Dialo na Lowasa ni sawa na kichuguu na mlima Kilimanjaro , Dialo hana jipya kaamua kusaka Kiki kupitia jina la lowasa jawabu la Ujinga wake atalipata hapa hapa JF .
Lowassa akiwa raisi, nahama tanzania, bora nikawe mkimbizi,
kuliko kutawaliwa na fisadi namna hiyo.
CHEDEMA JUU,
Huyu Diallo ni mtu wa ajabu kidogo. Maneno ya kusikia toka mitaani anayatolea majibu kama vile kaelezwa na muhusika?.
Hii si busara hata kidogo na pia inaonesha wazi kwamba reasoning capacity ya huyu mtu ni ndogo sana.
Mkuu simiyu@Yetu huku mitaani watu nao sio wajinga watajiuliza "why always him?" Kila anayetangaza nia anawaza kupambana na mamvi....Ila mkubali mkatae huyu mwanachama mwenzenu anasiasa za akili sana na ndio sehemu anayowazidi kete na amini nakwambia aliyekuwa na ubavu wa kumvuruga ni nyerere peke yake zaidi ya hapo mamvi ikulu yake 2015
Lowassa akiwa raisi, nahama tanzania, bora nikawe mkimbizi,
kuliko kutawaliwa na fisadi namna hiyo.
CHEDEMA JUU,
Una hama unayo hata kumi wewe?au ni hii hela ya gadafi unayolipwa na joka la mdimu ndio inayokupa kiburi,ila tambuwa hata uwez kuhamia wilaya nyingine manake utakufa njaa
Nipo sana tuu, sometimes, ukimya pia ni utetezi tosha!.Mpaka sasa hivi sijamuona Pasco
Tupo tunafuatilia kwa karibu!.mkuu siyo kesho tu,leo leo na sasa nakuitia matimu. C.c mkuu sana pasco vs chabruma ,prof:shoe na team act.
Kuandikwa kwenyewe imedhihirika hapo kuwa hajui, alafu huyo ndio Dr kweli jamaa ni from darasa la saba to dr...na bado hatazidi kupata maovu yake ya mauaji, ubakaji, ulawiti...na ijumaa hao madada watakuwa na press confrance jijini Dar
DIALLO IS DEAD AND GONE
DEAD AND GONE...... kaibukia wapi tena?
hapa naona kuna kitu kinaendelea ndani ya chama chetu, kambi mbili zinatolea kashfa ili kuangusha wagombea watarajiwa.
Utumbo alioongea Dialo et akazunguke uwanja wa taifa mara moja, mara atafia jukwaani, kama yalitoka kwa kinywa chake, bas tukapime utimamu wake au utu uzima wake ndo unakaribia kuingia.(maneno ya kitoto hayo)
kuna mambo ya taarabu si ya kusema mbele ya watu wazima.
KAJIPANGE UPYA NA WALIOKUTUMA DIALO
Una hama unayo hata kumi wewe?au ni hii hela ya gadafi unayolipwa na joka la mdimu ndio inayokupa kiburi,ila tambuwa hata uwez kuhamia wilaya nyingine manake utakufa njaa
dialo anamengi ya mmasai nahapo ndipo mtashangaaa. Mzee mamvi akiwa rais narudi kwetu ukerewe.
Pole sana ndugu yangu kwa kuwa na akili finyu kama fito, unafikiri na mimi ni kama wewe uliejiliwa na fasadi la nchi kulitetea ili lichuku madaraka, ya nchi liwanyonye vizuri wananchi.
Lakini kumbuka zipo sifa au matangazo ya aina mbili mazuri na mabaya haya ya lowasa ni matangazo mabaya anachafuka sana mzee lowasa ukweli mwingi unazidi kuwa bayana.
Huyo Daudi kapanga kwenye yale magaduro ya mwananyamala kwaiyo kwa akili yake ndogo anafikiri Lowassa ndio kamsababishia hali hiyo ya Maisha, wakati inatakiwa apigane kama mwanaume ili atoke