Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

Status
Not open for further replies.

Kuna kitu sielewi hapa. Waislam hawa hawa wanaolalamika ndo wanaoipigia kura CCM
 
Chadema ni taasisi wewe unatumia mawazo ya mtu binafsi kuihukumu.

Haiwezekani 90% ya mawazo ya wana CDM yakawa against uislam halaf ukampinga Ritz anachosema. Fatilia thread zote humu unless uwe mgeni JF. Ntajifikiria upya hata ushabiki wangu na family yangu kwa CDM bora nkawa bila ya chama kama huu upuuzi utaendelea.
 

umetoa wapi hiyo takwimu? Kwenye sensa au?
 
jukwaa la dini would have been appropriate.. hapa kwenye jukwaa la siasa naona unataka kuchafua hewa tu!!
Dini nayo ni siasa tu! vingenevyo watu wote wangekuwa na dini moja
 
Kweli serikali inasikiliza mawazo ya wakristu na kuyaamini, si uliona Loliondo mfano mzuri, Mchungaji alipooteshwa serikali iliamini pia. Kwahiyo wewe baki ukiamini redio imani inadharaulika huku yetu yakinyooka. Ebwana kikombe unaenda lini kupata loliondo kiby???
 
Mjadala ungekuwa mzuri kama Waislamu wanaosema wanaoona wanaonewa wakaorodhesha jambo moja baada ya lingine na wanayoona Wakristo wanapendelewa nayo yawekwe halafu hoja zichambuliwe na kujadiliwa bila kejeli wala matusi ili tuweze kuwa na mshikamano na sio utengano...mijadala ni kwa ajili ya kuleta suluhisho
 
Hayo ndiyo mawazo mgando kuongelea idadi ya kura na dini waya wapiga kura. Sijui upunguani huu tutauacha lini maskini sisi!

We Gosbert lini umeacha upunguani na mawazo mgando?? Hakuna kilaza wa kufikiri kama wewe, comments zako za nyuma refer
 
Mfano mzuri MoU kati ya serikali na kanisa.. Tuanzie hapo
 
Mwalimu unayemuita kashata ndiye aliyeongoza ukombozi hata wa juzi,aliyeweza kufanya hivyo before ni MalcomX tu then Ponda. Mwambie kiongozi wenu ajaribu. vp kuna lingine??
[/QUOTE]
 
Unaniletea porojo wewe humu JF tunajuana kwa michango yetu ndio maana niliyomjibu kakaa kimya wewe umekurupuka kujibu tu, taasisi ya wapi Kaskazini.
Chadema inakunyima raha sana ndugu yangu,vumilia tu,huwezi pingana na mabadiliko. kama vipi ungana nasi kwasababu huwezi kutusimamisha ktk harakati za ukombozi wa taifa letu.
 

Hujaeleweka mkuu.. Ina maana ccm ndio mfumo kristo? Nieleweshe
 
Hizi dini zote tumeletewa tu. je tunajua asili yake nini. Sometime naona mtawala wa hii dunia hapendi kabisa watu wawe na amani na hutumia uvivu wetu wa kufikiri na kukosa maarifa kutumaliza. Mimi siamini mungu kama ameshawahi kupigana kwa ajili ya kutetea neno lake, ila aliwaadhibu wale ambao walikataa mitume. waTanzania tujue na kutambua kuwa ni nyakati za mwisho na za shida huyo mtawala wa dunia ataleta shida ambazo kwayo tutapewa mashari ambayo si ya kiutu kuyatimiza ili tuweze pata kupona njaa. Kwa macho ya kibinadamu hatuwezi ona ila kwa wale wa roho. Maana tumerithi maagano ya ajabu na ibada za ajabu zilizotuletea mateso mpaka leo. Nadhani ukisema mkristo ni yule haswaa atendaye ya kristo, mwislimu simjui tabia yake. Kwa hivyo Tanzania ya leo ni ya wapagani waabudio vitu na watu maarufu wategemeao lamli je kwa maana hiyo bado ni waumini wa hicho muaminicho. Tunatumika na mtawala wa hii dunia bila kujielewa.
 
Kwani kutokulalamika maana yake ni kuridhika???
I think, we should stop this. Waislamu na wakristo na wasio na dini, WOTE NI WA TZ. Period.

Utanzania utazingatiwa endapo hakuna kukashifiana dini na kufanyia dhuluma yeyote. Waambie hao walengwa wa kushoto sisi waislam hatuna shida, remember Islam=peace=Amani. Je hapo utakuwa na doubt na sisi?? Naamin akina Ritz wote watakubaliana nami
 

Habari nzima ya uwapo wa mungu imeletwa na watawala ili kuhalalisha utawala wao.

Mungu hathibitishiki kwamba yupo, na ingawa kuamini mungu kunaruhusiwa -kama vile kuamini kuwepo kwa vinyamkera kunavyoruhusiwa, kama kutabaki kuamini- kuwapo kwa mungu si kitu kinachojulikana.

Hivyo, hutakuwa umekamilisha vita dhidi ya udhalili wa hawa wanaotaka kutawala dunia kwa kutumia hii dhana ya mungu kama bado utakuwa unaamini katika uwepo wa mungu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…