Deutch Welle yaanza uchochezi

Deutch Welle yaanza uchochezi

Lissu kasema wazi kuna maeneo mkulu inabidi awe [HASHTAG]#MFARIJI[/HASHTAG] MKUU lakini yeye ndo kwanza anawazodoa wahanga na kuwakashfu, wacha DW watupe upande wa pili wa uhalisia
 
toa ufafanuzi....ni uchochezi gani mkuu...au naww umesimuliwa na hujui kisa kizima...?ila nina wasiwasi na elimu yako....mana hata uandishi wako....!!!!!!
 
Nchi za kiafrika tunasafari ndefu sana na hawa viongozi wetu wa kuokoteza. Ukiwasifia wanasema wewe ni mzalendo, ukiwakosoa wanasema wewe ni mchochezi unataka kuleta machafuko. Pamoja na kupenda sifa kote huko lakini wameshindwa kuondoa njaa, kununua madawa hospitalini au kutoa elimu ya kiwango. Shule zinakosa hata matundu ya choo lakini viongozi wanataka sifa, laanatullah
 
Acha ujinga ww, ni wapi uliposikia watu wameanza kuuana? Na kama hapana, kwa nini useme wanachochea? Kanye huko naona ma...avi yamekubana. Unataka ukwel usisemwe? M2 akisema tu ukweli fisiemu mnamuita mchochezi
 
toa ufafanuzi....ni uchochezi gani mkuu...au naww umesimuliwa na hujui kisa kizima...?ila nina wasiwasi na elimu yako....mana hata uandishi wako....!!!!!!
Elimu yang imekuwaje kwan humu wanatakiwa wenye elimu gan hebu nisaidie
 
Tungeungana jumping a rais dictator sio kupiga radio zinazosema ukweli na hana jeuri ya kuigusa radio ya Angela Merkel thubutuu
 
Acha ujinga ww, ni wapi uliposikia watu wameanza kuuana? Na kama hapana, kwa nini useme wanachochea? Kanye huko naona ma...avi yamekubana. Unataka ukwel usisemwe? M2 akisema tu ukweli fisiemu mnamuita mchochezi
We ni kiuno kweli kweli hujui kama kinga ni bora zaid kuliko tiba hii tunachukua tahadhali mapema kabla mambo hayajaenda kombo
 
Kituo cha habari cha dw kimeanza tena uchochez wake hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habar nchin kuingilia mambo ya ndan ya selikali mara nyingi sana kimekua kikimufukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumula nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habar zake za uchochez kalibun nakunywa Juice niko hapa magogon huku nikipungwa upepo mdogo mdogo
naona siku hizi idadi ya std 7 leavers hapa JF imeongezeka!
 
We boya kweli kuna haja gani ya kutuambia sisi, police hupajui, umedumaaa kielimu wewe
Kheri yangu mimi niliyedumaa kielimu kuliko wewe ulishikiwa akiri zako kwa kudhan madiliko yanakuja kwa kuzungusha mikono
 
Kheri yangu mimi niliyedumaa kielimu kuliko wewe ulishikiwa akiri zako kwa kudhan madiliko yanakuja kwa kuzungusha mikono
Tatizo umekalili kila anayekosoa kitu ni upinzani,wengine tuko ccm tena wanufaika haswaaa lakini panapobidi ni kuelekezana ili tujenge Tz ya kesho,sasa wew kazi kunywa komoni na kusifiasifia hata panapoharibiwa ndo ninyi mnaturudisha nyuma.
 
naona siku hizi idadi ya std 7 leavers hapa JF imeongezeka!
Yaani mleta hoja anawakilisha lile kundi dogo lililokosa elimu ya msingi hapa Tanzania,ni wa kumuombea tu kama mwanzo sasa amejua kuandika kidogo
 
Back
Top Bottom