sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Ni rasmi Diamond Platnumz sasa ni shabiki wa mabingwa wa Tanzania, Dar Young Africans.
Diamond ameamia Yanga akimfata supastaa namba moja wa michezo East Africa, Haji Manara. Kabla ya hapo Diamond alikuwa shabiki wa timu inayosuasua ya Simba SC.
Timu ya Yanga ambayo ndio club kubwa na yenye mashabiki wengi tutegemee kuiona ikizidi kuvuna watu wengi baada ya uamuzi huu wa Diamond.
Diamond ameamia Yanga akimfata supastaa namba moja wa michezo East Africa, Haji Manara. Kabla ya hapo Diamond alikuwa shabiki wa timu inayosuasua ya Simba SC.
Timu ya Yanga ambayo ndio club kubwa na yenye mashabiki wengi tutegemee kuiona ikizidi kuvuna watu wengi baada ya uamuzi huu wa Diamond.