Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,206
- 5,197
Tunaipongeza sana serikali ya awamu ya sita kwa kukuza uwekezajiDiamond Platnumz msanii namba moja Africa ameendelea kuonyesha ubabe wake kwenye kila kona kuanzia muziki mpaka uwekezaji.
Ametambulisha rasmi biashara yake mpya ya Wasafi betting.
Ama kwa hakika vijana wapambanaji tuna mengi ya kujifunza kwa huyu living legend. Tunakiwa tupate hamasa kwa movement zake sio kumjengea chuki.
View attachment 2023903