Did Nyerere admit he was a "failure"? Some say "Yes he did"...

Nimesoma page ya 1-12, sijaona sehemu yeyote ktk hotuba ya Nyerere ya kuaga taifa (kama rais) mwaka 1985 inaypsema "I failed. Let's admit it". Ubaya wa baadhi ya watu, wanaambiwa fulani alisema hivi sehem fulani, anayeambiwa hafanyii bidii ya kuutafuta ukweli na kuacha akili yake huru iamue ndipo amhukumu mtu. Wengi wanahukumu kwa hearsay.
Hii speech ina mambo mazuri sana, ajabu ni kwamba mtu alii-insunuate hilo tu na kuacha mambo mengi ya msing. Hongera MM kwa kuutafuta ukweli, maana FF amekuwa aki-quote sana hayo maneno, kumbe alikuwa anayatoa hewani!
 
Faizafoxy kwa kifupi kama utakuwa unaandika pepa yoyote halafu inahitaji citation na wewe ukaweka wikipedia kama reference yako, trust me hiyo pepa haitapita iwe ni kwa ajili ya kuhitimu mafunzo ya certificate, Stashahada au Shahada, na kama itapita basi ujue huyo Mwalimu wako atakuwa mvivu wa kusoma.
Hayo ya leo kwako wewe, mie nna kadigrii kangu toka 1982, wayaweza? Ulikuwepo huko weye?
 
Kataa tukuletee mabandiko mengine, wacha kutetea kisicho teteeka. He was a failure all the way.

Kwa nini usimshukuru japo kwa kuleta hiyo hotuba, wewe mwenyewe umeshindwa, amekusaidia umeanza kumkejeli, kwa nini unakosa shukurani kwa mambo mazuri kama hayo?
 
Hayo ya leo kwako wewe, mie nna kadigrii kangu toka 1982, wayaweza? Ulikuwepo huko weye?
Nlikuwepo lakini sikuwa na degree kwa sababu umri wangu ulikuwa bado mdogo na huwezi kunitisha na degree yako ya zamani hata mimi ningezaliwa zamani hiyo ningepata degree zamani vile vile, kama unajua hayo ni ya leo na wewe umezoea makaratasi kwa nini usichukue hayo makaratasi uende uscan halafu utuwekee hiyo soft copy, kwa nini umekimbilia wikipedia ambayo unajua wewe mwenyewe haikuwepo kipindi chako.
 
Wewe ndio kwanza ukatae kuwa haya sio maneno ya nyerere:Nyerere farewell speech in 1985: "I failed. Let's admit it."
Bibie,
Njia ya muongo ni fupi. Hotuba ya Mwalimu 1985 nimeipata alipokuwa anaaga pale Diamond Jubilee November 4, 1985. Nimeisoma na hakuna pahala anasema "I failed. Let us admit it." Hiyo ya Wikipedia ni urongo mtupu. Iko kwenye pdf na tunatafuta maarifa tuiweke hapa.
 
Nina ombi, wote tunaolitakia mema taifa hili tuningie kwenye mapambano kufichua mpango wa kuzika mawazo ya Nyerere. Bado sijaelewa kati ya JK na EL nani hasa yupo nyuma ya hii campaign. Upande wa Lowassa lazima auwe image ya Mwl ili watu wasikumbuke aliyosema kuhusu quality za kiongozi bora. Ni wazi kabisa kwa kutumia zigezo alovyoweka EL hakatizi. Upande wa JK it is the same wicked thinking kwamba ashambulie waliomtangulia (ambao walifanya mambo ya maana kwa taifa hili) ili kuficha udhaifu wake. Mwl is one of the potential targets in this.
 
Sasa kama hapa ndio mtu ananukuu kama ukweli bado tuna matatizo. Wikipedia hiyo inasema "he said, "I faield. Let's admit it" na mtu anaamini kuwa Nyerere kweli alisema hivyo. Hajui ilisemwa wapi bali kwa vile Wikipedia imesema basi mtu anaamini na kuichukulia kama ukweli. Ndio maana baadhi ya vyuo sasa vinapiga marufuku watu kuicite Wikipedia kama authority katika masuala ya academic. Tatizo la Faiza kaenda kuongeza kabisa kuwa hiyo sentensi ipo kwenye "farewell speech"; uzuri wa farewell speech ni kuwa iko moja tu ambayo Nyerere aliliaga taifa.

Sasa kama kuna uungwana wowote basi angekubali tu kuwa kweli pale nilikosea na suala linakufa tunasonga mbele. But that aint gonna happen.

Faizafoxy kwa kifupi kama utakuwa unaandika pepa yoyote halafu inahitaji citation na wewe ukaweka wikipedia kama reference yako, trust me hiyo pepa haitapita iwe ni kwa ajili ya kuhitimu mafunzo ya certificate, Stashahada au Shahada, na kama itapita basi ujue huyo Mwalimu wako atakuwa mvivu wa kusoma.

Bibie,
Njia ya muongo ni fupi. Hotuba ya Mwalimu 1985 nimeipata alipokuwa anaaga pale Diamond Jubilee November 4, 1985. Nimeisoma na hakuna pahala anasema "I failed. Let us admit it." Hiyo ya Wikipedia ni urongo mtupu. Iko kwenye pdf na tunatafuta maarifa tuiweke hapa.

Hivi jamani hatujui wikipedia wanao operate vipi? mnaposema wikipedia siyo reliable source mnakosea sana

wikipedia ili uweke kitu lazima kiwe cited na usipoweka reference inaandikwa kabisa kuwa hiki kitu hakina reference!!!! kwa mfano hiyo link ya FaizaFoxy ya wikipedia haina reference na ukisoma chini imeandikwa kuwa haijawa zited na aliyeweka inabidi arudi kwenye sheria za wikipedia!! SO SIYO KWELI WIKIPEDIA IS NOT RELIABLE SOURCE...

angalia sample ya wikipedia na reference zake halafu semeni kuwa eti siyo reliable ...Julius Nyerere - Wikipedia, the free encyclopedia

Ukija alichosema Faiza angalia hii WIKIPEDIA YA KISWAHILI NAYO INASEMA kitu alichosema FAIZA...kuwa ujamaa ulifeli...whether is direct quotation or not but

angalia hii ya kiswahili

Julius Nyerere - Wikipedia, kamusi elezo huru

angalia kwenye kasoro zake, utaona bado wikipedia inadai reliable source. So at this particular quotation unless we dont find a reliable source we can not agree with FaizaFoxy kuwa Nyerere alisema hivyo, we have to have another citation.

However anayedhani kuwa wikipedia ina matatizo anakosea sana, matatizo ni ya mtumiaji wa wikipedia MAKE SURE UNACHOKISOMA REFERENCE YAKE IMEWEKWA chini!
 
Hivi jamani hatujui wikipedia wanao operate vipi? mnaposema wikipedia siyo reliable source mnakosea sana

wikipedia ili uweke kitu lazima kiwe cited na usipoweka reference inaandikwa kabisa kuwa hiki kitu hakina reference!!!! kwa mfano hiyo link ya FaizaFoxy ya wikipedia haina reference na ukisoma chini imeandikwa kuwa haijawa zited na aliyeweka inabidi arudi kwenye sheria za wikipedia!! SO SIYO KWELI WIKIPEDIA IS NOT RELIABLE SOURCE...

angalia sample ya wikipedia na reference zake halafu semeni kuwa eti siyo reliable ...Julius Nyerere - Wikipedia, the free encyclopedia

Ukija alichosema Faiza angalia hii WIKIPEDIA YA KISWAHILI NAYO INASEMA kitu alichosema FAIZA...kuwa ujamaa ulifeli...whether is direct quotation or not but

angalia hii ya kiswahili

Julius Nyerere - Wikipedia, kamusi elezo huru

angalia kwenye kasoro zake, utaona bado wikipedia inadai reliable source. So at this particular quotation unless we dont find a reliable source we can not agree with FaizaFoxy kuwa Nyerere alisema hivyo, we have to have another citation.

However anayedhani kuwa wikipedia ina matatizo anakosea sana, matatizo ni ya mtumiaji wa wikipedia MAKE SURE UNACHOKISOMA REFERENCE YAKE IMEWEKWA chini!

Bukuku, Faiza alidai kuwa Nyerere alisema hayo kwenye farewell speech yake ya 1985. Well.. kuna njia moja tu ya kuthibitisha au kukanusha hilo nayo ni kuiangalia hotuba hiyo. Tumeiangalia. Hakuna hicho. Muungwana na msomi anatakiwa asema "I stand corrected" maana yake ni kuwa hakuwa sahihi kwa kile alichodai. Sasa badala ya kukubali hilo yeye anaenda mbele na kusema kuwa haijalishi kama watu tunapinga Nyerere alikuwa "failure" well hiyo ni opinion has no factual backing.

Sasa suala al Wikipedia tunasema ni unrealiable source ndio maana wanaandika hizo disclaimer. Chanzo cha kuaminika hakiitaji hizo disclaimer kwani kinasimama chenyewe na ushahidi wake. So mtu akienda tu kuchukua kitu toka Wikipedia na kudai ni "factual" kwa sababu amekiona kwenye Wikipedia itakuwa ni uzembe wa kufikiri kwa watu wenye akili timamu kukubali bila kuhoji kwa sababu tunajua tatizo la Wikipedia. Mtu akinukuu E. Britannica hakuna mashaka na reliability yake japo nayo ina limitations zake.

Hadi hivi sasa hakuna mtu ambaye amewa kuonesha mahali popote kuwa Nyerere amewahi kusema "I was a failure" or "I miserably failed" au hata kudai kuwa "Socialism in Tanzania failed". None. Na hakuna atakayeweza kufanya hivyo kwa sababu Nyerere hajawahi kusema hivyo.
 
Hivi jamani hatujui wikipedia wanao operate vipi? mnaposema wikipedia siyo reliable source mnakosea sana

wikipedia ili uweke kitu lazima kiwe cited na usipoweka reference inaandikwa kabisa kuwa hiki kitu hakina reference!!!! kwa mfano hiyo link ya FaizaFoxy ya wikipedia haina reference na ukisoma chini imeandikwa kuwa haijawa zited na aliyeweka inabidi arudi kwenye sheria za wikipedia!! SO SIYO KWELI WIKIPEDIA IS NOT RELIABLE SOURCE...

angalia sample ya wikipedia na reference zake halafu semeni kuwa eti siyo reliable ...Julius Nyerere - Wikipedia, the free encyclopedia

Ukija alichosema Faiza angalia hii WIKIPEDIA YA KISWAHILI NAYO INASEMA kitu alichosema FAIZA...kuwa ujamaa ulifeli...whether is direct quotation or not but

angalia hii ya kiswahili

Julius Nyerere - Wikipedia, kamusi elezo huru

angalia kwenye kasoro zake, utaona bado wikipedia inadai reliable source. So at this particular quotation unless we dont find a reliable source we can not agree with FaizaFoxy kuwa Nyerere alisema hivyo, we have to have another citation..


However anayedhani kuwa wikipedia ina matatizo anakosea sana, matatizo ni ya mtumiaji wa wikipedia MAKE SURE UNACHOKISOMA REFERENCE YAKE IMEWEKWA chini!

Mkuu unachokisema na sisi tunasema hicho hicho, wikipedia yenyewe inahitaji source sasa kuna ugumu gani ukicite source hiyo hiyo ambayo wikipedia inaitaka hasa kwa quote ya FaizaFoxy ambayo ina sentensi moja tu, na kwa sababu yeyote anaweza kuedit ndo maana tunasema sio reliable source.
 
Sie tunataka hotuba sio utuletee kutoka kwenye wikipedia ambayo mtu yeyote anaweza kuedit, pengine umeedit wewe mwenyewe sasa hivi, mzee mwanakijiji ameweka hotuba yote bado naendelea kuisoma mpaka sasa hivi niko page ya pili sijaona hiyo sentensi.

Watu wengi wanajifanya wajuaji, lakini arguments zao zinawaacha uchi. Wikipedia sio authoritative source of information (not credible). Saa yeyote, mtu yeyote anaweza kuandika kitu chochote kwenye wikipedia! Ktk jumuiya ya wasomi ukitumia taarifa za wikipedia kujenga hoja, unakuwa umejiacha uchi! Angekuwa mtu makini, angetafuta hiyo hotuba yenyewe! Habari ya Wikipedia akawadanganyie wenzake, ambao wameenda shule lakini hawakuelimika!
 

uongo wa FF.JPG
 
Watu wengi wanajifanya wajuaji, lakini arguments zao zinawaacha uchi. Wikipedia sio authoritative source of information (not credible). Saa yeyote, mtu yeyote anaweza kuandika kitu chochote kwenye wikipedia! Ktk jumuiya ya wasomi ukitumia taarifa za wikipedia kujenga hoja, unakuwa umejiacha uchi! Angekuwa mtu makini, angetafuta hiyo hotuba yenyewe! Habari ya Wikipedia akawadanganyie wenzake, ambao wameenda shule lakini hawakuelimika!
Ngondya,
Hii dhana kwamba Nyerere alikubali kuwa failure ilienezwa na mwandishi habari mmoja kutoka Kenya. Kuna mahojiano Mwalimu aliyofanyiwa mjini New York kabla ya kustaafu na mwandishi akamwuliza kama socialism was a failure. Nyerere akataja ufanisi wa uongozi wake na kumaliza kuwa if it was a failure, it was a unique failure, because we were able to educate the masses of Tanzanians. Yule Mkenya akachukua hii "unique failure" na kuanza kupiga parapanda za "eureka' Nyerere kakiri kuwa alishindwa. Ndiyo hayo wanayoeneza akina FF lakini ukimuuliza chanzo chake wanakuambia wikipedia. Kajizomee hiyo hotuba mwenyewe uniambie ni wapi alisema hayo.
 
Hivi jamani hatujui wikipedia wanao operate vipi? mnaposema wikipedia siyo reliable source mnakosea sanawikipedia ili uweke kitu lazima kiwe cited na usipoweka reference inaandikwa kabisa kuwa hiki kitu hakina reference!!!! kwa mfano hiyo link ya FaizaFoxy ya wikipedia haina reference na ukisoma chini imeandikwa kuwa haijawa zited na aliyeweka inabidi arudi kwenye sheria za wikipedia!! SO SIYO KWELI WIKIPEDIA IS NOT RELIABLE SOURCE...angalia sample ya wikipedia na reference zake halafu semeni kuwa eti siyo reliable ...Julius Nyerere - Wikipedia, the free encyclopediaUkija alichosema Faiza angalia hii WIKIPEDIA YA KISWAHILI NAYO INASEMA kitu alichosema FAIZA...kuwa ujamaa ulifeli...whether is direct quotation or not but angalia hii ya kiswahiliJulius Nyerere - Wikipedia, kamusi elezo huruangalia kwenye kasoro zake, utaona bado wikipedia inadai reliable source. So at this particular quotation unless we dont find a reliable source we can not agree with FaizaFoxy kuwa Nyerere alisema hivyo, we have to have another citation.However anayedhani kuwa wikipedia ina matatizo anakosea sana, matatizo ni ya mtumiaji wa wikipedia MAKE SURE UNACHOKISOMA REFERENCE YAKE IMEWEKWA chini!
Kaka nimekupata vizuri. Wanazuoni wanasita kutumia wikipedia kama reference kwa maana ya kwamba kama original source ipo, kwanini itumiwe secondary source? Ili habari yako iaminike, ni muhimu kutumia original source.
 
Kwa nini usimshukuru japo kwa kuleta hiyo hotuba, wewe mwenyewe umeshindwa, amekusaidia umeanza kumkejeli, kwa nini unakosa shukurani kwa mambo mazuri kama hayo?

Wacha kudanganyika, kuwa makini. Nyerere hakuaga kwa hotuba moja, alitembea Tanzania kama siyote basi zaidi ya nusu akaga kwa hotuba na kupokea zawadi za kuagwa. Au nalo hilo hulijui? labda ulikuwa umtoto mdogo wakati huo au hujazaliwa kabisa.
 
unamaanisha "waliouawa kule Shinganya na kwenye vijiji vya Ujamaa kwa amri ya Nyerere"? hivi ni wangapi walikufa kwenye vijiji vya ujamaa? Waliokufa Shinyanga walikufa kwa sababu gani? Nyerere aliagiza wauliwe kwa jinsi alivyokuwa dikteta na hakuna mtu aliyewajibishwa katika vifo vile?
Kwani hawa walio uwawa kule Arusha amri ilitolewa na mkuu wa nchi... au yakitokea mauwaji ya namna ile anayeshutumiwa ni kiongozi au mtawala wa nchi?
Mauwaji ya shinyanga kuna ambao walistaafishwa kwa aibu mfano mmoja wapo alikuwa jilani yangu mitaa ya Gerezani kule Kariakoo, huyu mzee alikuwa ni askari polisi mwenye cheo kikubwa tu, na alikuwa analipwa na serikali kila mwezi na kuna waliojiuzuru kama vile waziri wa mambo ya ndani wa wakati ule Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi
 
Wacha kudanganyika, kuwa makini. Nyerere hakuaga kwa hotuba moja, alitembea Tanzania kama siyote basi zaidi ya nusu akaga kwa hotuba na kupokea zawadi za kuagwa. Au nalo hilo hulijui? labda ulikuwa umtoto mdogo wakati huo au hujazaliwa kabisa.
Sawa sawa. Kama Nyerere hakuaga kwa hotuba moja, ilete ile unayoshikilia alisema he was a failure. Kwa sababu umeshikilia alisema hivyo lazima uwe na ushahidi, au sio?
 
Hayo ya leo kwako wewe, mie nna kadigrii kangu toka 1982, wayaweza? Ulikuwepo huko weye?
Bachelor ya 1982 ndo nini? Na Nyerere ana masters hata kabla ya uhuru! And yet you have the audacity to trash everything he stood for. How ironic!
 
Wacha kudanganyika, kuwa makini. Nyerere hakuaga kwa hotuba moja, alitembea Tanzania kama siyote basi zaidi ya nusu akaga kwa hotuba na kupokea zawadi za kuagwa. Au nalo hilo hulijui? labda ulikuwa umtoto mdogo wakati huo au hujazaliwa kabisa.

Nilikuwa nimeshazaliwa na ni kweli nilikuwa mdogo na wala si mwepesi wa kudanganyika ila mie ni muungwana sana, mtu akikusaidia unashukuru, kwenye post zako nyingi ulikuwa unarefer hiyo hotuba na sio hizo nyingi unazozisema sasa, nimeomba uweke hapa ukawa unapiga chenga amejitokeza mtu ameiweka ili tuone badala ya kumpa credit kama watu waungwana wanavyofanya wewe unamkejeli na ndo maana nikachukua jukumu la kukumbusha halafu unaniambia tena mimi nadanganyika, du!
 
Semeni tena:

1) In an act of candor in his farewell speech while commenting on his economic policies he declared "I failed. Let's admit it."
Source: nyerere - We are African Youth

2) This ujamaa system failed to boost agricultural output and by 1976, the end of the forced collectivization program, Tanzania went from the largest exporter of agricultural products in Africa to the largest importer of agricultural products in Africa. Chastised for the failure of his ujamaa program to improve the Tanzanian economy, Nyerere decided not to run for reelection in 1985. With unusual frankness for a politician, he stated in his farewell speech, "I failed. Let's admit it."
Source: Julius Nyerere - Definition | WordIQ.com

3) "I failed. Let's admit it.
Source: Julius Nyerere Summary | BookRags.com

4) Read here also its quoted:
[h=1]The Dark Side Of Nyerere’s Legacy, By Ludovick. S. Mwijage[/h]Source: The Dark Side Of Nyerere's Legacy, By Ludovick. S. Mwijage | My Africa

5) Nyerere accepts failure.

With the realization that the Tanzanian economy did not flourish and being unwilling to lead Tanzania using an economic model he did not believe in, Nyerere willingly announced that he would retire after presidential elections in 1985, leaving the country to enter its free market era under the leadership of Ali Hassan Mwinyi. In an act of candor in his farewell speech while commenting on his economic policies he declared "I failed. Let's admit it".

Source: http://observer.gm/africa/gambia/ar...walimu-julius-nyerere-icon-of-african-freedom

Vipi, wote hao waongo?

Niongeze au mnaikubali kuwa ni kauli ya NYERERE?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom