sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na mtandao maarufu duniani.
Msanii namba moja Afrika Diamond Platnumz ameshikilia namba mbili kwenye bara ili lenye nchi zaidi ya 50 na wasanii zaidi ya million 70.....yaaani katika wasanii wote Africa Diamond Platnumz ndio namba mbili.
Asante sana Mwenye enzi Mungu kwa kutujalia hii zawadi ya shujaa kutoka Tandale anaetupa heshima kama taifa.
Msanii namba moja Afrika Diamond Platnumz ameshikilia namba mbili kwenye bara ili lenye nchi zaidi ya 50 na wasanii zaidi ya million 70.....yaaani katika wasanii wote Africa Diamond Platnumz ndio namba mbili.
Asante sana Mwenye enzi Mungu kwa kutujalia hii zawadi ya shujaa kutoka Tandale anaetupa heshima kama taifa.