- Thread starter
- #21
Binamu Paloma hiyo ndio habari bana
mambo yamekuwa hayo na mwambie sosoliso aniletee yale mafile mengine kule kwako
Amini binamu mambo yalifungwa sasa yamefunguliwa
Last edited by a moderator:
Nasubiri kauli ya Dena Amsi , natumai atatumia utaratibu alioutumia kunifikishia ujumbe alipoamua kujitoa, until then I keep my fingers crossed..
Tunaaminiana sana ila ushemeji kula no!!! I said stay away from my nkulo.
Hata yeye anajijua jinsi ninavyo mpeee………….!!?? Mpenda.
nitonye huyu Nicas Mtei kambaka nani tena na mkewe sweetlady yuko wapi aiseNasikia Nicas Mtei ana kesi ya ubakaji
Jamani muwe mnaupdate status zenu kwenye profile....especially mkiwa singo!!!!!!!
yani kumbe Mr Rocky muda wote huo ulikuwa singo?
Ukisikia kupishana na gari la mshahara ndo huku sasa.....haya bana.
hahahahah ndo manake Evelyn Salt nilikuwa "single" bana
ila bahati mbaya sana
Hivi unajua kama mie nipo single?
ulikuwa unaongea kimya kimya ukizani sinto kusikia eeeeeeee?????? Lady doctor kuja hapa umsikie mwenzio!! nakupa nusu sekunde ujieleze fasta ndio maana Mr Rocky sikumwaminiHivi unajua kama mie nipo single?
Hivi unajua kama mie nipo single?
ulikuwa unaongea kimya kimya ukizani sinto kusikia eeeeeeee?????? Lady doctor kuja hapa umsikie mwenzio!! nakupa nusu sekunde ujieleze fasta ndio maana Mr Rocky sikumwamini
ulikuwa unaongea kimya kimya ukizani sinto kusikia eeeeeeee?????? Lady doctor kuja hapa umsikie mwenzio!! nakupa nusu sekunde ujieleze fasta ndio maana Mr Rocky sikumwamini
hebu badirisha hiyo njano iwe red... Halafu iseme kwa nguvu slave asikie
Ooooh shiiiit!!!!!!! typing error honey.....
nilikuwa namuuliza Mr Rocky anajua kama mie nina singo?
safari hii utatoa hadi album...... Kudadadeki....... Naingia kwenye ndoa mazima!!!!!!
Jamani muwe mnaupdate status zenu kwenye profile....especially mkiwa singo!!!!!!!
yani kumbe Mr Rocky muda wote huo ulikuwa singo?
Ukisikia kupishana na gari la mshahara ndo huku sasa.....haya bana.
Typing error jameni, nilitaka kuuliza kama anajua kuwa mie nina single?
kuna single nimetoa jana itakuwa hewani hivi karibuni.....
ooh mama...!!!! Umebugi meeen......! Subiri album ya ndoa yetu is coming soon!!!!
Thubuuuuuutu!!!!!!!!!!!!
Huwa unatafakari wewe!?? afu juzi nimepita CHANJI nimemkuta yule mwanamke uliyemzalisha watoto mapacha, peleka pesa kwa ajili ya matunzo ya watoto, sio unajua kuoaoa tu.Mhhh hebu ngoja nitafakari kidogo kuhusu hili hapa la wewe kuwa :shock: halafu nitakuambia