Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

Status
Not open for further replies.
...na huu mfumo umeiharibu Zanzibar ambayo "99.99" ni waislamu... Ukaharibu na ukanda wa Pwani...
 
Kama wewe ni bongo lala ni bongo lala tuu hata ufanyaje dini haina cha kukusaidia. Tusiwe watu wasio fikiri jamani ivi wewe ukiwa mkristo ndo kigezo cha kufaulu basi ukikubali kuwa wakristo ndo wanafaulu tuu basi unakubali kuwa Yesu anawapa majibu ya mtihani ndiyo !!!!! Maana mitihani ya tanzania hatuandiki majina unaweza singizia kuwa saa ya kusaisha labda wanaangalia majina ya wakristo na wanajua huyo ni mwislamu. Wanzania sio wajinga kiasi hiko sasa naona mnataka waislamu kupata kipaombele kama ilivyo fanyika kwa kuwapa vipaombele wanawake hawana uwezo lakini tunawapa kipaombele ili tuu wafaulu huu ni ujinga hatuwezi kukubali kupata mabwenyenye iti kisa tunawarizisha kwa kuwapa kipaombele. Kama wewe ni mwelewa utajua nini nia ya redio imani. Je umewahi kusikai redio yoyote ya dini ya kikristu ikitaja dini nyingine kuwa imefanya ivi mara vile.
Ukweli kuhusu dini ya kristu kwanza kiongozi wa dini ya kikristo amesoma tena sio kusoma amesoma sana.
Pili viongozi wa dini ya kikristo hawalalamiki ovyo na kutoa lawama zisizo na msingi na sio dini ya majungu. Jamani maendeleo sio dini ni juhudi binafsi tena kama unataka kupima maendeleo kidini mbona nirahisi sana siku ya ijumaa pita katika msikiti wowote angalia tuu waumini waliofika na jumapili pita kanisa lolote angalia waumini walio fika. Angalioa katika packing
 
Malalamiko tu bila Mpango mkuu wa kuintercept hali hiyo.
Nina mashakla kama hata hiyo mahakama ya kadhi wataweza kuianzisha baada ya kupiga domo sana na hatimaye kuruhusiwa kisheria kuianzisha.
Dawa yao hawa ni kuwapa kila wanacholilia ili wajione kuwa ni wapumbavu tu, na for sure they are bound to non-perfomance.
 
Maana mitihani ya tanzania hatuandiki majina unaweza singizia kuwa saa ya kusaisha labda wanaangalia majina ya wakristo na wanajua huyo ni mwislamu.
Na lile la mitihani kuchukuliwa baada ya kusahihishwa na kwenda kukaa na watu wasiojulikana kwa miezi miwili maana ya ni nini? ni kina nani hawa watu? na ni kwa nini wakae na mitihani iliyokwisha sahihishwa kwa miezi miwili?.....Ndalichako atujibu hili.
 
Na lile la mitihani kuchukuliwa baada ya kusahihishwa na kwenda kukaa na watu wasiojulikana kwa miezi miwili maana ya ni nini? ni kina nani hawa watu? na ni kwa nini wakae na mitihani iliyokwisha sahihishwa kwa miezi miwili?.....Ndalichako atujibu hili.
mitihani huwa tunaandika namba tunapoifanya ila majibu tunapewa kwa majina stuka, funguka, ndalichako na timu yako tumechoka jamani
 
Ni kweli Tanzania ina mfumo kristo-
Usije kushangaa ukijakugundua kuwa Ndalichako mwenyewe hafurahishwi katika kushiriki kwake katika kuwafelisha wa wanafunzi wa Kiislamu ila ndio hana budi kuutumikia mfumo (Kanisa) uliomuweka pale!
 
Maongezi na majibu ya Mkristo kama Mwigulu Nchemba ni lazima Waislamu wawaone Wakristo hakunazo kichwani.
 
Hao wasomi wakiislam ndio watakuwa mawakili kwenye mahakama ya kadhi.
 
Hans,

..katika jedwali uliloleta frm 1973 to 1999 wenyeviti wa NECTA walikuwa ni Vice Chancellors wa UDSM.

..pia Prof.Mwaikambo ndiye mwanamke pekee aliyepata kuteuliwa kuwa mwenyekiti wa Necta, ambapo yeye na Prof.Mmari[former sokoine & udsm vc] walishika nafasi hiyo wakitokea nje ya chuo kikuu cha DSM.

..baada ya hao wawili, utamaduni wa VC wa UDSM kuwa mwenyekiti wa NECTA umerejeshwa kwa uteuzi wa Prof.Mukandala.

NB:

..je, kwa experience yako ulipokuwa shuleni umewahi kuonewa kutokana na imani yako?
 
Yes! Kwa sababu wananchi wake ni wakristo na wengine niwaislam so inawezekana BUT sio kama wewe udhaniavyo!
 
Mwanangu shule. Jaribu kujiuliza wakati tunapata uhuru na baadaye waislamu na wakristo walikuwa na uwiano gani. Acha hilo. Je sifa za wahusika zilitegemea dini zao au taaluma na uwezo wao wakati wa kuwachagua au kuwateua? Je wahusika si watanzania? Leo kwa mfano tuna rais muislam na makamu wake na hakuna anayehoji kwa vile wote ni watanzania. Hebu mwanangu dodosa angalau hata ufisadi uone kama unaangalia dini. Mie naona hoja yako kama haina mashiko kwa vile vigezo vya dini ulivyotumia haviingii akilini. Nakupa mfano mdogo. Jijini Dar es salaam kwa sasa ukitafuta vibaka wengi unaweza kukuta ni wa dini fulani. Hili si tatizo la dini bali uwiano wa uhangaikaji, elimu na mila. Hebu nenda kwenye mihadhara uone mfumo Islam unavyofanya kazi ambapo wahubiri uchwara na vihiiyo wanaweza kujifanya mabingwa wa kuchambua na hata kutukana ukrisito na hakuna anayeshika panga. Je haya yangefanywa na upande wa pili hali ingekuwaje? Mwanangu nakusihi uache fikra mgando uangalie mambo kwa macho badala ya miwani ya udini. Hebu tumia utanzania badala ya udini utaelewa.
 
Kwa kuanzia tu, hili neno Mfumokristo mimi naliona kama ni neno la kejeli na dharau kwa kiongozi wa dini hiyo.
Ingekuwa limetumika kwa upande wa pili, lingezua maandamano, mihadhara, matusi na hata uharibifu phyisical.
Hawa watu wangekuwa na STAHA kwa wenzao wangetumia jina tofauti na hilo waliloamua kulitumia.
Kusema Mfumokristo ni direct attack kwa Kristo. Ni sawa ningesema MfumoMohamed(SAW)... really it doesnt sound moral, pleasant or rather decent!
Tuanze na hapo kwanza.
Naamini siko nje ya utaratibu.
PakaJimmy umeeleza vizuri....
Lakini hapa waislama kusema mfumokristo wanamaanisha dini na sio Yesu kama unavyodhania...Yaani ni sawa na kusema mfumoIslamu, au wangetumiia jina gani badala ya hilo?
 
Last edited by a moderator:
Wewe umesema waislam ni wengi nchini!
Mbona hujatoa data zinazo onesha waislam ni wengi kuliko wakristo?
Kuto kujiamini tu ndio tatizo la watu!
 
Hans,

..katika jedwali uliloleta frm 1973 to 1999 wenyeviti wa NECTA walikuwa ni Vice Chancellors wa UDSM.

..pia Prof.Mwaikambo ndiye mwanamke pekee aliyepata kuteuliwa kuwa mwenyekiti wa Necta, ambapo yeye na Prof.Mmari[former sokoine & udsm vc] walishika nafasi hiyo wakitokea nje ya chuo kikuu cha DSM.

..baada ya hao wawili, utamaduni wa VC wa UDSM kuwa mwenyekiti wa NECTA umerejeshwa kwa uteuzi wa Prof.Mukandala.

NB:

..je, kwa experience yako ulipokuwa shuleni umewahi kuonewa kutokana na imani yako?


Safi sana kaka

Lakini waislam wao wanadai kuwa tangu kuondoka kwa Mkoloni Wakristo wamekuwa kama mabaki ya wakoloni na ukoloni. Ukiondoa shule za msingi na sekondari za Kata, huko katika shule za sekondari za Serikali, vyuo vya kati na vyuo vikuu wanafunzi na wafanyakazi ni Wakristo kwa zaidi ya asilimia 80. Siku hizi katika shule za Kata wanafunzi Waislamu wameanza kuonekana. Katika taasisi za elimu mfano T.I.E, TEA, NECTA, Bodi ya Mikopo, I.A.E na vyuo vyote nchini, uongozi umekuwa ni mali ya Wakristo. Ushaidi huo hapo juu

Lakini wa kristo walijibu vilivyo hizi hoja na huko mwanzo walidai kwamba hamna Muislamu mwenye elimu ya kutosha kuongoza. Kwa siku za hivi karibuni madai yao kwa wale Waislamu wachache waliofanikiwa kupata elimu ni kuwa hawafai kwa vile wana, "udini".

Lakini ukitazama data zilizopo ukweli kunabaki kuwa katika Wizara ya Elimu (MOEVT) tangu Wizara hiyo kuundwa uongozi umekuwa mali ya Wakristo kwa zaidi ya asilimia 90. Nafasi kama ya Kamishina wa Elimu haijawahi hata kuwa na Kaimu Muislamu na wala haitarajiwi chini ya Mfumochristo. Nafasi za wakurugenzi nazo zimemilikiwa na Wakristo. Mfumokristo umejikita barabara.

Uongozi wa Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu nao umemilikiwa vilivyo. Nafasi za Maafisa elimu Wilaya na Mikoa na wakaguzi wakuu wa elimu wa Kanda kwa zaidi ya asilimia 85 zinaendelea kuwa miliki ya hawa Wakristo.

Kwenye hili, naamini waislam wanaolalamika hoja wanayo kwani kwenye elimu hili lilishapigiwa sana kelele lakini hakuna hata moja lilofanyika na matokeo yake ni hizi data zilizotolewa na wizara ya elimu zinaonyesha wazi kuna matatizo na watawala wao wamezidi kuziba masikio

Sisemi waislam wapewe kwa sababu ya imani zao lakini ninachosema kuwa kuwepo kwa fairness na hasa ukizangatia kulikuwepo kwa tuhuma zamani na juzi juzi not only wizarani mpaka kwenye idara kama NECTA.
 
Kwa kuanzia tu, hili neno Mfumokristo mimi naliona kama ni neno la kejeli na dharau kwa kiongozi wa dini hiyo.
Ingekuwa limetumika kwa upande wa pili, lingezua maandamano, mihadhara, matusi na hata uharibifu phyisical.
Hawa watu wangekuwa na STAHA kwa wenzao wangetumia jina tofauti na hilo waliloamua kulitumia.
Kusema Mfumokristo ni direct attack kwa Kristo. Ni sawa ningesema MfumoMohamed(SAW)... really it doesnt sound moral, pleasant or rather decent!
Tuanze na hapo kwanza.
Naamini siko nje ya utaratibu.

Hoja yako ni kweli lakini mimi nimeleta hoja based on makongamano yanayoendelea ya waislam huku hoja yao kuu kuwa kuna mfumo kristo ambao umekaa kuwabana kwenye kila sehem sasa sikuona sababu ya kuficha nimeweka wazi wanayoyasema.

Ni sawa na watu kufanya mijadala kuhusu terrorism au majambazi lakini tunatafuta jina lingine mbadala ili kuwa kwenye mambo ya Political Correctness

Lakini nimefurahishwa na naheshimu ulivyopanga hoja zako

endelea kuleta counter arguments...
 
Mwanangu shule. Jaribu kujiuliza wakati tunapata uhuru na baadaye waislamu na wakristo walikuwa na uwiano gani. Acha hilo. Je sifa za wahusika zilitegemea dini zao au taaluma na uwezo wao wakati wa kuwachagua au kuwateua? Je wahusika si watanzania? Leo kwa mfano tuna rais muislam na makamu wake na hakuna anayehoji kwa vile wote ni watanzania. Hebu mwanangu dodosa angalau hata ufisadi uone kama unaangalia dini. Mie naona hoja yako kama haina mashiko kwa vile vigezo vya dini ulivyotumia haviingii akilini. Nakupa mfano mdogo. Jijini Dar es salaam kwa sasa ukitafuta vibaka wengi unaweza kukuta ni wa dini fulani. Hili si tatizo la dini bali uwiano wa uhangaikaji, elimu na mila. Hebu nenda kwenye mihadhara uone mfumo Islam unavyofanya kazi ambapo wahubiri uchwara na vihiiyo wanaweza kujifanya mabingwa wa kuchambua na hata kutukana ukrisito na hakuna anayeshika panga. Je haya yangefanywa na upande wa pili hali ingekuwaje? Mwanangu nakusihi uache fikra mgando uangalie mambo kwa macho badala ya miwani ya udini. Hebu tumia utanzania badala ya udini utaelewa.

Unakiuka maadili ya mjadala na sheria za JF

acha kunishambulia mimi...jobu hoja kwa hoja

mimi sitokushambulia wewe binafsi hata kama sikubaliani na wewe

hoja ijibiwe na hoja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom