green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,305
- 35,852
Agiza Stone Tangawizi nakuja kulipaHili genge la polisi ni corrupted hawana ukweli kwa jambo lolote
Agiza Stone Tangawizi nakuja kulipaHili genge la polisi ni corrupted hawana ukweli kwa jambo lolote
Tena mwenye dini ya haki..Dereva ni mtanzania mwenye asili ya Somalia au?
Siku askari wa bongo wakivaa bodycam wengi wataacha kazi..mana sio kwa maovu wanayofanyia raia...hawaaminiki tena.Kuna zile body camera mfano askari wa USA huwa wanazivaa, ni nzuri kwa uthibisho wa kile kinacho semwa na maaskari baada ya tukio
Hawa watu ni hatari kwa usalama wa nchi...wakimaliza polisi watahami kwa raia wema mana wanaona polisi ni kikwazo kwao.Waislamu wana nini na polisi wetu?? Alianza Hamza sasa Saidi anataka kutuulia askari wetu tena. Au ndio mambo ya jihadi sijui haya !!!!
Swali la kujiuliza..mbona wakati ana mimina risasi alikua anataja mungu wa dini ya haki?Polisiccm kwanini hawasemi kweli kuhusu kumpora Hamza mali yake? Kwanini hakuna uchunguzi huru ili kujua chanzo halisi cha Hamza kuamua kuwaua polisiccm tu na siyo raia?
Polisiccm ni magaidi na wanafanya unyama na ukatili wa kutisha nchi nzima zikiwemo dhuluma. Nchi ingekuwa ina utawala wa sheria basi hili jeshi lisingekuwa hivi lakini pamoja na Watanzania kulalamika kuhusu polisiccm na kuonyesha chuki kubwa dhidi ya polisiccm Serikali imepiga kimya tu huku polisiccm wakiendeleza udhalimu wa kutisha kote nchini.
Swali la kujiuliza..mbona wakati ana mimina risasi alikua anataja mungu wa dini ya haki?
#MaendeleoHayanaChama
Huo mpango hawawezi kuukubali zama hizi!!!Tunataka camera ziweke kila sehemu
Polisi wetu wanatumiaga hayo makitu?Body cam footage za hao polisi ziwekwe hadharani tujue ukweli ni upi.
Sibishani na mtu asiejielewa. Ni lazima nizunguke TZ nzima ili niwajue wa TZ? NonsenseUsijifanye unawajua watanzania wakati hata mikoa mitano ya Tanzania hujafikisha...
Hyo habari nimeiona ITV ,Ni Kama ina ukakasi flani Mara waseme Ni jambazi Mara Ni dereva..
Na mpk dereva anashuka kwenye Gari alikuwa tayari ameacha njia imeenda kusimamia porini
Hatuwezi jua Ni kwa namna gani wale Askari waliisimamisha Gari mpk lipotee njia...
Majeruhi wenyewe hawajahojiwa na mwandishi Wala kuoneshwa sura km tunavyoona kwenye matukio mengine.
Tazama marudio ya taarifa halafu uje hapa useme police wanaonewa au la
Polisi wetu wamefundishwa kuua na siyo kudhibiti wahalifu.Dereva wa gari la Dangote Ibrahim Said ameuawa na polisi baada ya kutaka kumnyang'anya askari bunduki.
Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinki anasema dereva huyo alifika eneo la kizuizi cha polisi akiwa kwenye mwendo mkali na hakusimama na alilenga walipokuwa wamekaa askari na askari hao walilikwepa kisha gari likaingia msituni.
Dereva alishuka katika gari na kuwafuata askari huku askari wakidhani dereva yule ana nia ya kuomba radhi kwa alichokifanya lakini haikuwa hivyo na dereva huyo alitoa kitu mwilini kinachosadikiwa kuwa ni kisu na kuanza kumshambulia askari na kumjeruhi huku akitaka kumnyang'anya silaha lakini askari alifanikiwa kumdhibiti kwa kumpiga risasi.
Askari watatu walijeruhiwa katika tukio hilo.
Ñiitishe mim au wew alaf nd uje na data uziweke hapa sio kuandika tuItisha upigaji wa kura hata hapa Jf utapata majibu.
Naam"Akashuka na kisu akawajeruhi askari watatu"
DHIMA YA MWANDISHI
Mwandishi wa maudhui hii ya kipolis
Ni kuwachora polisi kama viumbe wapole na wastaarabu na wasio na papara
Pia mwandish amemchora marehemu dereva kama kiumbe mwenye wenge, mapepe, asiye na simile wala mswalie Mtume
KUFAULU KWA MWANDISHI
mwandishi hajafauli kabisa andiko lako linatiashaka mwanzo katikati na mwisho
KUFELI KWA MWANDISHI
mwandishi kafeli mwanzo katikati na mwisho ,ameanyosha viashiria vyote muhimu vya uzandiki na ulafi katika hadithi yake
alifungwa