Escardo-bird
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 622
- 225
sijui kwa vigezo vipi kawa nominated lakini kwa mara nyingine hatuja toa mshindani katika hizo tuzo,i opt AY ndo angekuwa nominee kwasababu ngoma zake ni international zaidi kuliko za huyu dogo nadhani kilicho mpeleka pale huyu ni collabo yake na Davido,
Hiyo hiyo collabo yake na davido ndo international au ulikua unataka aimbeje awe international and MY NUMBER ONE was of world class sana tuu, jaman tumpigieni kura Diamond kwa wingi msanii wetu na ss tupeleka tasnia ya muziki Tz to the next level.