kwani mimi nilikuja kuish huku milele? Kwani mimi sina mashamba na nyumba bongo? Wee vp? Nimekuja huku kutafuta. Nafanya kaz masaa 14 -15 kwa siku ispokuwa j2 Ndio maana unaniona sasa hiv niko active hum kesho siingi mzigon.
Kuhus kodi ya pango nikusave mkuu. Kodi ya pango tu hapa kwa mwez viwanja vya kutosha ama mashamba tanga. Mimi nashare na masela ninasevu karibia milion mbil za bongo kama ningeish ama kupanga apartment kivyang.
Sitaish hiv kubeba boks milele nimejiwekea target had 2020. Nina akiba ya hela ya kutosha tu. Na bongo nina asset za kuridhisha. Nilipokuwa bongo kufikisha hata laki ilikuwa ngumu kwa mwez lakin sasa hiv maamae 47000tzs × 14 × 6 ×4 kodi 36%
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma
Toka lini umekuwa diaspora?Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma
Hawaja jipanga tu sehemu zingine sana sana wabara wanachojua ujinga tu most of the time (uwezi kusikia mambo hayo ya kipuuzi kwenye misiba ya wazanzibari wenye akili zao timamu).Mkifa hamuishi kutembeza bakuli kwa hao hao wala vumbi ili maiti irudishwe nyumbani
Kwani mlizuiwa?Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma
Warudije sasa wakati nauli tu ni shida.rudini tuu.., calculate number of years staying away from home then compare with achievement.unajikuta mvii zimetapakaa kila sehemu,hakuna cha maana stuka mapema.Tanzania uliyoiacha wakati huo sii TZ ya sasa..!
Bado mnajidanganya sana ndiyo maana mkifanikiwa kupata nauli mkija mkuu mnakimbia watu coz hamuamini mnachokikuta kwa homeboys mliowaacha.kwani mimi nilikuja kuish huku milele? Kwani mimi sina mashamba na nyumba bongo? Wee vp? Nimekuja huku kutafuta. Nafanya kaz masaa 14 -15 kwa siku ispokuwa j2 Ndio maana unaniona sasa hiv niko active hum kesho siingi mzigon.
Kuhus kodi ya pango nikusave mkuu. Kodi ya pango tu hapa kwa mwez viwanja vya kutosha ama mashamba tanga. Mimi nashare na masela ninasevu karibia milion mbil za bongo kama ningeish ama kupanga apartment kivyang.
Sitaish hiv kubeba boks milele nimejiwekea target had 2020. Nina akiba ya hela ya kutosha tu. Na bongo nina asset za kuridhisha. Nilipokuwa bongo kufikisha hata laki ilikuwa ngumu kwa mwez lakin sasa hiv maamae 47000tzs × 14 × 6 ×4 kodi 36%
Duh,mkuu umetisha kwa inglishi.inglishi yako ni ya levo ya juu mno hata malkia elizabeti hafui dafu.wewe ni dayasipora mbobevu wa lugha ya ughaibuni.hongera sana.there is no favourable and conducive environment for a real serious and potential investor like me to invest this is due to political instability no democracy and no transparency for instance the issue of Zanzibar and the mtandao act. Also the infrastructures are in bad condition Airports are not safe. High crime rates corruption at highest level mizaha wivu chuki hila ghilba choyo kinyongo uvivu elimu maghumash go on and on.
CAN'T RISK TO PUMP IN MASSIVE CASH TO INVEST IN SUCH CONDITIONS.
NIwie radhi kama nimekukwaza....😀😀😀😀😀heshima yako mkuu janjaweed
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma
Watu waliopo bongo wana elimu ya kutosha Na waledi wanafanya professional jobs. Na diaspora wengi mmafanya kazi za boxes Na bbc ya British buttock clean. Mnaweza kushauri nini. Elimu yenu wengi ni za west London college au unabisha mleta uziKatika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma
Wewe juzi Kati ulikuja hapa na Uzi ukitaka tukuombee kwa kuwa eti Kuna mjane mmoja ambae Ni bibi Ana hela Sana sasa ukatamani uwe nae kimahusiano ili utusue kimaisha? Kwendraaaaaaatatizo mmezid wiz wiv majung ushirikina na uzembe. Naweza nikaanzisha kiwanda nikapigwa juju ya kufa mtu
Atakujibu kubeba mizigo viwandani aka ukuli.Mkuu, ukirudi utakuta hili swali, ni exposure ya aina gani ulo nayo kwenye masuala ya viwanda?
Fafanua,
kuna ujumbe mzito sana umeutoa hapa... I HOPE WATAKUELEWAkwani mimi nilikuja kuish huku milele? Kwani mimi sina mashamba na nyumba bongo? Wee vp? Nimekuja huku kutafuta. Nafanya kaz masaa 14 -15 kwa siku ispokuwa j2 Ndio maana unaniona sasa hiv niko active hum kesho siingi mzigon.
Kuhus kodi ya pango nikusave mkuu. Kodi ya pango tu hapa kwa mwez viwanja vya kutosha ama mashamba tanga. Mimi nashare na masela ninasevu karibia milion mbil za bongo kama ningeish ama kupanga apartment kivyang.
Sitaish hiv kubeba boks milele nimejiwekea target had 2020. Nina akiba ya hela ya kutosha tu. Na bongo nina asset za kuridhisha. Nilipokuwa bongo kufikisha hata laki ilikuwa ngumu kwa mwez lakin sasa hiv maamae 47000tzs × 14 × 6 ×4 kodi 36%