Marashi
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,774
- 4,269
Jeshi la polisi nchini linatakiwa kufumuliwa loooote!!! Na kama Samia haamini siku yatakapomkuta yeye mwenyewe binafsi asitulilie. Polisi wetu hawafai aisse. Kuqnzia sheria, muundo na baadhi ya maafisa hasa wa vyeo vya juu hawafai kabisa kuonekana katika sura ya jeshi la polisi makiniI think this story is not clear!
1.Alitaka gonga polisi wakakwepa
2.Akashuka na kisu akajeruhi watatu
3.Akataka kunyang'anya bunduki Kwa askari
4.Akapigwa risasi
5.Akafa
Mmmmmh
1.Akateswa
2.Akafa
3.Akashuka kuzimu
4.Siku ya Tatu akafufuka
5Akapaa Mbinguni
6.Ameketi mkono wa kuume wa Mungu baba kutoka huko atakuja hukumu walio hai na wafu.