sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,522
- 7,370
- Thread starter
- #21
Sawa mkuu umesomeka Wasafi betting itakuwa hivyo hivyo 😂😂😂Diamond karanga zipo wapi?
Chibu pafyumu zipo wapi?
Sawa mkuu umesomeka Wasafi betting itakuwa hivyo hivyo 😂😂😂Diamond karanga zipo wapi?
Chibu pafyumu zipo wapi?
Diamond karanga zipo wapi?
Chibu pafyumu zipo wapi?
Usimchukie hyo dogo ameona fursa ya kutumia jina la Diamond kuendelea kushain kama wanavyofanya kina mwijaku babalevo nkSimpendi harmonize
Labda mkataba umeisha.Ubalozi wa ile kampuni ya kubeti jina limenitoka si itabidi uishe sasa au?
Hayo ya dini atajuana yeye na mungu wake akifa.Lakini dini yake si inakataza au ni sawa tuu akifanya?
Ebu fukunyua tumkamate huyu brand ambassador 😂😂😂😂😂😂😂Ukifukunyua ndani unakuja kupata yeye ni share holder labda, au brand ambassador, ila muhimu mpunga unaingia
Subiri album mkuu acha maneno mingiAnajiandaa kustaafu mziki
good vision
Diamond atoa somo kubwa kuhusu branding, katengeneza branda kupitia brand yake anapata wawekezaji mwisho wa siku wanagawana asilimia,yy mtaji wake ni jina tu la WASAFI.Diamond Platnumz msanii namba moja Africa ameendelea kuonyesha ubabe wake kwenye kila kona kuanzia muziki mpaka uwekezaji.
Ametambulisha rasmi biashara yake mpya ya Wasafi betting.
Ama kwa hakika vijana wapambanaji tuna mengi ya kujifunza kwa huyu living legend. Tunakiwa tupate hamasa kwa movement zake sio kumjengea chuki.
View attachment 2023903
Na wewe unatoa somo kuhusu nini ??Diamond atoa somo kubwa kuhusu branding, katengeneza branda kupitia brand yake anapata wawekezaji mwisho wa siku wanagawana asilimia,yy mtaji wake ni jina tu la WASAFI.
Ni ya ukoo wenu, yeye kijakazi tuNI ya kwake au balozi?
WATANZANIA WALIO WENGI WAMEWEKEZA KWENYE UMBEA NA MAJUNGU. KAMA KUNA KAMPUNI INAHITAJI TEAM ZA MAJUNGU ZIJE BONGO.Diamond atoa somo kubwa kuhusu branding, katengeneza branda kupitia brand yake anapata wawekezaji mwisho wa siku wanagawana asilimia,yy mtaji wake ni jina tu la WASAFI.
Tutajengea msikiti kuzisafishaKubet dhambi ila kutafta hela sio dhambi😅
Sio uongo mkuu, ingia kwny page ya odibets uone... wasafi bet ni tawi lao na kibongo ipo chini ya diamond kama co ownerNa wewe unatoa somo kuhusu nini ??
Aisee, miaka inakatika lakini tabia ya u haea imekuganda tu.
Kaombewe mkuu.
Hali tete.
NI ya kwake au balozi?