MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 951
- 357
Hizi mada za mara mfumo kristo mara mafumo islamu havitusadii kitu. Ni kama ushindani usiokuwa na maana na mwisho wake hakuna mshindi isipokuwa pande zote kubaki na maumivu tu. Tuangalie mambo ambayo yanaweza kutuunganisha zaidi kuliko kuangalia mambo yanayotugawa. Kwa sasa tungekazania katiba.
Siioni button ya thanks.Nakugongea THANKS mkuu