ERTUGRUL BEY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 11,593
- 21,636
Mtoa mada kasema wanawake hawatakuwa na Chao mbinguni Kwa maana watatumika Tu,,,,hii kauli sio sahihi hata kidogo,,,,tofauti na Imani ya kikristo kwamba huko peponi watu watakuwa kama Malaika, katika Uislamu ni hivi wale waliofanya mema duniani watalipwa Kwa Yale waliyoyatenda na kuishi Raha mstarehe,huko nako ndoa zitakuwepo kama ilivyokuwepo kabla Kwa Adamu na mkewe kabla hawajafukuzwa huko Eden/ peponi. Kwahiyo watu wataishi na wake zao waliotakaswa na machafu yote.
Lakini jinsi mtoa mada alivyoeleza kana kwamba mwanamke yeye kazi yake ni kama chombo cha starehe Tu, kitu ambacho si sahihi.
"Na wabashirie walio amini na wakatenda mema kwamba watapata mabustani yapitayo mito kati yake; kila watapo pewa matunda humo, watasema: Haya ndiyo kama tuliyo pewa mbele. Na wataletewa matunda yaliyo fanana; na humo watakuwa na wake walio takasika; na wao humo watadumu."
2 : 25
Na yaliyo elezwa humo ni Sawa na 4 : 57 kwahiyo haina haja ya kurudia tena
Naomba mtulie kama mnanyolewa mpaka nitakapo maliza ndio mlete maswali,,,,vinginevyo sitajibu chochote mpaka nimalize hoja zangu
Lakini jinsi mtoa mada alivyoeleza kana kwamba mwanamke yeye kazi yake ni kama chombo cha starehe Tu, kitu ambacho si sahihi.
"Na wabashirie walio amini na wakatenda mema kwamba watapata mabustani yapitayo mito kati yake; kila watapo pewa matunda humo, watasema: Haya ndiyo kama tuliyo pewa mbele. Na wataletewa matunda yaliyo fanana; na humo watakuwa na wake walio takasika; na wao humo watadumu."
2 : 25
Na yaliyo elezwa humo ni Sawa na 4 : 57 kwahiyo haina haja ya kurudia tena
Naomba mtulie kama mnanyolewa mpaka nitakapo maliza ndio mlete maswali,,,,vinginevyo sitajibu chochote mpaka nimalize hoja zangu
