Diamond kaleta sifa Tanzania

Diamond kaleta sifa Tanzania

kwenye mafanikio wivu chuki havikosekani
 
Akili yako fupi. Wote ni watz jus give support when it comes to international level kibongobongo ndo uwapambanishe. Don't tell uko tayari davido achukue kisa u think AY deserved more

yakwako ndefu inafika mpaka wapi,yes lets Davido or mafikizolo take that they almost real and good sio kama huyo boy wahapa nyumbani
 
Kilichobaki ni kumpigia kura tu chuki ziwekwe pembeni.
 
Tunapigaje kura, angalau nifanye jambo hata akishindwa nitasema nilijaribu maana watz hatupigii kura wa kwetu.

Media zinemtangaza walau apate support hata EA, akipata pata na kwingine hivi walau.

Always ni 'support your own first'
 
yakwako ndefu inafika mpaka wapi,yes lets Davido or mafikizolo take that they almost real and good sio kama huyo boy wahapa nyumbani

Sioni haja ya kuargue wewe ni mtu tu ila watu ndio wameshamkubali so kampigie kura AY
 
Hajakuchanganya,jamaa kaongea ukweli,BET awards ni ya U.S.A,na hiyo tuzo aliyotajwa Diamond siyo B.E.T awards ila M.T.V awards za Africa Kusini.So mleta mada kachemka kusema ni B.E.T awards

We ndo unachanganya yuko kwenye zote mbili za Bet na MTV
 
Hongera sana Diamond Platnumz, acha wenye roho za kinyoga wajinyoge tu. Cha msingi ikifika kipindi cha kura weka publicity ya kutosha ili watanzania wakupigie kura!!! Hata sisi tusiokuwa vijana tutakupigia tu.
 
Umeona eeh, tena hii hata wazee tunapiga.


Wakenya aliposhindwa Obama uraisi, akawa Jaluo namba 1

Lupita aliposhinda Oscar, akawa Jaluo namba 1, Obama Jaluo no 2. Na hao labda hata uraia si wa Kenya kiviiile. Sasa sie tushindwe kumpigia kura huyu, stage moja na akina Jay, Drake sijui nani nani huko.

Hii ifanyike kampeni kabisa, walau atawa-inspire na vijana wengine, sio lazima wote tufanye white color jobs, kujenga taifa ni mtu kupata kipato chake kihalali.

Hongera sana Diamond Platnumz, acha wenye roho za kinyoga wajinyoge tu. Cha msingi ikifika kipindi cha kura weka publicity ya kutosha ili watanzania wakupigie kura!!! Hata sisi tusiokuwa vijana tutakupigia tu.
 
né Aiko – "The Worst"
LiV Warfield – "Why Do You Lie?"
Wale f/ Sam Dew – "LoveHate Thing"

Best International Act: Africa
Davido (Nigeria)
Diamond Platnumz (Tanzania)
Mafikizolo (South Africa)
Sarkodie (Ghana)
Tiwa Savage (Nigeria)
Toofan (Togo)

Best International Act: UK

Dizzee Rascal
Ghetts
Krept & Konan
Laura Mvula
Rita Ora
Tinie Tempah

The BET Awards will air on the BET network on June 29 at 8 p.m. EST.

Read more: BET Awards 2014 Nominees Revealed: Beyonce, Jay Z, and Drake - Us Weekly
Follow us: @usweekly on Twitter | usweekly on Facebook
 
Natamani hasingejiita 'Diamond Platinumz'...labda angejiita 'Tanzanite' hivi...lingekuwa shavu kubwa zaidi kwa Tanzania!

Angejiita hivyo pia usingekosa la kusema, watu wasio - appreciate hawakosagi cha kutamka wakati wa kukosoa!

Bila shaka ungesema unatamani ajiite Tanganyika, Kilimanjaro, Bongo etc (au Ukawa kabisa).
 
Angejiita hivyo pia usingekosa la kusema, watu wasio - appreciate hawakosagi cha kutamka wakati wa kukosoa!

Bila shaka ungesema unatamani ajiite Tanganyika, Kilimanjaro, Bongo etc (au Ukawa kabisa).

Unawashwa!? Au umekuwa sheikh Yahaya unatabiri kila ninachotaka kusema?!
 
Back
Top Bottom