Mkuu, Kwani wewe ambacho hapo hukifahamu ni nini ? Vatican sio nchi lakini wana Balozi wao hapa nchini weee unadhani anasimamia yapi hasa ?
Alafu usiwe mtu tu wa kulalamika mitandaoni fanya ka utafiti kidogo. Nikuulize kitu pale Kurasini baada ya kupita mivinjeni kama unakwenda kariakoo kabla ya kuikuta ile round about inapoanzia mandela road hapa nyuma kuna geti limeandikwa maandishi flani hivi alafu kuna nembo ya Taifa ( Bibi na Bwana ) kama ile iliyopo getini pale Ikulu. Umeshawahi kujiuliza kuwa ni nini kile ?
Basi acha kutoka mapovu huku mtandaoni na utafanye tafiti ! Mimi nakushauri kuwa hawa jamaa wako sahihi kabisaa !
Ritz hebu nisaidie kuwajibu hawa jamaa mimi bado nipo job nikitoka nakuja kukupa kampani,hatutakaa kimya kwa yyte ataeleta kejeli dharau kwenye dini yetu,tutapambana nao mpaka mwisho,maana inayosemwa serikali ambayo wao wanaona wao tu ndio wana haki yakuisema,akisema Mtei nchi haitawaliki huyo sio mchochezi,wakisema waislam kudai haki zao wachochezi,yaani udini umewakaa mpaka kwenye vidole vyao,wao hapa kutwa wanaikosoa hyo serikali ila kwao sawa waislam wachochezi
Hata yuda alikuwa na yesu lakin alimsalit kwa hyo padri slaa kula na waislam eti wanasherehekea iddy ni unafk 2Na hawa vipi wanaitwaje?
Nani alikwambia vatican sio nchi? Vatican ni nchi na ndiyo maana inamabalozi na rais wake akienda popote duniani anapokelewa na rais wa nchi husika na hupiiwa mizinga 21. Tatizo watu mnakurupuka tu bila kufanya uchunguzi. Vatican ni serikali nzee kuliko zote duniani. Mimi sina matatizo na radio Iman kwani inatimiza malengo yake ya kulalamika na kudanganya waislam kuwa tatizo ni wakristu wakati tatizo ni waislam wenyewe na kusalitiana kwao. Nimesema mara nyingi kuwa waislam wa bongo hawausadii uislam bila wanautumia uislam kwa maslahi binafsi. Na nawashauri mkitaka kweli kuusaidia uislam imarisheni vitu viwili kwanza, shule za watoto wa kiislam, na vituo vya afya kwenye maeneo ambayo wote tunajua kuna waislam wengi. Upuuzi wenu wa kuteuana kila nafasi halafu baadaye mnaanza kulalamika eti kuna mfumo kristu, si muubadili? Au mnasubiri aje rais mkristu afanye aliyefanya muislam mwenzenu ndoo mfumo utabadilika? Acheni kulalamika na kufanya mabadiliko feki aka cosmetic change. Aina ya waislam mliopo Africa ya Mashariki nikilinganisha na wenzetu wa Africa ya magharibi naona nyie wa huku there is something wrong kidogo somewhereMkuu, Kwani wewe ambacho hapo hukifahamu ni nini ? Vatican sio nchi lakini wana Balozi wao hapa nchini weee unadhani anasimamia yapi hasa ?
Alafu usiwe mtu tu wa kulalamika mitandaoni fanya ka utafiti kidogo. Nikuulize kitu pale Kurasini baada ya kupita mivinjeni kama unakwenda kariakoo kabla ya kuikuta ile round about inapoanzia mandela road hapa nyuma kuna geti limeandikwa maandishi flani hivi alafu kuna nembo ya Taifa ( Bibi na Bwana ) kama ile iliyopo getini pale Ikulu. Umeshawahi kujiuliza kuwa ni nini kile ?
Basi acha kutoka mapovu huku mtandaoni na utafanye tafiti ! Mimi nakushauri kuwa hawa jamaa wako sahihi kabisaa !
Sasa kuptia makadhi mbna wenzenu somalia wanauana
Hawa jamaa ebu wajiulize ni shule ngapi za madhehebu ya kidini ya kikiristo wamesoma bila kubaguliwa.Hata kwenye vyuo vikuu vya kikristo nana anawabagua.Wajiulize wao kama wo wanachjangia kwa kiasi gani katika kuwekeza ktk elimu.
Pia watueleze ni kiongozi gani wa kidini anaehudumiwa na serikali zaidi ya mufti.
Kasome kitabu kinachoitwa kanisa katoliki na siasa za Tanzania,kilichoandikwa na padri Syvalon ndio utajua kwanini radio imaan wanazungumza wanayozungumza.
Aisee, kweli nimeamini propaganda mbaya sana. Yaani mmelishwa uwongo huu kupitia mawaidha kwenye nyumba zenu za ibada nanyi mmeamini hivyo!!!!! Kwa kweli ukombozi wa kwanza mnaohitaji waislam ni wa fikra. Bila kupata ukombozi huo, mtaendelea kulalamika tu.hivi nyie ndio mulio soma?
bora sie kama tumepata kusoma ni kwa akili zetu, lakini kusoma kwa kusukumwa na NECTA, Kukopia mitihani kusaidiwa tena mpaka huko vyuo vikuu , tumepita huko tunajua mnavonunua degree, tunajua mnavopewa mitihani
leo 90% ya serikali inaongozwa na hawa na ndio wanatufikisha hapa..hasara ilioje...utaliona jitu ati linaongea kiingereza ndo limesoma..dah....
kwa ufupi hii mipango ya kujipendelea imesababisha nchii hii kufa ama kurudi nyuma ..badala ya kuendela ..wenzetu wanasonga mbele sisi tunarejeshwa nyumba ....sometimes huwa naona kinyaa kuwaona hawo wasomi kwenye midahalo wanavo ongea utumbo...
hamna cha kujidai....labda kuvaa suti ndio kuelimika lol
Thursday, 27 May 2010 10:21 0diggsdigg
Mtikila alisema kuwa kuzinduliwa kwa jukwaa hilo ni kuzaliwa kwa tatizo kubwa kwa Rais Jakaya Kikwete na kumtaka ajihadhari, akidai kuwa ajira yake sasa ipo kwenye "danger zone (sehemu ya hatari).
Mtikila, ambaye ana ujasiri wa kutoa kauli zisizo na simile, alisema jukwaa hilo ni gharika kubwa kwa Rais Kikwete kwa sababu alizodai kuwa kiongozi huyo wa nchi ni adui mkubwa wa Ukristo.
Wakristo nchini tupo milioni 27 hivyo ajira ya JK hivi sasa ipo shakani," alisema.
Viongozi wa makanisa ambayo yalishirika katika kuunda jukwaa hilo ni pamoja na Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (Tec), Jumuiya ya Makanisa ya Kikristo (CCT) na Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste (PCT).
Ndugu mtanzania upo sahihi theoretically lakini practically hicho hapo juu nilichohighlight kwa red ndo kinachotendeka. tafakari, chukua hatua.
Hivi kumbe hili ulilosema kwa rangi nyekundu mnalijua? mbona hamlipingi miaka yote hiyo ila mahakama ya kadhi na sensa ndiyo mnaona hela ya walipa kodi inatumika kuhudumia dini. Kuna nini nyuma ya pazia mpaka hili mnakubali tena kiulaini?
Mkuu, Kwani wewe ambacho hapo hukifahamu ni nini ? Vatican sio nchi lakini wana Balozi wao hapa nchini weee unadhani anasimamia yapi hasa ?
Alafu usiwe mtu tu wa kulalamika mitandaoni fanya ka utafiti kidogo. Nikuulize kitu pale Kurasini baada ya kupita mivinjeni kama unakwenda kariakoo kabla ya kuikuta ile round about inapoanzia mandela road hapa nyuma kuna geti limeandikwa maandishi flani hivi alafu kuna nembo ya Taifa ( Bibi na Bwana ) kama ile iliyopo getini pale Ikulu. Umeshawahi kujiuliza kuwa ni nini kile ?
Basi acha kutoka mapovu huku mtandaoni na utafanye tafiti ! Mimi nakushauri kuwa hawa jamaa wako sahihi kabisaa !