Diamond kaleta sifa Tanzania

Diamond kaleta sifa Tanzania

Asienda kuvaa sketi tuu.., maana hiyo mitindo yake ya siku hizi ni hatari.., aombe ushauri nini cha kuvaa.., na asiombe ushauri kwa wema atamuaibisha kule..
 
Kumbe watu mnashoboka na Marekani eeh?

Sasa kujishaua na kujifanya kuiponda ndo nini?

Nyambaaaaf kabisa!
 
sijui kwa vigezo vipi kawa nominated lakini kwa mara nyingine hatuja toa mshindani katika hizo tuzo,i opt AY ndo angekuwa nominee kwasababu ngoma zake ni international zaidi kuliko za huyu dogo nadhani kilicho mpeleka pale huyu ni collabo yake na Davido,

acha chuki binafsi mkuu,jamaa anajua sana huwezi mlinganisha na msanii yeyote hapa bongo
 
sijui kwa vigezo vipi kawa nominated lakini kwa mara nyingine hatuja toa mshindani katika hizo tuzo,i opt AY ndo angekuwa nominee kwasababu ngoma zake ni international zaidi kuliko za huyu dogo nadhani kilicho mpeleka pale huyu ni collabo yake na Davido,

Hapo umenena INGEJA.
 
sijui kwa vigezo vipi kawa nominated lakini kwa mara nyingine hatuja toa mshindani katika hizo tuzo,i opt AY ndo angekuwa nominee kwasababu ngoma zake ni international zaidi kuliko za huyu dogo nadhani kilicho mpeleka pale huyu ni collabo yake na Davido,

Acha ushamba wewe...ngoma za ki-international ndio zikoje??
 
Diamond rocks EA, talented give credit where credit is due.
 
huyu ata angekuwa mwanasayansi kingeeleweka

Umeongea point mkuu, afazali angekua mwanasayansi lakini music hamna kitu mimi naona. P square ni maarufu sana kwa mziki na wanapata zawadi lakini nigeria kutwa vita ya boko haram
 
Iweje kaleta sifa Tanzania wakati tuzo zenyewe ni za hapa hapa?,labda sema kaleta sifa kwenye familia yake.Ingekuwa kapata tuzo nje ya Tanzania,ungekuwa sahii kusema kaleta sifa Tanzania.Nadhani ndivyo Kiswahili kinatakiwa kiwe .

Huyu anaelewa kinachoendelea kweli?
 
Hashindi wala nini na nyie acheni shobo. Mtu mwenyewe mdomo utadhani tarumbeta kuu.!!
 
Nyinyi msiongelee kinazi au kiushabiki au kimapenzi.

Mkikubali au Mkikataa huyu jamaa DIAMOND yuko juu sana kwa sasa yaani ndio hali halisi
 
Ebu teambieni hao wanaojua music kwa tz wametufikisha level ipi au mnaponda tu. Na atawakomesha sana tu
 
sijui kwa vigezo vipi kawa nominated lakini kwa mara nyingine hatuja toa mshindani katika hizo tuzo,i opt AY ndo angekuwa nominee kwasababu ngoma zake ni international zaidi kuliko za huyu dogo nadhani kilicho mpeleka pale huyu ni collabo yake na Davido,

Diamond deserves everything aisee kuliko AY nionavyo
 
Back
Top Bottom