INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,266
Kama AY ngoma zake ni international basi siku nyingi angeingiankwenye kinyang'anyiro hicho....tuache kufanya comparisonss..AY huwa anajaribu kutushawishi kwamba yuko international but walio huko bado hawajamuona aendelee kukaza buti tuu
soooo....kasha kuwa nominee kwenye Chanel O awards zaidi ya mara tatu,kasha kuwa nominee kwenye Mtv mama Awards,kashakuwa nominee kwenye Kora awards,kisima awards so compare na mdogo wako huyo,nakucheka unavyo sema eti hajulikani kimataifa hata show anazofanya mbele sio za sebuleni kwenye birthday party...have you seen AY interviewed on BBC Africa?