Diamond afanya uwekezaji mkubwa kwenye betting...Atambulisha rasmi Wasafi betting

Diamond Platnumz msanii namba moja Africa ameendelea kuonyesha ubabe wake kwenye kila kona kuanzia muziki mpaka uwekezaji.

Ametambulisha rasmi biashara yake mpya ya Wasafi betting.

Ama kwa hakika vijana wapambanaji tuna mengi ya kujifunza kwa huyu living legend. Tunakiwa tupate hamasa kwa movement zake sio kumjengea chuki.

View attachment 2023903
Tunaipongeza sana serikali ya awamu ya sita kwa kukuza uwekezaji
 
Diamond Platnumz msanii namba moja Africa ameendelea kuonyesha ubabe wake kwenye kila kona kuanzia muziki mpaka uwekezaji.

Ametambulisha rasmi biashara yake mpya ya Wasafi betting.

Ama kwa hakika vijana wapambanaji tuna mengi ya kujifunza kwa huyu living legend. Tunakiwa tupate hamasa kwa movement zake sio kumjengea chuki.

View attachment 2023903
Astakafirarah..
Na akipata faida atajenga masjid al nuur?!
 
Napitia post zenu wachawi.
Ukimchukia mtu kwasababu ya kufanikiwa kwake jua kuwa ndio unamfungulia milango zaidi.
Imagine jinsi Mondi alivyoanza kuchukiwa miaka 6 nyuma mpaka Sasa anazidi kupepea tu
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Kuwa na biashara ya ku bet sio kitu cha kujivunia!
Ku bet imeusishwa na watu kujiua, afya ya akili, ulevi na kadhalika!
 
Sana tusimbeze Diamond, kwa hakika vijana wapambanaji tuna mengi ya kujifunza kwa huyu living legend Diamond Platnumz. Jina lake tu Diamond amefanya Investment kubwa ya Persona yake nyumbani na kimataifa

Invest In Your Persona - Shaping African Conversations #GinaDinGroup




Source : Shaping African Conversations
 
Back
Top Bottom