FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,811
- 46,936
Hii hadithi hata mtoto wa chekechea hawezi kuiamini, mnafanya mauaji halafu mnatunga story za kitoto namna hii, idiots
Uthibitisho ulishaonekana ktk video walizorekodi wananchi hakukuwa na haja tena ya video kutoka ktk body camera za wale askariSasa Mbona walimuua Floyd na kupo kimya tu??.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Usipoacha kuingiliwa kinyume na maumbile hutapata akili!! Acha Mara moja wewe DadaTimu gaidi watapinga
Haiwezekani.Tunataka camera ziweke kila sehemu
Inawezekana kajifunzia YouTube😁😁😁😁😁😁😁Dereva ni mtanzania mwenye asili ya Somalia au?
Ndio. Ila sio ndugu yake na Hamza (RIP).Dereva ni mtanzania mwenye asili ya Somalia au?
Kwa hiyo wale Askari walifanywaje sasa??.Uthibitisho ulishaonekana ktk video walizorekodi wananchi hakukuwa na haja tena ya video kutoka ktk body camera za wale askari
😂😂😂😂😂Ndio. Ila sio ndugu yake na Hamza (RIP).
watanzania gan walimwona hamza shujaa?