mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 38,967
- 44,284
Ili tukio NI Kama la hamza kuna kitu wamemfanya huyo dereva.
Na inawezekana kweli alitaka kuwagonga na gari
Na inawezekana kweli alitaka kuwagonga na gari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu rpc anasema ni jambazi, hivi tuna jeshi kweli?.Body cam footage za hao polisi ziwekwe hadharani tujue ukweli ni upi.
Askari watatu wenye silaha Wana jeruhiwa na Raia mmoja mwenye kisu!!!Dereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.
Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinki anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa kisha gari likaingia msituni.
Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.
Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Wale wale, Jina lake tu tayari linasema kila kituDereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.
Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinki anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa kisha gari likaingia msituni.
Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.
Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Hatuwezi kuchosha Polisi wetu kuwabebesha camera wakati wakorofi ni hao hao ndugu wa Hamza. Dawa Yao Risasi na watatolewa chuma za kutosha kabla ya mazishiBody cam footage za hao polisi ziwekwe hadharani tujue ukweli ni upi.
Nawajua polisiccm unadhani kwanini HAMZA Watanzania wengi walimuona ni shujaa? Unadhani kwanini polisiccm wanachukiwa sana na Watanzania wengi?
hao watakuwa walisimama barabarani kumzuia, kuwakwepa akaingia vichakani ndio akarudi kuwafuata kwa hasira.Haiwezekani dereva atoke daslm aende kuwapokonya hao walio vichakani kuna kitu kipo hapo kimejificha...
Wewe wanjiru omba nisije kukukamata nitakutairi kwa kutumia chupa, lipo wazi dereva alitaka kuwashambulia askari kwa kisu na maelezo yameondoa sintofahamu kwamba askari hao ni majeruhi? Sasa unakuja hapa kupinga hapa maelezo kama nani?
Wanajeshi ndio wanafundishwa hivyo lakini polisi ni tofauti ndio maana kipindi Cha Mwinyi alizuia poliai kutembea na silahaWamefundshwa kulenga kichwan, kfuan na Tumbon bro.
Mbona juzi iliwekwa humu ajali ya lori na na basi?Acha bangi wewe...body cam bongo! Khenge!
Kumuua gaidi ni kumpendelea maana wale wanapenda kufa kuliko kuishi, nimeshangaa weledi wa polisi raia mmoja mwenye kisu wameshindwa mdhibiti na kumkamata akiwa hai hadi wamuue?Magaidi Acha washughulikiwe
Mwana CCMDereva ni mtanzania mwenye asili ya Somalia au?