Ganjafarmer
Member
- Jun 28, 2017
- 72
- 71
Body cam kwa Tanzania? Aisee kama nawaona wenye mamlaka wanavyotamani zisijulikane hata bongoBody cam footage za hao polisi ziwekwe hadharani tujue ukweli ni upi.
Body cam kwa Tanzania? Aisee kama nawaona wenye mamlaka wanavyotamani zisijulikane hata bongoBody cam footage za hao polisi ziwekwe hadharani tujue ukweli ni upi.
HUO NI UONGO MKUBWA KABISA. NCHI HII HAINA CHOMBO ZAIDI YA POLISI KWA UPELELEZI TUNAKOSEA SANA TUNAPOLIAMINI JESHI L polisi kutoa taarifa..HATUNA LA KUSEMA MUNGU ATAHUKUMU HAKI KESHO . TZ IMETAMALAKI DHULUMA TUDereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.
Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinki anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa kisha gari likaingia msituni.
Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.
Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Kisu nacho ni silaha. Kwa wenzetu wakikuambia weka chini ukagoma ni risasi zinakuhusu. Kwanza si moja. Kwa nn ukaidi agizo?Ila Dah... mafunzo na mazoezi yanaitajika zaidi...
Mtu mwenye kisu na kuja kujeruhi askari watatu na pia katika askari hao ana silahaa.
Na mbali zaidi wanatumia nguvu kubwa kuchapa raia risasi lihali raia ana kisu tu..!
Kweli bado kuna changa moto katika kukabiliana na Magaidi hasa katika kitengo cha police
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ila Dah... mafunzo na mazoezi yanaitajika zaidi...
Mtu mwenye kisu na kuja kujeruhi askari watatu na pia katika askari hao ana silahaa.
Na mbali zaidi wanatumia nguvu kubwa kuchapa raia risasi lihali raia ana kisu tu..!
Kweli bado kuna changa moto katika kukabiliana na Magaidi hasa katika kitengo cha police
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sisi hapa mkuu
Hii story imeletwa kwa ufupi sana humu, ila ukweli ni kuna askari watatu wamejeruhiwa mmoja kavunja bega, inaonesha kulikuwa na mapambano alafu pia dereva mwenyewe wa ili gari sio akieendesha kwa muda huo kwaiyo inaonesha hata uyo dereva labda alitekwa au vipi, na kiukweli kabisa walio karibu na eneo la tukio walisikio mirindimo ya risasi kwa mda fulani, Mimi nipo Lindi hapa musilaumu sana hao Police bila kujua magumu wanayopitia, kumbukeni huku ndo njia ya kwenda Msumbiji, alafu uko Msumbiji kumechafuka sio kitoto, tuwaheshimu tu makamanda tusipende kulaumu kila ktu
Jina lake sasa na ugaidi havipishanihao watakuwa walisimama barabarani kumzuia, kuwakwepa akaingia vichakani ndio akarudi kuwafuata kwa hasira.
Huyo akuwa dereva ila ni alshababu take from my sourceDereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.
Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinki anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa kisha gari likaingia msituni.
Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.
Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Police wetu Wana utu sana, na ukiona hivyo walimvumilia hadi mwishoIla Dah... mafunzo na mazoezi yanaitajika zaidi...
Mtu mwenye kisu na kuja kujeruhi askari watatu na pia katika askari hao ana silahaa.
Na mbali zaidi wanatumia nguvu kubwa kuchapa raia risasi lihali raia ana kisu tu..!
Kweli bado kuna changa moto katika kukabiliana na Magaidi hasa katika kitengo cha police
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kama hukijuwi kizuwizi cha lindi basi ongea kwakuwa huwo mdomo ni mali yako ila kiufupi huyo dereva atakuwa ni giadi na itakuja thibitishwa baadae... Kizuwizi cha Lindi nimoja ya vizuwizi madereva na maharamia wanakichukia sana.Jina lake sasa na ugaidi havipishani
Umeona eenhh??!!.Nchi hii Polisi wametuona sisi Wananchi wote kuwa ni Mazwazwa.Haiwezekani dereva atoke daslm aende kuwapokonya hao walio vichakani kuna kitu kipo hapo kimejificha...