MWENYEZI MUNGU NI MWENYE KUSIKIA NA MJUZI WA MAMBO..
SIKUMBUKI MARA NGAPI IMEANDIKWA HIVI NDANI YA QURAN,MARA MIA HATA ZAIDI!!
Unafahamu kuwa hata mbwa anasikia kuliko binadamu?
Lakini haelewi hata kiswahili?
Hilo fungu la kusema Mwenyezi Mungu ni mwenye kusikia halijitoshelezi Kwa hii mada tunayozungumzia.
Maana fungu lenyewe lilishuka Kwa kiarabu likiwaelekeza waarabu kina Mohamed. Kwahyo Allah ni mwenye kusikia kiarabu. NDOMAANA MISIKITINI HAWASWALI KWA KISWAHILI/KIINGEREZA
Weka hata Hadith Moja ikionesha watu wengine wakiswali Kwa lugha tofauti na kiarabu.
Maana Kipindi cha Muhammad kulikuwa na wayahudi,wapersia pande hizo za Mecca.
Sasa lazima Kuna wasio waarabu waliamini uislam,,Vipi Hawa hakuna Hadith wakiswali Kwa kiyahudi?
Au Kuna Fungu specific linaloonesha kuwa Allah habagui lugha yoyote?
Maana mafungu ya kuonesha Allah anapendelea kiarabu TU yapo mengi TU.
Na sababu ya kupendelea kiarabu Allah alisema ni kwakuwa uislam aliushusha kwaajili ya watu wa Mecca na vihunzi vyake (waarabu)
"Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Miji (Mecca) na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni"