Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

Nakutakia kila la kheri katika malezi bora ya watt wako,naamini hawatafuata ujinga na mambo ya ajabu ajabu ya dunia ya kwanza...

Mkuu kila.kitu Ni kumtanguliza Mungu mbele NA bila yeye sisi sio kitu.
 
Shemeji yetu ni mtanzania au mzungu?

Kama mzungu angalia sana Child support payments mkizinguna.

Utajikuta mweupe.
aliyenileta ni mzung ila tuliachana longtime na castody ya dogo kunyimwa. Alikomaa niwe deported. Nami nikawa mgum. Kwa iyo niko free. Kuna waqat tu bills ziliniandama maamae yani invoices zilikuwa zinakuja dah ila nilifait mwaka mmoja had nikamaliza maden. Hakuna kitu naogopa kama bills zikiwa nying
 
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma.
NB: Iundwe WIZARA YA VIWANDA tu ikiwezekana tupate Diaspora mwenye uelewa na sekta hiyo ili kutukwamua hapa tulipo. Ni ushauri tu.

They fled Ethiopia amid war and privation. An economic boom is bringing them home.
Uwekezaji? Milango imefunguliwa kwa kila analiyetayari kuwekeza nchini Tanzania. Sioni rationale ya kutaka/kupewa special treatment.
 
Sisi diaspora si kwamba tunataka Favour bali tunataka kurudisha tulichovuna huku ughaibuni kwa ndugu zetu nyumbani kupitia VIWANDA kila KATA nchi nzima
 
mkuu ritz mimi nafanya kazi tatu. Kaaz ya kwanza Naanza alfajir saa 11 namaliza saa 3 (masaa manne) kufagia supermarket usidhan natumia chelewa au fatuma ni mashine mkuu.

Nikimaliza faster nawahi treni kuingia kwenye mzigo mwengine maamae kuosha vyombo (the best job I like) wamenipachika the best dishwasher in Europe maamae kwasabab navyopiga vyombo kwa utaalam wakipekee ni restaurant ndan ya kampun flan tunahudimia 800+ customers maamae hapo napiga masaa sita maamae 10am to 16:00.

16:00 to 18:00 ninazuga center tu au sometimes nazuka ghetto. 18:00 to 23:00 naenda kusafisha gerej ya matrack ni kaz ya masaa 5 mimi maamae nakupigia manne sometimes matat na nus hasa sasa hiv summer si kuchaf sana winter balaa. Halaf kwenye hii kaz unaweza kuondoka kabla ya mda wake as long umetimiza wajib

Mkuu njoo bongo tulime vitunguu, mpunga na kusindika asali uku tunafuga kuku tunasupply maisha ya kiume na pesa ipo ya kutosha . Acha maisha ya kitumwa wewe ni binadamu mwenye thamani.

Wenzako kina Kiranga wameshakata tamaa wameamua ata wakifa miili ichomwe kuepuka gharama za kusafirisha maisha ya ughaibuni ni utumwa.
 
Acha kudanganya watu wewe,hayo masaa 14 mpka 15 unafanyaje kwa siku heee???
Mkuu, Kuna kipindi nilikaa Europe kwa muda mfupi na niliona watu wanavyofanya kazi masaa mengi na wengi wao ni West African. Mtu analiza Night shift 20:30 - 07:30 anaenda moja kwa moja kwenye permanent kazi yake ya day shift, 08:30 - 17:30. Hayo ni masaa 18 kwa siku. Kazi ya usiku labda ni part time nani flexible anafanya mara tatu au nne kwa week.
 
Uzur wa Denmark kaz za kubeba boks ni nying sana. Kuna dishwashing Kuna cleaning housekeeping seasonal agricultural work kupick berries na matunda. Kama unapermit ya kuish hapa halaf haupo kwenye black list (hulip maden) utaish Kwa fur aha sana. Unaweza ukafanya masaa sita Kwa siku na siku sita Kwa wik unapata m4 zako nne madaf
 
Mkuu, Kuna kipindi nilikaa Europe kwa muda mfupi na niliona watu wanavyofanya kazi masaa mengi na wengi wao ni West African. Mtu analiza Night shift 20:30 - 07:30 anaenda moja kwa moja kwenye permanent kazi yake ya day shift, 08:30 - 17:30. Hayo ni masaa 18 kwa siku labda ni part time nani flexible anafanya mara tatu au nne kwa week.

Nchi gani Europe??dah kweli shidaani,masaa 18 kwa siku??West Africans wametumwa kutafuta aisee
 
Ww mtu jasiri sanaaaaa,kuna watu huwa hawaongei kweli aise,courage sanaaaaa bro

Noja nikuorodheshee kazi ambazo zinalipa kwa haraka Ulaya bila longolongo.

Kuosha vyombo mahotelini

Kufanya usafi

kibarua kwenye ujenzi

kutunza wazee

Uangalizi kwa wenye mtindio wa ubongo NA wale wenye matatizo ya akili. Hapo unafukuzia paundi 10 hadi 15 kwa saa ukipata Ile ya uhakika zaidi.

maboski kwenye mabohari hapa inaanzia paundi 9 hadi 12 kwa saa.

Ufundi magari, computers

usaidizi madukani

ufundi wa magari, computers NA vifaa vingine vya umeme.

Udereva wa malori

udereva wa taxi hapa unapata hadi paundi mia sita kwa wiki.

hizi Ni baadhi Tu ya kazi nyingi ambazo wana diaspora wanazipiga.
 
Diaspora tumeamua kuisaidia nchi yetu ya asili Tanzania. Tutatumia ujuzi wetu woote tulioupata ughaibuni ili kuikwamua nchi hapa ilipo na kuwa taifa la uchumi wa kati (Middle-income country) ifikapo 2020. Kabla ya Tanzania Vision 2025 deadline.
 
aliyenileta ni mzung ila tuliachana longtime na castody ya dogo kunyimwa. Alikomaa niwe deported. Nami nikawa mgum. Kwa iyo niko free. Kuna waqat tu bills ziliniandama maamae yani invoices zilikuwa zinakuja dah ila nilifait mwaka mmoja had nikamaliza maden. Hakuna kitu naogopa kama bills zikiwa nying
After a divorce, it’s common to forget that alimony and child support will affect your taxes, endelea kukomaa isije kuwa unajibana halafu ikifika wakati wa Summer Time unakwenda kujirusha Spain unakula pesa yako yote ya box.
 
Shemeji yetu ni mtanzania au mzungu?

Kama mzungu angalia sana Child support payments mkizinguna.

Utajikuta mweupe.

Ndio maana nilifanya kazi Sana kabla Ili kuwa NA insurance.

Halafu Kuna kitu kinaitwa pre nuptial agreement, unafahamu hii kitu?
 
Noja nikuorodheshee kazi ambazo zinalipa kwa haraka Ulaya bila longolongo.

Kuosha vyombo mahotelini

Kufanya usafi

kibarua kwenye ujenzi

kutunza wazee

Uangalizi kwa wenye mtindio wa ubongo NA wale wenye matatizo ya akili. Hapo unafukuzia paundi 10 hadi 15 kwa saa ukipata Ile ya uhakika zaidi.

maboski kwenye mabohari hapa inaanzia paundi 9 hadi 12 kwa saa.

Ufundi magari, computers

usaidizi madukani

ufundi wa magari, computers NA vifaa vingine vya umeme.

Udereva wa malori

udereva wa taxi hapa unapata hadi paundi mia sita kwa wiki.

hizi Ni baadhi Tu ya kazi nyingi ambazo wana diaspora wanazipiga.

Lakini hizo kaz ungekuwa tz usingefanya,kama sisi wana Dar unifanyishi kaz ya kuosha vyombo hata siku moja,Lakin kwa sababu upo mbele unaona kawaida sanaaaaa,Sema ndo hivyo kila la mtu na maisha yake na chaguo lake katika maisha,kama wanavyosema kaz ni kaz
 
Shemeji yetu ni mtanzania au mzungu?

Kama mzungu angalia sana Child support payments mkizinguna.

Utajikuta mweupe.
Nesi hatakuwa ni mweusi, wazungu wanasua sua kwenye hizo kazi ingawa kuna pesa na realible.
 
Lakini hizo kaz ungekuwa tz usingefanya,kama sisi wana Dar unifanyishi kaz ya kuosha vyombo hata siku moja,Lakin kwa sababu upo mbele unaona kawaida sanaaaaa,Sema ndo hivyo kila la mtu na maisha yake na chaguo lake katika maisha,kama wanavyosema kaz ni kaz
hii ya vyombo siku ya kwanza ukionyesha ujuzi wa kupindua sahani NA mabakuli kwa kasi ya sahani nne kwa dakika moja unapewa permanent job hapohapo NA unakuwa NA uhakika wa shifs
 
Ndio maana nilifanya kazi Sana kabla Ili kuwa NA insurance.

Halafu Kuna kitu kinaitwa pre nuptial agreement, unafahamu hii kitu?
Naijua mnafanya makubaliano kabla ya kufunga ndoa au kuishi pamoja na kwenye masuala mengine sasa hivi Marekani kila mtu anakimbilia kwenye aprenuptial agreement, antenuptial agreement.
 
Nesi hatakuwa ni mweusi, wazungu wanasua sua kwenye hizo kazi ingawa kuna pesa na realible.

Wakuu, Shemeji yenu ni mzungu NA anaongea kiswahili kidogo.

Yeye ni nesi anaeshughulika na watoto wachanga.
 
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma.
NB: Iundwe WIZARA YA VIWANDA tu ikiwezekana tupate Diaspora mwenye uelewa na sekta hiyo ili kutukwamua hapa tulipo. Ni ushauri tu.

They fled Ethiopia amid war and privation. An economic boom is bringing them home.
Nyie kama diaspora sio mpaka muitwe mshirikishwe... mnatakiwa myamue wenyewe kama watanzania kuonesha umuhimu wenu kwa taifa kupitia uzoefu wenu na ujuzi mbalimbali mlionao.

rudini nyumbani na muombe na kuonesha vitu mnavyoweza kufanya.
sio mpaka muombwe
 
Back
Top Bottom