WanaJF!
Taarifa zilizo nifikia kutoka Ikulu hivi punde zinasema, mhe Mbowe ambae ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa na mbunge wa jimbo la Hai, amepata mwaliko Ikulu na hivi sasa ana jumuika na viongozi na watu mashuhuri kupata chakula cha jioni 'dina'.
Mwaliko wa Mbowe Ikulu utaleta sura mpya hasa kwenye siasa zetu za ushindani, kwani kwa hivi sasa ushindani wa siasa umegeuka vita baina ya sisi kwa sisi, huku malengo ya kuanzisha mfumo wa vyama vingi, ikiwemo kutanua zaidi demokrasi tukiyaweka kando.
Ni imani na matumaini yangu mwaliko wa Mbowe Ikulu utarejesha imani kwa baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kwa serikali yao, ambayo imani hiyo ilianza kupotea kwa namna moja ama nyingine.
MBOWE asante kwa kuitikia mwaliko, hatimaye CHADEMA yapata mwakilishi kwenye ziara ya rais Obama.
Taarifa zilizo nifikia kutoka Ikulu hivi punde zinasema, mhe Mbowe ambae ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa na mbunge wa jimbo la Hai, amepata mwaliko Ikulu na hivi sasa ana jumuika na viongozi na watu mashuhuri kupata chakula cha jioni 'dina'.
Mwaliko wa Mbowe Ikulu utaleta sura mpya hasa kwenye siasa zetu za ushindani, kwani kwa hivi sasa ushindani wa siasa umegeuka vita baina ya sisi kwa sisi, huku malengo ya kuanzisha mfumo wa vyama vingi, ikiwemo kutanua zaidi demokrasi tukiyaweka kando.
Ni imani na matumaini yangu mwaliko wa Mbowe Ikulu utarejesha imani kwa baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kwa serikali yao, ambayo imani hiyo ilianza kupotea kwa namna moja ama nyingine.
MBOWE asante kwa kuitikia mwaliko, hatimaye CHADEMA yapata mwakilishi kwenye ziara ya rais Obama.