Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Yaani ni mpya halafu ananuka hivyo.Je upya ukiisha sio ndio utakuwa hupumui kabisa. Labda na wewe ni unatoa kikwapa otherwise ningekuwa mm ningeendelea kuchagua kilicho bora bana ebo. Maisha yenyewe nuksi ukiongezea hilo la kwako si balaa ? I like good, odorless, beautiful things mazee.