This Damned Country!: Nyerere's Forgotten Speech

Nadhani ukisoma watu wengi hata wanaomkosoa Nyerere hapa hawajajaribu kuonesha the flaw of logical thinking ya Nyerere katika majibu yake kwa wanafunzi. Nyerere hakusema "serikali imeamua nendeni!"; Nyerere hakuwakwepa Wanafunzi wala hakuwaachia wasaidizi wake? Hivi Kikwete kwa miaka 5 ya Urais ni lini amekutana na kusikiliza maneno makali ya wanafunzi? Ni wanafunzi gani wanaweza kwenda Ikulu na mabango leo hii na kusema "Pinda Jiuzulu" na wakasikilizwa kama hawajapigwa na FFU kabla hawajavuka Fire!


Unaposoma hii hotuba na sehemu yake ya mwisho kesho - unatakiwa uangalie kile kinachosemwa.

a. Je wanafunzi (so called wasomi - wenyewe wamejiita the educated elite) walikuwa na haki ya kudai walipwe mishahara kama ya civil servants wakati wamesomeshwa bure na serikali yao?

b. Je, National Service - kutumikia taifa kwa muda ilikuwa ni jambo baya licha ya kwamba serikali bado inawalipa na inawaacha watumikie katika fani walizosomea (siku hizi kwa kweli tungeweza kuita internships)?

c. Nyerere aliliewa tatizo la attitude ya kustahili ambalo wanafunzi hawa walilionesha kuwa sasa wamekuwa wasomi (baada ya kusomeshwa bure) na hivyo wanastahili mishahara ya aina fulani?

d. Je utetezi wa Mwalimu wa "mkulima maskini" unaweza kutumika leo hii tunapoangalia malipo ya posho na mishahara mikubwa? Kwenye sehemu ya pili Nyerere anauliza "Mkulima maskini adai nini?"maana wasomi wanauwezo wa kudai malipo zaidi? Je tunapoangalia posho na mishahara ya watawala wetu tumewahi kujiuliiza "je mkulima anapata nini"? Tuchomekee humo the so called "stimulus package" ya CCM je mkulima wa kawaida alipata nini?

e. Kwa wale wanaoamini kuwa Nyerere alikuwa ni Dikteta (na wengine wamerudia humo) ni Dikteta gani duniani ambaye anaweza kukaa na kureason na wananchi wake na kuwashinda kwa hoja na baadaye kuwaachilia waendelee? Leo hii kikundi ambacho kitasimama na kwenda mbele ya Kikwete na viongozi hawa "wademokrasia" anaweza kuachwa hivi hivi bila kupewa kashkash? Au watu wamemsahau yule mtoto aliyemuulizaga EL swali kule Mwanza? Unapofuatilia episode hiyo unaweza kuona kufanana kokote kwa Nyerere na kina Sadam Hussen, Mobutu, Amin, Hitler, Milosevic n.k maana hilo ndilo category ya madikteta unless watu wanaposema kuwa alikuwa dictator wanamaanisha kuwa alikuwa haogopi kuchukua uamuzi. Well, thats is a mark of a leader; take a decision and live with its consequences.

f. Wengine wanadai Nyerere aliuwa watu - nimewahi kuliuliza hili swali hadi leo sijawahi kupatiwa majibu - nitajieni watu kumi tu waliouawa nje ya utaratibu wa sheria kwa amri ya Nyerere. Na kwa vile madikteta wana kawaida ya kuua maelfu ya wapinzani wao (tumeona Serbia, Iraq, n.k) hatuna budi japo kuuliza where are the mass graves of those killed during Nyerere's iron fist rule over Tanzania?
 
Thank you Eng Burton,
Speaking quite frankly, I like your comment about Mwalimu Nyerere and, because of that comment prompted me to login so as to thank you. The document of speech which Mwanakijiji has uploaded clearly depicts what many people believe to be the ability of thinking that Mwalimu possessed. Nyerere was undisputed skilled orator who was capable at connecting his brain with every word he could utter. He is a person who knew his people and did not fear them, he taught them, rebuked them while maintained loving them. In spite of that, just like what you have said, he was a human being like you and I and was prone to make mistakes. But when it comes to moral values, leadership and ability to solve problems, he is still distinguished from all his successors.

Utaona kuwa kuna watu bado wanaamini kuwa Nyerere hajawahi kukubali kufanya makosa; kwamba aliamini kila alichokifanya kilikuwa sahihi. Kwenye hotuba hii peke yake tunaona mahali anaposema wazi "we made some mistakes" hivi Kikwete amekubali lini kufanya kosa hata moja kama kiongozi na serikali yake?
 
Hahaha....kwa nini hakuongea kiswahili? It was a bit difficult to follow him! Anyway kuna matatu:
1. Hongera MMWJ kwa kuweka hii hapa
2. Ni wazi kuwa Nyerere alikuwa muwazi, asiyeogopa kuongoea na umma
3. Upenzi wa pesa ('the love of money' [which is the root of all evil]) ulianza zamani
 
Hata kama hawakuhakikisha au hata kama lilikuwa changa la macho ila the thought kwamba your leader is in the same boat na nyie wananchi is a mark of a true leader..., kuliko sasa tunaona sio tu kwamba wakuu wetu wanaishi tofauti na sisi bali familia zao na marafiki zao wanaishi kama Wafalme, na wananchi wanaishi maisha mabaya kuliko hata ya watumwa (At least watumwa walihakikishiwa wanapewa chakula cha kutosha washibe ili waendelee kufanya kazi, sisi hata chakula tatizo...)
Ni kweli tulimuona kwenye foleni ya chakula kwenye maduka ya kaya.... Tukiishi naye kule Tandika na Maeneo ya Manzese.
 
Nadhani ukisoma watu wengi hata wanaomkosoa Nyerere hapa hawajajaribu kuonesha the flaw of logical thinking ya Nyerere katika majibu yake kwa wanafunzi. Nyerere hakusema "serikali imeamua nendeni!"; Nyerere hakuwakwepa Wanafunzi wala hakuwaachia wasaidizi wake? Hivi Kikwete kwa miaka 5 ya Urais ni lini amekutana na kusikiliza maneno makali ya wanafunzi? Ni wanafunzi gani wanaweza kwenda Ikulu na mabango leo hii na kusema "Pinda Jiuzulu" na wakasikilizwa kama hawajapigwa na FFU kabla hawajavuka Fire!


Unaposoma hii hotuba na sehemu yake ya mwisho kesho - unatakiwa uangalie kile kinachosemwa.

a. Je wanafunzi (so called wasomi - wenyewe wamejiita the educated elite) walikuwa na haki ya kudai walipwe mishahara kama ya civil servants wakati wamesomeshwa bure na serikali yao?

b. Je, National Service - kutumikia taifa kwa muda ilikuwa ni jambo baya licha ya kwamba serikali bado inawalipa na inawaacha watumikie katika fani walizosomea (siku hizi kwa kweli tungeweza kuita internships)?

c. Nyerere aliliewa tatizo la attitude ya kustahili ambalo wanafunzi hawa walilionesha kuwa sasa wamekuwa wasomi (baada ya kusomeshwa bure) na hivyo wanastahili mishahara ya aina fulani?

d. Je utetezi wa Mwalimu wa "mkulima maskini" unaweza kutumika leo hii tunapoangalia malipo ya posho na mishahara mikubwa? Kwenye sehemu ya pili Nyerere anauliza "Mkulima maskini adai nini?"maana wasomi wanauwezo wa kudai malipo zaidi? Je tunapoangalia posho na mishahara ya watawala wetu tumewahi kujiuliiza "je mkulima anapata nini"? Tuchomekee humo the so called "stimulus package" ya CCM je mkulima wa kawaida alipata nini?

e. Kwa wale wanaoamini kuwa Nyerere alikuwa ni Dikteta (na wengine wamerudia humo) ni Dikteta gani duniani ambaye anaweza kukaa na kureason na wananchi wake na kuwashinda kwa hoja na baadaye kuwaachilia waendelee? Leo hii kikundi ambacho kitasimama na kwenda mbele ya Kikwete na viongozi hawa "wademokrasia" anaweza kuachwa hivi hivi bila kupewa kashkash? Au watu wamemsahau yule mtoto aliyemuulizaga EL swali kule Mwanza? Unapofuatilia episode hiyo unaweza kuona kufanana kokote kwa Nyerere na kina Sadam Hussen, Mobutu, Amin, Hitler, Milosevic n.k maana hilo ndilo category ya madikteta unless watu wanaposema kuwa alikuwa dictator wanamaanisha kuwa alikuwa haogopi kuchukua uamuzi. Well, thats is a mark of a leader; take a decision and live with its consequences.

f. Wengine wanadai Nyerere aliuwa watu - nimewahi kuliuliza hili swali hadi leo sijawahi kupatiwa majibu - nitajieni watu kumi tu waliouawa nje ya utaratibu wa sheria kwa amri ya Nyerere. Na kwa vile madikteta wana kawaida ya kuua maelfu ya wapinzani wao (tumeona Serbia, Iraq, n.k) hatuna budi japo kuuliza where are the mass graves of those killed during Nyerere's iron fist rule over Tanzania?

Hapo kwenye (c.), hii attitude ilitoka wapi? Ni shule ndio inaleta hii attitude au ni kutokana na oppression na pale mtu anapofikia level ya 'uelewaji' wa oppressor na kuona anastahili remuneration katika level hiyo hiyo?
 
[FONT=georgia, bookman old style, palatino linotype, book antiqua, palatino, trebuchet ms, helvetica, garamond, sans-serif, arial, verdana, avante garde, century gothic, comic sans ms, times, times new roman, serif]A promise is a cloud; fulfillment is rain. ~Arabian Proverb[/FONT]
 
Utaona kuwa kuna watu bado wanaamini kuwa Nyerere hajawahi kukubali kufanya makosa; kwamba aliamini kila alichokifanya kilikuwa sahihi. Kwenye hotuba hii peke yake tunaona mahali anaposema wazi "we made some mistakes" hivi Kikwete amekubali lini kufanya kosa hata moja kama kiongozi na serikali yake?

Nyerere admitted he was a "failure" not only mistakes. FAILED.
 
f. Wengine wanadai Nyerere aliuwa watu - nimewahi kuliuliza hili swali hadi leo sijawahi kupatiwa majibu - nitajieni watu kumi tu waliouawa nje ya utaratibu wa sheria kwa amri ya Nyerere. Na kwa vile madikteta wana kawaida ya kuua maelfu ya wapinzani wao (tumeona Serbia, Iraq, n.k) hatuna budi japo kuuliza where are the mass graves of those killed during Nyerere's iron fist rule over Tanzania?

Mwanakijiji, umedai wakutajie watu wengi sana hao, nakushauri uombe wakutajie watu wawili tu aliowaua katika utawala wake.... ukweli ni kuwa, watu wanajua sana kupindisha mambo ili kuridhisha chuki zao. Watu wako tayari kumuunga mkono hata yule mharifu mkubwa kupindukia kama "Baraba" kusudi tu mtu mwema wasiyempenda asulubishwe!!! Lakini bado kuna baadhi yetu bado tuko hai, tutasimama daima kuhoji ukweli wao mpya una misingi gani? na una lengo lipi kwa nchi kubwa kama Tz.
 
Hapo kwenye (c.), hii attitude ilitoka wapi? Ni shule ndio inaleta hii attitude au ni kutokana na oppression na pale mtu anapofikia level ya 'uelewaji' wa oppressor na kuona anastahili remuneration katika level hiyo hiyo?

It came from what we call "colonial mentality". Ukisoma kitabu cha Mohammed Said juu ya Abdulwahid Sykes utaona kuwa wasomi wengi wa zama zao walijitahidi sana kuonekana wanakubalika na wakoloni. Msomi alijiona amefikia mahali fulani kwa kadiri wazungu walivyoonesha kumthamini na kumjali. Mwenyewe (Said) anawaita "wasomi wa Makerere".

Baada ya kupata uhuru kizazi kilichoshika madaraka kilianza kutenda kama wakoloni; wakitaka waogopwe, wapewe posho na ujiko wa kila aina kitu kilichomfanya Nyerere kuandika ule waraka wa "On Pomposity" akipiga marufuku misafara mikubwa ya magari ya viongozi na kubeza wale ambao walikuwa wanataka kupigiwa wimbo wa taifa kila wanapokwenda. Kinyume na watu wengi wanavyofikiria ni masalia ya fikra za kutawaliwa ndio kilikuwa kikwazo kikubwa sana kwa viongozi wetu wa mwanzo kwani wengine walimuona Nyerere kama Gavana wa Kiingereza na baadhi ya viongozi walijiona kama wamewareplace wale ma DC na AC wa kikoloni. Hizi fikra zipo hadi hii leo. Utaona kuwa watendaji wengi wanafikiria wanamfanyia kazi Rais kama vile mtu anavyomfanyia kazi mfalme. Kumbe, wanatakiwa kuwafanyia kazi Watanzania. Hii ilikuwa ni tofauti kubwa sana kati ya Nyerere na viongozi wenzake na lazima tujue mbwa mzee hafundishwi mbinu mpya.

Viongozi wengi walioshika madaraka wakati wa Nyerere - walikuja wakiwa na mifuko na masunduku yaliyojaa fikra za kikoloni. Ndio maana unaweza kuona kile ambacho mwandiishi amekiita "the ultimate insult" pale wanafunzi waliposema "maisha wakati wa ukoloni yalikuwa bora"! Huwezi kumlaumu Nyerere kwa hilo.
 
Ni kweli tulimuona kwenye foleni ya chakula kwenye maduka ya kaya.... Tukiishi naye kule Tandika na Maeneo ya Manzese.
Mkuu kuna kuonyesha kuwa upo na watu na wewe ni mtu wa watu..., ila haimaanishi kwamba akae na wewe nyumba moja na kufanya kila wewe unachofanya.., hivi angepanga foleni ya kusubiri chakula nani angefanya shughuli za kuongoza nchi na kujaribu kuhakikisha hata hicho chakula kipo kwenye maduka???, alafu kumbuka those days were Hard Times sio kwa Tanzania tu bali dunia nzima...,

Lets give credit where credits due, kwa kukata mshahara wake 20% (au kusema anakata) iliwakata kauli watu na kuwapa a good feel factor kwamba wote we are on the same battle...

Hivi huoni labda JK kwenye ile hotuba yake ya kuhusu wafanyakazi angesema kwa vile serikali haina pesa ninatoa 40% ya mshahara wangu kusaidia kuwajengea waalimu nyumba...., (ingekuwa more welcomed na ingewapa motisha kuliko ilivyowavuja moyo ???)
 
Mkuu kuna kuonyesha kuwa upo na watu na wewe ni mtu wa watu..., ila haimaanishi kwamba akae na wewe nyumba moja na kufanya kila wewe unachofanya.., hivi angepanga foleni ya kusubiri chakula nani angefanya shughuli za kuongoza nchi na kujaribu kuhakikisha hata hicho chakula kipo kwenye maduka???, alafu kumbuka those days were Hard Times sio kwa Tanzania tu bali dunia nzima...,

Lets give credit where credits due, kwa kukata mshahara wake 20% (au kusema anakata) iliwakata kauli watu na kuwapa a good feel factor kwamba wote we are on the same battle...

Hivi huoni labda JK kwenye ile hotuba yake ya kuhusu wafanyakazi angesema kwa vile serikali haina pesa ninatoa 40% ya mshahara wangu kusaidia kuwajengea waalimu nyumba...., (ingekuwa more welcomed na ingewapa motisha kuliko ilivyowavuja moyo ???)
Uoni kuwa hao wote ni kutoka chama kimoja na wanatetea kile wanacho kiamini. Hivi huu uhuru uliopo hivi sasa enzi ya Mwalimu kweli tungediriki kutamka kama hivi sasa wanavyo tamka, bahati nzuri sana mimi si mwanasiasa na si mpenzi wa chama chochote, kwa sababu naona wana siasa wote lao moja tu, kutawala na si kuongoza. Si ndio huyu huyu Mwalimu aliitwa Ahambiliki, akakasirika... Au mzee Kifimbo au si huyu aliyetuambia tufunge mikanda miezi kumi na nane?

Hivi wale waliokufa kule Shinyanga na kwenye vijiji vya ujamaa, hivi wanakumbukwa kweli au ndio wamewekwa kwenye jumba la hatuto wakumbuka.

Wakati mwingine huwa hata sielewi ni nini haswa malengo ya hizi topic, mi naona zinaturejesha machungu ya enzi hizo...! Zingekuwa zinatolewa article za maana, article za kutuondoa kwenye janga la umaskini nadhani tungekuwa mbali sana, bado baadhi ya watu wanaishi kwa kuogopa mizimu ya watu waliokufa zamani, haitusaidii chochote, waandishi kama hawa walipaswa kuandika jinsi ya kutukwamua kiuchumi na kisiasa na si haya wanayo tueleza leo, sasa hata huyo mtakatifu to be, kama alikuwa ndio malaika wa enzi hizo, itatusaidia nini leo.

Ndio maana nikasema "...tugange ya jayo"
 
Hivi wale waliokufa kule Shinyanga na kwenye vijiji vya ujamaa, hivi wanakumbukwa kweli au ndio wamewekwa kwenye jumba la hatuto wakumbuka.

unamaanisha "waliouawa kule Shinganya na kwenye vijiji vya Ujamaa kwa amri ya Nyerere"? hivi ni wangapi walikufa kwenye vijiji vya ujamaa? Waliokufa Shinyanga walikufa kwa sababu gani? Nyerere aliagiza wauliwe kwa jinsi alivyokuwa dikteta na hakuna mtu aliyewajibishwa katika vifo vile?
 
Uoni kuwa hao wote ni kutoka chama kimoja na wanatetea kile wanacho kiamini. Hivi huu uhuru uliopo hivi sasa enzi ya Mwalimu kweli tungediriki kutamka kama hivi sasa wanavyo tamka, bahati nzuri sana mimi si mwanasiasa na si mpenzi wa chama chochote, kwa sababu naona wana siasa wote lao moja tu, kutawala na si kuongoza. Si ndio huyu huyu Mwalimu aliitwa Ahambiliki, akakasirika... Au mzee Kifimbo au si huyu aliyetuambia tufunge mikanda miezi kumi na nane?

Mkuu I aint no politician but am telling it as it is.....

Nyerere alikuwa kiongozi and a leader leads.., and it shows kutoka kwenye speech hapo juu jinsi alivyolead by example; now uhuru wa sasa wa kusema bila kusikilizwa una maana gani...., "watu wanasema kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji" tunapiga kelele lakini hatusikilizwi huu ndio uhuru....???

Huyu bwana angekuwa kama hawa mabwana wa sasa hivi hata tungekuwa na madini hivi sasa...., alafu kumbuka different times different measures kipindi kile kilikuwa delicate sio kama sasa na kuitwa au kutoitwa haambiliki akakasirika does not make a person a bad leader, kiongozi inabidi awe na msimamo na what he believe is right he must stand by it..,,,
 
Nimeiweka simple, hupendi? Au wewe "lugha mama" kwako ni kiingereza? Wengine sisi kiingereza ni lugha ya 4, ya kwanza ya mama, ya pili kiswahili, ya tatu ya Qur'an, ya nne ndio kiingereza.

Faizafoxy kwa kifupi kama utakuwa unaandika pepa yoyote halafu inahitaji citation na wewe ukaweka wikipedia kama reference yako, trust me hiyo pepa haitapita iwe ni kwa ajili ya kuhitimu mafunzo ya certificate, Stashahada au Shahada, na kama itapita basi ujue huyo Mwalimu wako atakuwa mvivu wa kusoma.
 
Thanks so much! Nyerere never bit demostrators but embraced them and then eliterated about the subject matter. Hopefully one does recall what happen at SUA when he went in person to settle students' strike. LET HIM BE A SAINT!Long live JK Nyerere's ideas! He did all the paper work for us but we have failed to imprementLong live Nyerere!!!!
 
Mkuu I aint no politician but am telling it as it is.....

Nyerere alikuwa kiongozi and a leader leads.., and it shows kutoka kwenye speech hapo juu jinsi alivyolead by example; now uhuru wa sasa wa kusema bila kusikilizwa una maana gani...., "watu wanasema kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji" tunapiga kelele lakini hatusikilizwi huu ndio uhuru....???

Huyu bwana angekuwa kama hawa mabwana wa sasa hivi hata tungekuwa na madini hivi sasa...., alafu kumbuka different times different measures kipindi kile kilikuwa delicate sio kama sasa na kuitwa au kutoitwa haambiliki akakasirika does not make a person a bad leader, kiongozi inabidi awe na msimamo na what he believe is right he must stand by it..,,,
Nyerere alikuwa mtawala na si kiongozi, na maamuzi yake hakuna ambaye aliweza kuyapinga. Tanganyika wakati inapata uhuru ilikuwa ni nchi ya vyama vingi, kilicho mfanya akavipiga stop visifanye shughuli zake ni nini, si angeviwacha vife vyenyewe aliogopa kitu gani?
 
Neno likishatamkwa halirudishiki mdomoni. Tukiandika watu wakasoma na kuelewa basi ujue hata wakifunga hii haiina maana. Shusheni vyuma wakubwa. Big UP Mwanakijiji

Glory be to GOD
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Nyerere alikuwa mtawala na si kiongozi, na maamuzi yake hakuna ambaye aliweza kuyapinga. Tanganyika wakati inapata uhuru ilikuwa ni nchi ya vyama vingi, kilicho mfanya akavipiga stop visifanye shughuli zake ni nini, si angeviwacha vife vyenyewe aliogopa kitu gani?

Na haya mengine lini alivipiga stop?
 
Back
Top Bottom