"Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu."
4:34
Nimetanguliza hiyo Aya hapo juu,,,,mtoa mada amesema kuwa wanawake wakikataa kutoa penzi basi wapigeni,,,,upuuzi mkubwa alionyesha mtoa mada,,,,,Aya inazungumza Kuwa wanaume ni wasimamizi wa wanawake ndio kichwa cha familia,hivyo wanawake wasipo tii basi Kwanza waonywe,pili wahamwe katika malazi...ina maana katika Uislamu kama njia ya kumwadhibu mwanamke unaweza kumhama chumba usilale au usisex nae Kwa Mda usio zidi miezi minne,hiyo sehemu ya adhabu au ya tatu basi ni kuwapiga ili wakae katika mstari.
Naomba usiku huu niishie hapa.....mnaweza kuchangia mpaka hapa nilipo ishia,,,,panapo majaliwa insha'Allah nitaendelea kesho