Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

abdulhamis

JF-Expert Member
Aug 2, 2019
1,436
2,292
Habar wanaJF,

Aliyesema kuwa wanawake na mama zetu tusiwaamini hakukosea leo kwani huenda wazazi wetu wa kiume walio tulea sio baba zetu.

Leo Rikardo Momo amesema kuwa mzee Abdul sio baba yake Diamond na kusema kuwa yeye na Diamond wanachangia baba na baba yao anaitwa Mzee Salim Nyange.

Haya yote yanaweza kuwa sawa lakini kwanini Diamond anaitwa Naseeb Abdul na siyo Salim Naseeb Nyange? Hivi inawezekana baba mlezi kupewa hadhi ya ubin wa mtoto au ndio mama Diamond anataka amalize mchezo?

Na kama ni kweli Mzee Abdul sio baba yake Diamond huenda mama Diamond alikataliwa hii mimba na mzee Salim Nyange akaamua kumtupia zigo mzee Abdul na bila shaka mzee alikubali kiroho safi ila huenda alikuwa anaambiwa mengi na ndugu pamoja na rafiki.

Apa hii story sioni kama ina utofauti na story iliyopo kwenye mziki wa Stamina na Profesa Jay maana namuona Diamond anamlaumu Mzee Abdul kwa kutokumlea ilihali Mzee Abdul alijua Diamond siyo mwanae na bado akaendelea kuwa baba kwa uwezo wake.

Ila sijaamini kama Mzee Abdul sio baba yake mzazi Diamond sababu sio rahisi mtoto alelewe na baba wa kambo mpaka abadilishe jina la ubin wake pia na kuwapa mpaka watoto zake jina la babu yao feki walitumia kama babu yao.

Hizi ni faulo zinataka kuchezeka hapa Mama Diamond anataka kumaliza mechi.

12.JPG

======

Maneno ya Mama Diamond

Mama mzazi wa Diamond Platnumz akijibu kuhusu swali la Dida ambaye ni Mtangazaji wa Wasafi FM, ambaye aliuliza kuhusu uhusiano wa Diamond na Ricardo Momo, mama huyo amejibu kwa kuuliza ''Diamond na Ricardo mnawaonaje?, ambapo Dida alisema wanafanana.

Mama Diamond akaendelea kusema kuwa Baba mzazi wa Diamond anaitwa Salum Idd Nyange huku akidai kuwa Mzee Abdul ni baba mlezi wa Diamond kwani wakati wanaingia kwenye mahusiano alimwambia kuwa kuwa ana ujauzito na Mzee Abdul kusema kuwa ahusiki.

Mama huyo amedai kwamba mzee Abdul alimkataa Diamond tokea mimba na hakuwahi kuwa na mchango wowote kwa Diamond kuanzia vidudu mpaka Sekondari.

Mama Diamond amekuwa akimwambia mzee Abdul kwamba bora ungemkubali Diamond tokea mdogo sasa hivi ungekuwa na mtoto, na ndicho amekuwa akimwambia siku zote.


Baba Diamond atoa neno

Adai kuwa amesema mbele ya watanzania wote kuwa kuanzia wakati huo hamtambui tena Diamond kama mtoto wake kwa kuwa imeshatamkwa kuwa yeye si baba wa mtoto.

Na alipoulizwa kuhusu kupima vinasaba (DNA) ili kuipambania haki ya uzazi kwa Diamond alijibu kuwa mtoto hagombaniwi kama ilivyo mpaka wa nyumba haugombaniwi.


Mzee Abdul Amtaka Diamond Aache Kutumia Jina Lake​

"Mtoto hagombaniwi… Mimi nimekubali siwezi nikapinga, atakancel jina langu, ataenda kuoneshwa kaburi la baba yake basi inatosha," alisema Mzee Abdul

By Jackline Mgeni 15 Jan, 2021

Mzee Abdul ambaye awali alikuwa anafahamika kama Baba yake mzazi Diamond amemtaka msanii huyo aache kutumia jina lake (Nasib Abdul) kwani sasa sio familia moja tena.

Suala hilo linakuja baada ya Sanura Kassim maarufu Mama Dangote ambaye ni mama mzazi wa msanii wa kizazi kipya, Diamond Platnumz kuweka wazi kuwa baba halisi wa Diamond si Abdul Juma bali ni Salum Iddi Nyange ambaye pia ni baba mzazi wa Ricardo Momo, Meneja wake msanii Lavalava.
Abdul Juma amekuwa kwa miaka mingi akifahamika kama baba wa msanii huyo wa Bongofleva.

Mama Dangote ameeleza hayo leo Ijumaa Januari 15, 2021 baada ya kupigiwa simu na Dida, mtangazaji wa kipindi cha Mashamsham kinachorushwa na redio ya Wasafi kueleza kuhusu uhusiano kati ya Diamond na Ricardo Momo aliyekuwa akihojiwa na redio hiyo.
Kupitia #MashamSham ya @wasafifm, @mama_dangote kwa mara ya Kwanza amethibitisha kuwa Mzee Abdul si baba mzazi wa @diamondplatnumz , na aliikataa mimba ya Diamond tangu akiwa mjamzito . pic.twitter.com/1ntm84wxKh
— Wasafifm (@wasafifm) January 15, 2021
Katika majibu yake, mama Dangote amesema Ricardo na Diamond ni ndugu na baba yao ni Nyange ambaye kwa sasa ni marehemu.
Akizungumza na Simulizi na Sauti baada ya kumalizika kwa mahojiano hayo, Mzee Abdul amesema amefurahi kusikia jambo hilo akidai kuwa sasa atakuwa huru kwani sasa anajua nafasi yake ndani ya familia hiyo.

“Kama muhusika akishakwambia hauhusiki basi mi naamini hamna haja ya kujiforce…mtoto hagombaniwi…mimi nimekubali siwezi nikapinga, atakancel jina langu, ataenda kuoneshwa kaburi la baba yake basi inatosha” Mzee Abdul akijibu swali la mtangazaji lilimtaka ajibu kama amekubali suala hilo kwasababu alikuwa hasaidiwi kama anavyodai ama kwa sababu ni kweli kwamba mtoto huyo siyo wa kwake.

“Nadhani mhusika ameshazungumza sawasawa kabisa,” amesema Abdul na alipoulizwa kama alikuwa anafahamu suala hilo alijibu, “hapana” Amesema kuanzia leo amekubali kuwa Diamond si mwanaye na kuongeza kuwa huenda ndio sababu msanii huyo alikuwa hanitimizii mahitaji yangu, “nashukuru sasa kwa kulijua suala hilo kwa undani na nampa big up sana kwa kuliongea hilo” aliongeza.

Screenshot_20210115-200341.png
 
Habar wanajf,

Aliyesema kuwa wanawake na mama zetu tusiwaamini hakukosea leo kwan huenda wazazi wetu wa kiume walio tulea sio baba zetu.

Leo Rikardo Momo amesema kuwa mzee Abdul sio baba yake Diamond na kusema kuwa yeye na Diamond wanachangia baba na baba yao anaitwa Mzee Salim Nyange.

Haya yote yanaweza kuwa sawa lakini kwanini Diamond anaitwa Naseeb Abdul na siyo Salim Naseeb Nyange? Hivi inawezekana baba mlezi kupewa hadhi ya ubin wa mtoto au ndio mama Diamond anataka amalize mchezo?

Na kama ni kweli Mzee Abdul sio baba yake Diamond huenda mama Diamond alikataliwa hii mimba na mzee Salim Nyange akaamua kumtupia zigo mzee Abdul na bila shaka mzee alikubali kiroho safi ila huenda alikuwa anaambiwa mengi na ndugu pamoja na rafiki.

Apa hii story sioni kama ina utofauti na story iliyopo kwenye mziki wa Stamina na Profesa Jay maana namuona Diamond anamlaumu Mzee Abdul kwa kutokumlea ilihali Mzee Abdul alijua Diamond siyo mwanae na bado akaendelea kuwa baba kwa uwezo wake.

Ila sijaamini kama Mzee Abdul sio baba yake mzazi Diamond sababu sio rahisi mtoto alelewe na baba wa kambo mpaka abadilishe jina la ubin wake pia na kuwapa mpaka watoto zake jina la babu yao feki walitumia kama babu yao.

Hizi ni faulo zinataka kuchezeka hapa Mama Diamond anataka kumaliza mechi.
Sasa sisi walimwengu tunaona picha utoto za Diamond akiwa na Mzee Abdul.

Huyo Salim Nyange yeye picha ziko wapi?

Unajua nchi hii sasa hivi maisha yamekuwa magumu sana na kumekuwa na tatizo kubwa sana la ajira. Hali hiyo imejenga hali ya Kuabudiana sana.

Mtu akiwa na pesa kidogo au madaraka anaabudiwa kama mungu. Mpaka umetokea msamiati mpya wa chawa.

Yaani mtu akiwa na visenti au madaraka HAKOSEI.

Ukimkosoa chawa wake wanakushambulia hatari.

This is too much.
 
Jiandaeni kwa wimbo mpya

Mi nachompenda diamond ni very smart.. watu wangejua mambo yote yanapangwa haya kuteka instagram na kuingiza pesa youtube..

Harusi ya esma na msizwa ni planned, haya maneno ya rikado momo nina uhakika ni planned... yaani wanapiga hela kiurahisi sana zama hizi za social network

Umbea unakutajirisha fasta ukijua kuutumia. Diamond na familia yake wanalijua hilo..ndio wanawapa umbea sasa kama huo wa kuzua tu

Umbea umempa shigongo utajiri

Umbea umewapa watu wengi ajira wanaendesha magari mazuri na wanajenga kina juma lokole, carry mastory, kumbuka, shilawadu etc
 
Habar wanajf,


Aliyesema kuwa wanawake na mama zetu tusiwaamini hakukosea leo kwan huenda wazazi wetu wa kiume walio tulea sio baba zetu

Leo Rikardo Momo amesema kuwa mzee Abdul sio baba yake Diamond na kusema kuwa yeye na Diamond wanachangia baba na baba yao anaitwa Mzee Salim Nyange

Haya yote yanaweza kuwa sawa lakini kwanini Diamond anaitwa Naseeb Abdul na siyo Salim Naseeb Nyange? Hivi inawezekana baba mlezi kupewa hadhi ya ubin wa mtoto au ndio mama Diamond anataka amalize mchezo?

Na kama ni kweli Mzee Abdul sio baba yake Diamond huenda mama Diamond alikataliwa hii mimba na mzee Salim Nyange akaamua kumtupia zigo mzee Abdul na bila shaka mzee alikubali kiroho safi ila huenda alikuwa anaambiwa mengi na ndugu pamoja na rafiki

Apa hii story sioni kama ina utofauti na story iliyopo kwenye mziki wa Stamina na Profesa Jay maana namuona Diamond anamlaumu Mzee Abdul kwa kutokumlea ilihali Mzee Abdul alijua Diamond siyo mwanae na bado akaendelea kuwa baba kwa uwezo wake

Ila sijaamini kama Mzee Abdul sio baba yake mzazi Diamond sababu sio rahisi mtoto alelewe na baba wa kambo mpaka abadilishe jina la ubin wake pia na kuwapa mpaka watoto zake jina la babu yao feki walitumia kama babu yao

Hizi ni faulo zinataka kuchezeka hapa Mama Diamond anataka kumaliza mechi.
Kwa DNA zetu za macho wamefanana.
 
Leo mama diamond almaarufu kama Mma dangote, amekiri kua Mzee Abdul anaejulikana kua ni baba mzazi wa Diamond, sio baba mzazi wa diamond na kukazia kua baba wa diamond alishakufa mda tokea akiwa na mimba ya diamond.

Akiendele na mazungumzo yake alidai kua Mzee abdul aliikataa mimba ya na kukataa kumlea diamond alipozaliwa.

NAYAONA HAYA:

*MZEE HUYU ABDUL ATAKATA TAMAA YA MAISHA KWANI TEGEMEO LAKE ILIKUA NI SIKU MOJA DIAMOND ARUDISHE MOYO NYUMA AMSAIDIE

*NAONA KABISA MZEE HUYU KUJIINGIZA KWENYE VILEVI KUPINDUKIA KWA SABABU YA STRESS

*YOYO KWA YOTE NAONA KABISA TUNAMPOTEZA HUYU MZEE, HIZI HABARI SIO NJEMA KWAKE.

TUSUBIRI TUONE



View attachment 1678070
 
Back
Top Bottom