Dini zinavyoharibu watu akili

Dini zinavyoharibu watu akili

Mm mambo ya dini nilishaachana nayo toka nijue yaliyo nyuma ya dini.!!! Na nmekuwa nikiishi vzr sana sina ubaguzi wa kuwabagua watu kwa dini zao, kabila zao wala tamaduni tofauti na huko nyuma nilivyokuwa mfia dini...!!!

Sasa hapo ukimuuliza ushawahi kwenda peponi ukakuta watu wanaongea kiarabu atakwambia mtume kasema!!! Ujinga mtupu
"Lengo kuu la dini ni kujidhibiti, na si kukosoa wengine."

Dalai Lama XVI
 
Jiulize Mungu gani mbaguzi. Akupe lugha yako ya
Humu naona mnaendelea kuonyesha ujinga wenu ulivyo. Ulizaliwa unajua kusoma na kuandika ?

Hujui kama kuna Waafrika wanao wafundisha Waarabu Kiarabu ?

Allah si mbaguzi, Mola wetu sote ametupa uwezo wa kutaka kufanya jambo na kulijua tunalijua ni juhudi tu.

Mola angeamua kuleta Mtume anaye tumia lugha ya Kiswahili basi neno lake kadhalika lingekuwa Kiswahili sababu ujumbe huanzia kwa watu kisha uasambaa kwa wengine kupitia kujifunza. Muwe mnatuliza akili vijana, haya mambo mnaishi nayo ila linaoo kuja suala hili katika Uislamu akili zinawatoka na kusahau ya kuwa hata nyinyi mnayafanya katika namna zenu.
 
Lugha ya kiarabu,ipo katika lugha zote za duniani,na dini zote duniani wanatumia maneno ya kiarabu,kuanzia
1:Wapo wa kiristo wasio waarabu,wanatmia maneno mengi ya kiarabu,bila kujijua au wanajijua,lakini hawajijua kama wanatumia maneno ya kiarabu:
Maneno kama:Kanisa(kiarabu),Kitubio(kiarabu),Toba(kiarabu),Sadaka(kiarabu),Zaka(kiarabu),sadaka(kiarabu)Kasisi(kiarabu),aya(kiarabu),madhabaho(kiarabu),kitabu(kiarabu)
2.Wapo kiristo waarabu,wanatumia biblia za kiarabu,wanatumia kiarabu kwenye ibada zao makanisani.
3.Science,hata uwe kabila au dini gani,lazima utatumia maneno ya kiarabu kwenye science kama Chemistry(kiarabu),kemia.
Chemical,kemikali(kiarabu)zina majina ya kiarabu mfano alkali alkane nk
4.Hisabati(neno la kiarabu),namba kuazia 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 ni kiarabu.Hapa muingereza,lazima atumie namba hizi kwenye,kitabu kiwe cha dini au cha science au cha somo lolote,na asiye kuwa muingereza,akitumia lugha ya kiingereza,lazima atatumia namba hizi.
Hivi sifa ya kwanza ya kua muislamu ni kusifia kiarabu ama ni nini?

Naona kama uislamu na ujinga ni kama samaki na maji.

Unasema hakuna kabila wala dini yoyote ambayo haitumii maneno ya kiarabu, unaweza kunionyesha mameno ya kiarabu kwenye lugha ya kichina ama kijapani? Ama unaweza kunipa maneo ya kiarabu kwenye kigiriki?

Unasema lugha ya kiarabu iko kwenye lugha zote Duniani halafu unatolea mfano kiswahili na kingereza, hizo ndio lugha za Dunia?

Wewe taahira hujui kua china ina namba zake mona hadi kumi ama kwa kua umekaririshwa msikitini na wajinga wenzako basi unakuja kuleta huo ujinga hapa.

Cha kukushauri, mwambieni allah ajifunze lugha nyingine, Dunia imebadilika sana abadilike, ajifunze hata kijaluo ama hata kisambaa au kijerumani.
 
Humu naona mnaendelea kuonyesha ujinga wenu ulivyo. Ulizaliwa unajua kusoma na kuandika ?

Hujui kama kuna Waafrika wanao wafundisha Waarabu Kiarabu ?

Allah si mbaguzi, Mola wetu sote ametupa uwezo wa kutaka kufanya jambo na kulijua tunalijua ni juhudi tu.

Mola angeamua kuleta Mtume anaye tumia lugha ya Kiswahili basi neno lake kadhalika lingekuwa Kiswahili sababu ujumbe huanzia kwa watu kisha uasambaa kwa wengine kupitia kujifunza. Muwe mnatuliza akili vijana, haya mambo mnaishi nayo ila linaoo kuja suala hili katika Uislamu akili zinawatoka na kusahau ya kuwa hata nyinyi mnayafanya katika namna zenu.
Kwa hiyo akileta mtume anaetumia kiswahili basi atalazimisha watu wote watumie kiswahili wakati anajua kabisa kuna makabila mengine, ama hajui kama kuna makabila ama lugh nyingine? Huyo mola ni mzima kichwani kweli? Huyo ni mola ama mura?
 
Ktk vitu ndugu zangu waislam hawataki kuvisikia ni kuwaambia hijja ni biashara na chanzo cha mapato cha saudi arabia $20.5 bil jamaa wanaingiza kupitia hijja.

Bado kuna uvunaji wa a lot of tons za mawe ambazo huzivuna na kuzitumia kujengea miundombinu ya taifa lao kupitia ibada ya kumpiga ibis na mawe... ww hujiuliz toka watu wameaanza kurusha mawe ile sehemu haijai tu na kama inajaa yale mawe hupelekwa wapi?

!! Akili mtu wangu !!
Akili

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
SIO PEPONI TU,hata duianini,kanisani unatumia maneno ya kiarabu na umejifunza ,bila kujijua unajifundisha kiarabu,hata neno salama(kiarabu)Habari(kiarabu)Kanisa(kiarabu)Kitubio(kiarabu)Sadaka(kiarabu)Zaka(kiarabu)Kasisi(kiarabu)Toba(kiarabu)nk.Hata hicho kiswahili,ulichoandika,karibia asilimia kubwa ni maneno ya kiarabu.Ukichunguza zaidi,maneno mengi ya lugha nyingi duniani ni kiarabu,kuna maneno au namba za kiarabu.Kwenye science,maneno mengi ni ya kiarabu,kuanzia masomo yenyewe
1:Chemistry-Kemia ni kiarabu
2.Hisabati ni Kiarabu
3.Doctor -Ductour -Daktari ni kiarabu
4.Namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9,ni namba za kiarabu.
5.Mhandisi,ni neno la kiarabu
6.Mwalimu ni neno la kiarabu.
7.Darasa ni neno la kiarabu
8.Elimu ni neno la kiarabu
9.sayari ni neno la kiarabu
10.Rais ni neno la kiarabu
11.Waziri ni neno la kiarabu
12 .Wizara ni neno la kiarabu
13.Neno Swahili ni neno la kiarabu
14.Hatari,Furaha,Rafiki,Tafadhali,Baridi,Dhamiri,Kamusi,Huru,Habari,Kata,Msumari,Kitabu,Mahali,
15.Nyakati,:Asubuhi,Dakika,Saa,Wakati,alasiri,Magharibi,Alfajiri,karne,
16 .Juma(weeki),Alhamisi,ijumaa.
17.Tausi
18.Nusu,Robo,Sita,saba,Tisa,Ishirini,Thelathini,Arubaini,Hamsini,Sitini,Sabiini,Themanini,Tisiini,Mia,Elfu,
19.Dini.
20 Msamiati mwingi unaotumika kwenye dini ya kiislamu na Kikristo una asili ya kiarabu:
Ibada
Msikiti
Kanisa
Zaka
Sadaka
MALAIKA
SHETANI
Thawabu
Dhambi
Kasisi
Imamu
Kitubio
21.Mjina ya kamikali,zote yanayoanzia na Al,kama alkaline,alkal,Alkaline,Alkaloid, nk
Hapo ulipo unatumia maneno ya kiarabu ,bila kujijua au unajijua,lakini huelewi.
Ukiwa mjinga utaelimishwa..ila ukiwa mpumbafu ni tatizo kwa jamii..shida huna akili na uliyonayo kidogo imevurugwa nanwaarabu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Muislamu, Jifunze Kiarabu Achana na Kiingereza. Peponi Lugha ni Kiarabu tu

View attachment 2309809


Uongo mtupu, huko peponi hakutakuwa na lugha hizi za kimwili, tutawasiliana kupitia lugha ya kiroho, hizi lugha za kimwili ni kwa ajili ya mawasiliano yetu ya shughuli za kimwili hapa duniani.

Siku ya Qiyama kutakuwa na lugha ya kiroho ambayo kwayo kila roho itawasiliana na Mungu.
 
Mwenye kuweza kujibu hoja za Kikwajuni One tafadhali ajitokeze ili mjadala undelete na siye wengine tuendelee kujifunza.......
Anahoja gani..kama sio wenda wazimu umemjaa..atwambie neno mbona hicho kiswahili au kichina nacho kimetokana na kiarabu.

Uislamu ni utamaduni wa waarabu..yeye mmatumbi kaingizwa chaka..kwa kufanyiwa mental slave and brainwash.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa hiyo akileta mtume anaetumia kiswahili basi atalazimisha watu wote watumie kiswahili wakati anajua kabisa kuna makabila mengine, ama hajui kama kuna makabila ama lugh nyingine? Huyo mola ni mzima kichwani kweli? Huyo ni mola ama mura?
Uwe unasoma na kuelewa hoja siyo unakurupuka kujibu. Soma nilichokiandika kisha ujenge hoja.

Kingine uonyeshe wapi Mtu amelazimishwa kujifunza lugha ya Kiarabu ?

Kisha Allah anasema :

13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. (al-Hujuurat : 13)
 
Uongo mtupu, huko peponi hakutakuwa na lugha hizi za kimwili, tutawasiliana kupitia lugha ya kiroho, hizi lugha za kimwili ni kwa ajili ya mawasiliano yetu ya shughuli za kimwili hapa duniani.

Siku ya Qiyama kutakuwa na lugha ya kiroho ambayo kwayo kila roho itawasiliana na Mungu.
Tuwekee ushahidi wa haya tupate faida.
 
Ktk vitu ndugu zangu waislam hawataki kuvisikia ni kuwaambia hijja ni biashara na chanzo cha mapato cha saudi arabia $20.5 bil jamaa wanaingiza kupitia hijja.

Bado kuna uvunaji wa a lot of tons za mawe ambazo huzivuna na kuzitumia kujengea miundombinu ya taifa lao kupitia ibada ya kumpiga ibis na mawe... ww hujiuliz toka watu wameaanza kurusha mawe ile sehemu haijai tu na kama inajaa yale mawe hupelekwa wapi?

!! Akili mtu wangu !!


Na ndio maana muisilamu anayetakiwa kwenda Hijja ni lazima awe na uwezo wa pesa,, kwa maneno mengine, mbali na nauli, akifika huko aweze kujikimu katika huduma zote za ibada ya Hijja, kwa zile huduma zinazohitaji pesa, Muisilamu safi kutoa pesa kwa ajili ya Mungu ni jambo la fahari na thawabu, kumbuka huko wanakwenda watu milioni kadhaa katika hali hiyo ni serikali gani inaweza kuweka huduma zote za bure kuhudumia watu wengi kiasi hicho??!!--- juu ya yote kuna ubaya gani wa watu wa huko kuuza bidhaa kwa ajili ya Mahujaji??!! au umesahau kauli; Mgeni njoo mwenyeji apone??!.

Acha chuki na wivu usiokuwa na msingi.
 
Na ndio maana muisilamu anayetakiwa kwenda Hijja ni lazima awe na uwezo wa pesa,, kwa maneno mengine, mbali na nauli, akifika huko aweze kujikimu katika huduma zote za ibada ya Hijja, kwa zile huduma zinazohitaji pesa, Muisilamu safi kutoa pesa kwa ajili ya Mungu ni jambo la fahari na thawabu, kumbuka huko wanakwenda watu milioni kadhaa katika hali hiyo ni serikali gani inaweza kuweka huduma zote za bure kuhudumia watu wengi kiasi hicho??!!--- juu ya yote kuna ubaya gani wa watu wa huko kuuza bidhaa kwa ajili ya Mahujaji??!! au umesahau kauli; Mgeni njoo mwenyeji apone??!.

Acha chuki na wivu usiokuwa na msingi.

Achana na bidhaa za kuuzwa. Kuna fee inalipiwa ya utalii kwenye hija packages. Ni sawa na mgeni anavyokuja serengeti ama mlima kilimanjaro
 
Ningeweza kupata kuishi sehemu ambayo hakuna dini ningefurahi sana. Dini ni ukichaa wa hali ya juu.
 
Ha ha ha hizi dinii hizi

Imagine ktk mafundisho ya dini Moja ya vitu ambavyo Huwa waislam wanavyo fundishwa ni kwamba lugha ya kiarabu ndio lugha Bora kuliko lugha zote Duniani hivyo basi ni lazima muislam aijue lugha hiyo Kwa sababu ndio lugha Ambayo itatumika kuzungumza siku ya kiama

Na watu Wana Amini Wana weka juhudi na maarifa katika kujifunza lugha hiyo

Masikini hawajui kuwa Wameaminishwa hivyo Ili lugha hiyo ipate kusambaa Kwa wepesi zaidi Duniani na Endapo ikisimbaa na kufika mbali zaidi itakuwa ni rahisi Kwa mataifa ya uarabuni kuweza kujitangaza kimataifa zaidi

Hawajui hata kwenda kuhiji maka ni chanzo cha mapato kwa nchi ya saudi arabia.. watu wanaoenda kuhiji wanachangia pato la taifa la saudi arabia kupitia utaliii wa kidini

Jiulize Mungu gani mbaguzi. Akupe lugha yako ya kabila lako...ila neno lake akuletee kwa lugha ya wengine
Hii ni sawa na taikon wa fasihi Robert heriel ahimize kwa kuwaambia kiswahili ni lugha ya peponi af badaye aweze kuwauzia riwaya zake
 
Ktk vitu ndugu zangu waislam hawataki kuvisikia ni kuwaambia hijja ni biashara na chanzo cha mapato cha saudi arabia $20.5 bil jamaa wanaingiza kupitia hijja.

Bado kuna uvunaji wa a lot of tons za mawe ambazo huzivuna na kuzitumia kujengea miundombinu ya taifa lao kupitia ibada ya kumpiga ibis na mawe... ww hujiuliz toka watu wameaanza kurusha mawe ile sehemu haijai tu na kama inajaa yale mawe hupelekwa wapi?

!! Akili mtu wangu !!

Acha kujifanya mjuaji na kuaminisha watu uongo, na hilo jina Mohamed ni kubwa na ni zuri pia, so, haliendani na hiki unachokiandika.
 
Back
Top Bottom