Ingekuwa kama hii ingefungwa mara mojaHivi sheria za Jamii Forum zinasemaje mtu akileta mjadala/chuki za kidini?
Somalia nafikiri pia ni Tawala-Kristo.
Nigeria?
Napata shida kufahamu iwapo wachangiaji wote hapa JF wanao ufahamu wa kutosha wa kuelewa hoja na kuchangia hoja.
Mtoa hoja ametoa hoja yake kwa ufasaha na zaidi ya hayo amejitahidi kuwaongoza wanaopenda kuchangia hoja zao zijikite maeneo yapi. Hakujitambulisha dini yake! Sasa badala ya kuishambulia hoja iliyotolewa, mnamshambulia mtoa hoja!
Watanzania, na hasa wanaJF tunasafari ndefu kufikia maendeleo. Kwani kama huna cha maana cha kuchangia si uangalie thread unayoweza kuchangia? Matusi yanatija gani?
Sichukii ukiristo najaribu kutafakari na kuangalia asili ya umasikini wetu pamoja na maliasili zetu zisizotusaidia
Nataka kujua kama kuna correlation kati ya dini na ufisadi, kwani naamini mazingira anayo kulia yanamchango mkubwa kuleta maamuzi.
Tujadili tz sio somalia wala Afghan ambako hakuna rasili mali kama TZ
Hakuna shaka wengi waliosoma, wafanya kazi, na watawala wa ngazi za juu na wanaotoa maamuzi muhimu serikalini na makampuni ya umma ni wakiristo,
Hadi sasa ni miaka50 bado Tanzania ni nchi ya kimasikini duniani, wakati nchi kama Malaisia ambayo tumepata nao uhuru kwa wakati mmoja wao wametuacha mbali.
Inanifanya niamini kuwa Waislam ni watu wasio na tamaa, walioridhika na niwaaminifu hasa kuhusiana na mambo ya Fedha.
Tumeshuhudia mafisadi wengi, wenye tamaa na elimu ya kufoji ni Watawala-Kristo (waislamu wachache), uchafu kama huu haupo sana sehemu kama Zanzibar na ktk jamii za waislamu
JE!!!
1. Iko haja ya kufumua mfumo wa tawala-kristo na kuleta utawala mseto kwa ajili ya maslai na maendleo ya nchi?
2. Tuwaache waendelee watajirekebisha ?
3. Unafikiri hakuna uhusiano kati ya utawala-kristo na ufisadi, umaskini na uchafu mwingineuliojaa nchini ?
Tafadhali tujadili kwa kujibu maswala matatu hapo juu, kwa ustaarabu bila matusi wala jazba
hali ya umaskini tulio nayo hapa nchini ni mtunda ya nyerere kukumbatia udini...huo ndo ukweli...we jiulize kws nini kanisa katoliki linamiliki maeneo makubwa karibu kila wilaya hapa nchini....nani aliwapa hay maeneo??.....nyerere ndo chabzo cha matatizo yetu...alishindwa kuwahibiti watendaji wake na leo hii wanatuibia.....