Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
Kama ukweli mchungu hauna msaada kwa Mtanzania,, basi ni bora kutousema"kalibun"....we kunywa tu!..Kuna maeneo Mkulu anazingua!..na kuna maeneo "anasema ukweli mchungu"
Kama ukweli mchungu hauna msaada kwa Mtanzania,, basi ni bora kutousema"kalibun"....we kunywa tu!..Kuna maeneo Mkulu anazingua!..na kuna maeneo "anasema ukweli mchungu"
We boya kweli kuna haja gani ya kutuambia sisi, police hupajui, umedumaaa kielimu weweWewe ndo hamunamo kabisa
Dw kipo nchi ni ndo kusema hapo unamanisha nini
We ni kiuno kweli kweli hujui kama kinga ni bora zaid kuliko tiba hii tunachukua tahadhali mapema kabla mambo hayajaenda komboAcha ujinga ww, ni wapi uliposikia watu wameanza kuuana? Na kama hapana, kwa nini useme wanachochea? Kanye huko naona ma...avi yamekubana. Unataka ukwel usisemwe? M2 akisema tu ukweli fisiemu mnamuita mchochezi
naona siku hizi idadi ya std 7 leavers hapa JF imeongezeka!Kituo cha habari cha dw kimeanza tena uchochez wake hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habar nchin kuingilia mambo ya ndan ya selikali mara nyingi sana kimekua kikimufukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumula nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habar zake za uchochez kalibun nakunywa Juice niko hapa magogon huku nikipungwa upepo mdogo mdogo
Hawana ubavu, Kama Mange Kimambi tu raia wa kawaida amewashinda,sembuse Deutsche WelleSi atavitukana tuna kuvitisha
Tatizo umekalili kila anayekosoa kitu ni upinzani,wengine tuko ccm tena wanufaika haswaaa lakini panapobidi ni kuelekezana ili tujenge Tz ya kesho,sasa wew kazi kunywa komoni na kusifiasifia hata panapoharibiwa ndo ninyi mnaturudisha nyuma.Kheri yangu mimi niliyedumaa kielimu kuliko wewe ulishikiwa akiri zako kwa kudhan madiliko yanakuja kwa kuzungusha mikono
Yaani mleta hoja anawakilisha lile kundi dogo lililokosa elimu ya msingi hapa Tanzania,ni wa kumuombea tu kama mwanzo sasa amejua kuandika kidogonaona siku hizi idadi ya std 7 leavers hapa JF imeongezeka!