Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma.
NB: Iundwe WIZARA YA VIWANDA tu ikiwezekana tupate Diaspora mwenye uelewa na sekta hiyo ili kutukwamua hapa tulipo. Ni ushauri tu.

They fled Ethiopia amid war and privation. An economic boom is bringing them home.
Wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma.....umeondoa ladha nzima ya kile ambacho umetaka kukifikisha kwa public. Njia yako ya mawasiliano inakupunguzia hata heshima ya kusikilizwa, jaribu kui edit hii thread. Sarcastically written.
 
NAOMBEN NIWAWEKE SAWA NDUGU ZANGU WALA VUMBI. NI NGUMU SANA KUWA TAJIR ULAYA LAKINI NI RAHIS SANA KUISH MAISHA MAZUR NA YENYE FURAHA NA KURIDHIKA KAMA UNAISH KIHALAL.

Hapa tu Koppenhagen ukifanya kaz ama kubeba boks masaa 6 kwa siku kwa siku sita kwa wiki mshahara wako kwa mwez ni zaid ya million 4 za bongo hapo umefanya kaz kizembe. Kama wewe mjanja hupo pekee yako unatafuta sharing apartment kinachochukua hela sana kodi ya pango. Kama umeoa bas wewe na waif mnapigana Taf

There is no good place to raise a child like skendinevia

Haaaaa there is no good place to raise kid like skendinevia,mtt anakuwa anatoboa masikio pande mbili heee??hiyo ndo good place???mtt anakuwa anaona kawaida ndoa ya wanaume wawili,hiyo ndo good place kwa mtt???mtt anaona kawaida kumshitaki mzazi wake pale akimchapa,hiyo ndo place nzuri???mtt kuwa na maadili ya ajabu ajabu tu,hiyo ndo good place heee???acha ujinga,hâta bongo ni good place ya kuraise kid kuliko huko
 
Kazi unazofanya huko Denmark ni kazi za hovyo hovyo kama kukusanya mayai ya kuku, kutandika vitanda vya mahoteli, kubeba mabox ya mizigo viwandani.

Sasa hayo mamilioni ya fedha ya kuja kuwekeza kwenye mashamba na mabenki utayapata wapi kwenye kupanga biscuit supermarket.

Labda uje kufungua kibanda cha Tigo Pesa.

Acha upumbavu NA dharau.
Nani amekupa mamlaka ya kulinganisha akili za watu?
 
kwani mimi nilikuja kuish huku milele? Kwani mimi sina mashamba na nyumba bongo? Wee vp? Nimekuja huku kutafuta. Nafanya kaz masaa 14 -15 kwa siku ispokuwa j2 Ndio maana unaniona sasa hiv niko active hum kesho siingi mzigon.

Kuhus kodi ya pango nikusave mkuu. Kodi ya pango tu hapa kwa mwez viwanja vya kutosha ama mashamba tanga. Mimi nashare na masela ninasevu karibia milion mbil za bongo kama ningeish ama kupanga apartment kivyang.

Sitaish hiv kubeba boks milele nimejiwekea target had 2020. Nina akiba ya hela ya kutosha tu. Na bongo nina asset za kuridhisha. Nilipokuwa bongo kufikisha hata laki ilikuwa ngumu kwa mwez lakin sasa hiv maamae 47000tzs × 14 × 6 ×4 kodi 36%

Acha kudanganya watu wewe,hayo masaa 14 mpka 15 unafanyaje kwa siku heee???
 
LEMUTUZ the akili kubwaz ndo diaspora atayepewa 1st priority on industrial investment.
 
Kumbe kawaida sana! Kodi 36% Chakula %? Gheto %? Huduma za kijamii %? n una save %?
mkuu nimetoka kuchek exchange rate sasa hiv Kumbe imepanda tena. Kwa saa nalipwa 156 DKK madaf 52000tzs na Kwa sik nakufanyia masaa 14-15 mara sita Kwa wik. Mosos hamna shida nafanya
Mkuu, Copenhagen piga mzigo zichange tu wakti ndio huu.

Kuna wakati heshima itarudi kwa madiaspora wakianza kutia timu Tanzania kijumla.

Unafahamu sasa hivi kuna madiaspora kama sisi bado tunalea watoto, na wakiishakua tu basi tunawaachia walipe mortgage ya huku na sisi turudi tukafaidi hizo Euro huko Bongo.

Ni lazima kutesa iwe kwa zamu.

Na kuna watu watashangaa sana kuanzia mwaka huu.

Halafu mkuu Copenhagen kama hujaanza kutafuta mwenza uwaangalie sana hao vidosho wa hapo kwako, maana kuna wengine ukianza nao wanabana mno kuhusu Euro, unatakiwa uwe "smart".

Kama unapenda kuchanganya, ukitaka wadada wa ku-settle nae tafuta pande ya East kama shemeji yako hasa wa Latvia na Estonia.

Wao nao kiingereza chao ni kama wanajifunza na akikukuta unatema ung'eng'e mzuri anakukubali, maana utamsaidia mambo mengi kama shule.
ebwana mkuu Richard heshima yako . Huko pande zip? Norway ama Sweden? Ebwana nilishasafir had Estonia old city hadi vilnius lithuania nilifikia kwenye cheap hostel karib na supremarket flan inaitwa Prisma maisha ni very cheap kulinganisha na denmark. Mabint zao naskia wanadum sana kwenye ndoa. Yani hamna watu weus kabisa. Lithuania had dereva wa bus alinishaur sehem za kutokwenda. Next time nitatinga Riga
 
Angalia akili zenu zinafanana hamna exposure wala vision pamoja na kuishi Ulaya.

Bahati nzuri Ulaya napajua hamna wa kunidanganya, sasa nyie bado mnafundishana kutafuta wanawake wa kizungu na kigezo chenu kukuu ni kujua kingereza vizuri daah! hamuangalii hata future.

Mtaishia kuzaaa na wazungu na kudhulumiwa watoto na kubakia na story tu nina watoto watatu mmoja yupo Spain mwingine Sweden na mwingine yupo Holland, lakini huna mamlaka nao hao watoto na siyo hata watanzania, nawashauri kama bado mpo Ulaya tafute College msome mpate elimu siyo kutegemea kuja kusaidiwa na wanawake wa kizungu.

Acha upumbavu NA dharau.

Nani amekupa mamlaka ya kulinganisha akili za watu?

Wewe na Copenhagen hamlingani kwasababu wewe umelelewa kwa fedha ya walipa kodi NA ukapelekwa mpaka Ulaya. Yeye kaenda mwenyewe kwa juhudi zake binafsi.
 
Acha upumbavu NA dharau.

Nani amekupa mamlaka ya kulinganisha akili za watu?

Wewe na Copenhagen hamlingani kwasababu wewe umelelewa kwa fedha ya walipa kodi NA ukapelekwa mpaka Ulaya. Yeye kaenda mwenyewe kwa juhudi zake binafsi.
Dharau ipi haya tuambie basi wewe na huyo mwenzako mnayeshikina akili mnafanya kazi gani Ulaya?
 
Haaaaa there is no good place to raise kid like skendinevia,mtt anakuwa anatoboa masikio pande mbili heee??hiyo ndo good place???mtt anakuwa anaona kawaida ndoa ya wanaume wawili,hiyo ndo good place kwa mtt???mtt anaona kawaida kumshitaki mzazi wake pale akimchapa,hiyo ndo place nzuri???mtt kuwa na maadili ya ajabu ajabu tu,hiyo ndo good place heee???acha ujinga,hâta bongo ni good place ya kuraise kid kuliko huko
Mkuu, madai yako si kweli kwani watoto wanakelewa kwa misngi ileile bila kijali wapi wamezaliwa.

Ni kasumba mbovu Tu ndiyo itawaharibu watoto. Cha msingi Ni lazima watoto watambue baba au mama anatoka Afrika.
 
mkuu nimetoka kuchek exchange rate sasa hiv Kumbe imepanda tena. Kwa saa nalipwa 156 DKK madaf 52000tzs na Kwa sik nakufanyia masaa 14-15 mara sita Kwa wik. Mosos hamna shida nafanya
ebwana mkuu Richard heshima yako . Huko pande zip? Norway ama Sweden? Ebwana nilishasafir had Estonia old city hadi vilnius lithuania nilifikia kwenye cheap hostel karib na supremarket flan inaitwa Prisma maisha ni very cheap kulinganisha na denmark. Mabint zao naskia wanadum sana kwenye ndoa. Yani hamna watu weus kabisa. Lithuania had dereva wa bus alinishaur sehem za kutokwenda. Next time nitatinga Riga
Kukataa mzizi wa fitina tufahamishe unafanya kazi gani mkuu hapo Copenhagen?
 
Hakuna kitu hao wanaojita DIASPORA, waendelee kubaki huko waliko.
 
Mkuu, madai yako si kweli kwani watoto wanakelewa kwa misngi ileile bila kijali wapi wamezaliwa.

Ni kasumba mbovu Tu ndiyo itawaharibu watoto. Cha msingi Ni lazima watoto watambue baba au mama anatoka Afrika.

Okay sawa wanatambua wao wanatoka africa,Wanasoma na watt ambao baba zao ni jinsia moja,sasa hapo lazima Wataona kawaida tu,Wanasoma na watt wanatoboa masikio hapo wataona kawaida tu,Wanasoma na watt wanaosuka nywele(watt Wa kiume) wao wanaona kawaida tu,walimu wanawaambia wazaz wakiwapiga mtoe taarifa,kweli mkipiga akienda shule kila kitu anamwambia mwalimu wake,baada ya mda polisi hao,sasa hayupo unaona maadili kweli???na hiyo sehemu ni good place kwa kuraise mtt?Sema kweli,Usipende kutetea labda kwa sababu hupo dunia ya Kwanza,tell us the truth kaka
 
Dharau ipi haya tuambie basi wewe na huyo mwenzako mmnayeshikina akili mnafanya kazi gani Ulaya?

Mimi nilikuja Ulaya zamani sana nikasoma nikamaliza.

Nilisomea ICT na niko vizuri kwenya hardware.

Wakati nikisoma nimefanya kazi Kama Data Entry, systems configurations na Admin katika mashule ya Ulaya hivyo nafahamu setup na admin yaani scope.nzima.

Mshahara wangu kwa mwezi ulianzia na tshs 3m hivi sasa hivi upo kwenye 4m hivi za TZ kwa mwezi. Hili Ni eneo ambalo kazi zake haziishi.
Lakini wakti nikisoma nilipga mzigo kisawasawa NA nafahamu Copenhagen anachopitia.
 
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma.
NB: Iundwe WIZARA YA VIWANDA tu ikiwezekana tupate Diaspora mwenye uelewa na sekta hiyo ili kutukwamua hapa tulipo. Ni ushauri tu.

They fled Ethiopia amid war and privation. An economic boom is bringing them home.
Kwa nini unataka favor?
Kwa nini usi compete na wengine?

Swala la kutaka favor linaleta walakini kwenye uwezo wako!
 
Okay sawa wanatambua wao wanatoka africa,Wanasoma na watt ambao baba zao ni jinsia moja,sasa hapo lazima Wataona kawaida tu,Wanasoma na watt wanatoboa masikio hapo wataona kawaida tu,Wanasoma na watt wanaosuka nywele(watt Wa kiume) wao wanaona kawaida tu,walimu wanawaambia wazaz wakiwapiga mtoe taarifa,kweli mkipiga akienda shule kila kitu anamwambia mwalimu wake,baada ya mda polisi hao,sasa hayupo unaona maadili kweli???na hiyo sehemu ni good place kwa kuraise mtt?Sema kweli,Usipende kutetea labda kwa sababu hupo dunia ya Kwanza,tell us the truth kaka

Hivi Diamond hajatoboa masikio na pua??hivi Kinondoni hamna mshoga wanaotembea na kuonekana mchana kweupe?? Hivi mateja yanabwia unga mchana kweupe yako wapi?? sio Kinondoni?? Mie naona hapa ni jinsi wewe kama wewe unavyomlea mtoto ndio ina matter na sio mtoto kakulia wapi hayo mengine ni add ons katika life.
 
Kukataa mzizi wa fitina tufahamishe unafanya kazi gani mkuu hapo Copenhagen?
mkuu ritz mimi nafanya kazi tatu. Kaaz ya kwanza Naanza alfajir saa 11 namaliza saa 3 (masaa manne) kufagia supermarket usidhan natumia chelewa au fatuma ni mashine mkuu.

Nikimaliza faster nawahi treni kuingia kwenye mzigo mwengine maamae kuosha vyombo (the best job I like) wamenipachika the best dishwasher in Europe maamae kwasabab navyopiga vyombo kwa utaalam wakipekee ni restaurant ndan ya kampun flan tunahudimia 800+ customers maamae hapo napiga masaa sita maamae 10am to 16:00.

16:00 to 18:00 ninazuga center tu au sometimes nazuka ghetto. 18:00 to 23:00 naenda kusafisha gerej ya matrack ni kaz ya masaa 5 mimi maamae nakupigia manne sometimes matat na nus hasa sasa hiv summer si kuchaf sana winter balaa. Halaf kwenye hii kaz unaweza kuondoka kabla ya mda wake as long umetimiza wajib
 
NIwie radhi kama nimekukwaza....

Ila nadhani iko shida, watanzania tunapenda sana kulalama bila kujaribu; i know very successful dayasporaz wanaowekeza kimyakimya
Ukiona mtu anadai yupo vizuri kwenye maswala fulani halafu anaomba favor dhidi ya wengine kupata kazi katika sehemu anayodai yeye ni mtaalamu ana tatizo na hajitambui!!
 
Back
Top Bottom