislamu ANASIKIA lugha zote
 
Sasa huyo Mungu unaemjua wewe sio wa waislam....Mungu wa waislam anasikia kiarabu TU na ukitaka kumuomba inabidi umgeukie umuangalie upande wa Mecca pale kwenye kibla.
kina nabii Issa,Mussa,Ibrahim Hawa NI waarabu na walimuomba Mungu kwa KIARABU...
 
Ktk vitu ndugu zangu waislam hawataki kuvisikia ni kuwaambia hijja ni biashara na chanzo cha mapato cha saudi arabia $20.5 bil jamaa wanaingiza kupitia hijja.

Bado kuna uvunaji wa a lot of tons za mawe ambazo huzivuna na kuzitumia kujengea miundombinu ya taifa lao kupitia ibada ya kumpiga ibis na mawe... ww hujiuliz toka watu wameaanza kurusha mawe ile sehemu haijai tu na kama inajaa yale mawe hupelekwa wapi?

!! Akili mtu wangu !!
Ni biashara halali au haramu?
 
Waislamu gani hao unao wazungumzia wewe hawataki kulisikia hili ulilo liandika, bali sisi Waislamu tunakushangaaa wewe kwa namna ulivyo kuwa mjinga.

Hija wetu sisi ni ibada na ni ibada ambayo ipo hata kabla Saudia si yenye kutajika. Ibada ambayo kwenda kwake tunapata malipo toka kwa Allah na kutii amri yake.

Kwahiyo hata wapate mapato zaidi ya hayo, sisi tunaenda kufanya ibada.
Na mawe ya kumpiga shetani huwa mnayatoa wapi?
 
Hivi sifa ya kwanza ya kua muislamu ni kusifia kiarabu ama ni nini?

Naona kama uislamu na ujinga ni kama samaki na maji.

Unasema hakuna kabila wala dini yoyote ambayo haitumii maneno ya kiarabu, unaweza kunionyesha mameno ya kiarabu kwenye lugha ya kichina ama kijapani? Ama unaweza kunipa maneo ya kiarabu kwenye kigiriki?

Unasema lugha ya kiarabu iko kwenye lugha zote Duniani halafu unatolea mfano kiswahili na kingereza, hizo ndio lugha za Dunia?

Wewe taahira hujui kua china ina namba zake mona hadi kumi ama kwa kua umekaririshwa msikitini na wajinga wenzako basi unakuja kuleta huo ujinga hapa.

Cha kukushauri, mwambieni allah ajifunze lugha nyingine, Dunia imebadilika sana abadilike, ajifunze hata kijaluo ama hata kisambaa au kijerumani.
Allah ni nani hadi ajifunze kijerumani?
 
Una ushahidi?
keep ya head up brother and think straight...Kama Mungu wa waislamu husikia KIARABU TU kina nabii I ,Mussa , Ibrahim ,Daudi na wengineo ambao hawakuzungumza KIARABU walimuabudu Mungu kwa lugha gani!?

na nikupe faida BABA WA IMANI KWA WAISLAMU NI NABII IBRAHIM,JE ALIZUNGUMZA KIARABU!?

NDIO MAANA NILIKWAMBIA MUNGU WA WAISLAMU ANASIKIA LUGHA ZOTE SIO KIARABU TU,KIKUBWA UFUATE ANAYOTAKA UFUATE NA KUYAACHA ALIYOKATAZA HAYA MENGINE NI BINAADAMU TU NA MASLAHI YAO

MWALIMU WAKO ALIPATA TABU SANA KUKUFUNDISHA
 
Ukristo haukuanzia uarabuni, Usikariri.

Yesu hakuishi Uarabuni na wala hakuongea kiarabu. Mitume na manabii(ambao na nyinyi mnadai mnawatambua) kama kina Musa, Daudi, Suleiman etc HAWAKUONGEA KIARABU, Waliongea Kiebrania, Lugha yao ya taifa lao la Israel.

... make your facts straight
(ambao nyinyi mnadai mnawatambua)
 
Mm mambo ya dini nilishaachana nayo toka nijue yaliyo nyuma ya dini.!!! Na nmekuwa nikiishi vzr sana sina ubaguzi wa kuwabagua watu kwa dini zao, kabila zao wala tamaduni tofauti na huko nyuma nilivyokuwa mfia dini...!!!

Sasa hapo ukimuuliza ushawahi kwenda peponi ukakuta watu wanaongea kiarabu atakwambia mtume kasema!!! Ujinga mtupu

safi sana kama ulilitambua hili mapema
 
Mm mambo ya dini nilishaachana nayo toka nijue yaliyo nyuma ya dini.!!! Na nmekuwa nikiishi vzr sana sina ubaguzi wa kuwabagua watu kwa dini zao, kabila zao wala tamaduni tofauti na huko nyuma nilivyokuwa mfia dini...!!!

Sasa hapo ukimuuliza ushawahi kwenda peponi ukakuta watu wanaongea kiarabu atakwambia mtume kasema!!! Ujinga mtupu
Kweli cadinaly.
 
keep ya head up brother and think straight...Kama Mungu wa waislamu husikia KIARABU TU kina nabii I ,Mussa , Ibrahim ,Daudi na wengineo ambao hawakuzungumza KIARABU walimuabudu Mungu kwa lugha gani!?

na nikupe faida BABA WA IMANI KWA WAISLAMU NI NABII IBRAHIM,JE ALIZUNGUMZA KIARABU!?

NDIO MAANA NILIKWAMBIA MUNGU WA WAISLAMU ANASIKIA LUGHA ZOTE SIO KIARABU TU,KIKUBWA UFUATE ANAYOTAKA UFUATE NA KUYAACHA ALIYOKATAZA HAYA MENGINE NI BINAADAMU TU NA MASLAHI YAO

MWALIMU WAKO ALIPATA TABU SANA KUKUFUNDISHA
Kwani Mungu wa waislam ndiyo Mungu wa akina Ibrahim??
Mungu wa akina Ibrahim aliitwa Yahweh Elohim sio Allah.
Kuna Ibrahim wawili...Ibrahim wa kwenye Quran ambaye ni muarabu na Ibrahim wa biblia ambae ni muisrael.
Kuna ISSA wa Quran ambae hakufa, na Kuna Yesu wa biblia alieuliwa.

Lakini keep in mind Hawa characters wa kwenye Quran (kina ISSA,Ibrahim,suleman) wameandikwa Miaka zaidi ya 600-2000 baada ya wahusika kufa.
Na wameandikwa na jamii ambayo hata haikuinteract na wahusika.

Kwahyo Quran ikidai wahusika walikuwa ni waarabu....hizo ni baseless claims.
 
Back
Top Bottom