Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,653
- 25,661
Okay sawa wanatambua wao wanatoka africa,Wanasoma na watt ambao baba zao ni jinsia moja,sasa hapo lazima Wataona kawaida tu,Wanasoma na watt wanatoboa masikio hapo wataona kawaida tu,Wanasoma na watt wanaosuka nywele(watt Wa kiume) wao wanaona kawaida tu,walimu wanawaambia wazaz wakiwapiga mtoe taarifa,kweli mkipiga akienda shule kila kitu anamwambia mwalimu wake,baada ya mda polisi hao,sasa hayupo unaona maadili kweli???na hiyo sehemu ni good place kwa kuraise mtt?Sema kweli,Usipende kutetea labda kwa sababu hupo dunia ya Kwanza,tell us the truth kaka
Mkuu, unaweza ukawa uko sahihi katika madai yako.
Lakini hayo tote uloeleza Ni asilimia ndogo Sana kulinganisha NA watoto wengi NA hai baba zao. Lakini kila kitu kinaanzia nyumbani NA inategemea NA setup yako. Ukikosea mahala basi mtoto atapotea njia.
Mimi walimu na watoto wangu wanafahamu kwamba nikiitwa shuleni kwa jambo la kijinga basi kutawaka Moto. Na watoto watakosa kila kitu wanachopata ikiwa watafanya ujinga.
Ni kuwa karibu na watoto kwa kila jambo wanalopitia NA hasa internet.
Ukizidisha Sana maboksi utasahau watoto.