Doctor Stranger
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,202
- 6,143
Huyo jamaa yupo vizuri sana humu jukwaani...ila kwenye habari za diamond anajitoaga akili anakua zezeta Sijui kwaniniSasa Mkuu Ndugu mimi sipo humu kujulikana nipo humu kuwalisha ninacho kitaka.
Sasa kama unaumia ni ww umechagua kuumia Mku Ndugu kwa kusoma post zangu na sija kulazimisha Mkuu Ndugu ni ww shobo zako kudandia post za wanaume.