Demu wangu mpya anatema cheche

Yaani ni mpya halafu ananuka hivyo.Je upya ukiisha sio ndio utakuwa hupumui kabisa. Labda na wewe ni unatoa kikwapa otherwise ningekuwa mm ningeendelea kuchagua kilicho bora bana ebo. Maisha yenyewe nuksi ukiongezea hilo la kwako si balaa ? I like good, odorless, beautiful things mazee.
 
Pole ndugu. Hiyo ni kawaida ya binadamu, kwa upande wa kwapa anaweza kutumia limao atakuwa analikata anasungua tu kwapani asubuhi na jioni, mdomoni awaone madaktari na kwa upande wa machine kwanza apalilie magugu yote, ajitahidi kunawa vizuri kwa kutumia maji ya uvugu vugu na sabuni ananawa tu hadi ndani kwa kutumia kidole, kila mkimaliza shughuli ahakikishe ananawa vizuri maana zile shahawa zako nazo ninaweza kuchangia kuongeza harufu kama atalala bila kunawa hadi asubuhi.

Mwanamke mazingira baba asikwambie mtu.
 
Baada ya kusota kwenye benchi la mapenzi kwa muda wa kama miezi minne na nusu, baada ya kupigwa kibuti na demu niliyempenda sana, hatimaye mwezi uliopita nimepata mwali mpya.
My sweet mwali ananipenda kwa dhati, nasema hivi kutokana na vile alivyo commited kwangu.
Anafanya kila kitu ambacho mwanamke bora inabidi amfanyie mumewe.
Tatizo huyo mwenzangu ana harufu kali sana ya kinywa, kwapa na mashine..
Hata kama ametoka kuoga muda huohuo na kupiga mswaki, harufu kali haimuishi wala kumpungua.
Nimsaidieje? Maana chafya zitaniua mwana wa mwenzenu.

Mupe pipi ya kijiti banaaaa...
 
Babu una moyo... Nadhani kukaa benchi muda mrefu kumekufikisha level mbaya man....
 
mkuu kuna tea bags like dawa ya ng'e anayotoa bibie, sijui jina lake hasa lkn kama vipi mpeleke baharini akaoge maji ya chumvi nayo hutuliza kidogo.... hata hivyo mapenzi uchafu mtu wangu....
 
Best kama ni utani basi umefunika na kama uko serious. Nenda kwa kiongozi wako wa dini, funga ndoa halali naye acha zinaa halafu umvumilie katika shida na raha. Ndo maisha ya ndoa hayo. Na cheche zikiendelea mwoneni Daktari!

kaka fuata haya ni mazuri sana....
 
Darsa zuri. Ila afunge ndoa sasa, anatuharibia dada zetu kwa uzinzi...
Ni kweli kunabinadamu wameumbwa na hali kama hiyo.....wapo wengi tuu ata apige mswaki mara mia domo kunuka ushuzi wa bubu sikia....mdomoni sijui ila kwapa hilo awe analisugua kwa ndimu kila siku asubuhi mchana jioni au akama akiona shida awe anasugua usiku kabla ya kulala......kuhusu huko kwa bibi ni hivi ndio kuna ile harufu natural inayoleta nakshi na mwamko wa mpaenzi na kuna ile harufu inayotokana na mrundikano wa uchafu hummooo kwenye kishimo kile ANUNUE DETTO YA MAJI.......KISHA AKIENDA KUOGA AAAAH......tene achukue ndoo nzima ya maji achanganye na detto aende bafuni shughuli iwe moja kumuosha bibi tuu...... SHURTIIII KILE KIDOLE CHAKE CHA KATI KIINGIE KUNAKOO MACHINE AFANYE KAMA ANACHOKONOA taratibu akikitoa kidole kile kitakua na UTOKO mweupe ka mtindi ...aingize kidole na kutoa akioshe kidole ndo aingize tena kama mara 5...6...7...YANI Amake sure akiingiza kwa mara ya mwisho kidole chatoka bila UTOKO ULE.....akifanya hivo kila siku aaaaah kunani tena harufu itapungua mwisho itaisha kabisa na utaingia chumvini kwa raha zakooo ati.....MDOMO APIGE MSWAKI KUTWA KILA AKITOKA KULA NA AWE ANATUMIA MOUTH WASHER.MOUTH SPRAY NA BIG JII BAZOKA.......UTAFURAHIA MCHEZO.
 
quote_icon.png
Originally Posted by vkeisy2006
Ni kweli kunabinadamu wameumbwa na hali kama hiyo.....wapo wengi tuu ata apige mswaki mara mia domo kunuka ushuzi wa bubu sikia....mdomoni sijui ila kwapa hilo awe analisugua kwa ndimu kila siku asubuhi mchana jioni au akama akiona shida awe anasugua usiku kabla ya kulala......kuhusu huko kwa bibi ni hivi ndio kuna ile harufu natural inayoleta nakshi na mwamko wa mpaenzi na kuna ile harufu inayotokana na mrundikano wa uchafu hummooo kwenye kishimo kile ANUNUE DETTO YA MAJI.......KISHA AKIENDA KUOGA AAAAH......tene achukue ndoo nzima ya maji achanganye na detto aende bafuni shughuli iwe moja kumuosha bibi tuu...... SHURTIIII KILE KIDOLE CHAKE CHA KATI KIINGIE KUNAKOO MACHINE AFANYE KAMA ANACHOKONOA taratibu akikitoa kidole kile kitakua na UTOKO mweupe ka mtindi ...aingize kidole na kutoa akioshe kidole ndo aingize tena kama mara 5...6...7...YANI Amake sure akiingiza kwa mara ya mwisho kidole chatoka bila UTOKO ULE.....akifanya hivo kila siku aaaaah kunani tena harufu itapungua mwisho itaisha kabisa na utaingia chumvini kwa raha zakooo ati.....MDOMO APIGE MSWAKI KUTWA KILA AKITOKA KULA NA AWE ANATUMIA MOUTH WASHER.MOUTH SPRAY NA BIG JII BAZOKA.......UTAFURAHIA MCHEZO.
mhhh... MSALABA HUO...!!
 
Yaani ni mpya halafu ananuka hivyo.Je upya ukiisha sio ndio utakuwa hupumui kabisa. Labda na wewe ni unatoa kikwapa otherwise ningekuwa mm ningeendelea kuchagua kilicho bora bana ebo. Maisha yenyewe nuksi ukiongezea hilo la kwako si balaa ? I like good, odorless, beautiful things mazee.
Haaaaaa ha haaaa jamani mnanivunjia mbavu zangu mwenzenu, kwa hiyo anatema kama beberu, au samaki alieanza kuoza? Aghrrrr muogeshe na maji ya ukoko wa ugali ni dawa, mh sipati picha akiingia chmvn sindio atakohoa to death.
 
Pole ndugu. Hiyo ni kawaida ya binadamu, kwa upande wa kwapa anaweza kutumia limao atakuwa analikata anasungua tu kwapani asubuhi na jioni, mdomoni awaone madaktari na kwa upande wa machine kwanza apalilie magugu yote, ajitahidi kunawa vizuri kwa kutumia maji ya uvugu vugu na sabuni ananawa tu hadi ndani kwa kutumia kidole, kila mkimaliza shughuli ahakikishe ananawa vizuri maana zile shahawa zako nazo ninaweza kuchangia kuongeza harufu kama atalala bila kunawa hadi asubuhi.

Mwanamke mazingira baba asikwambie mtu.
Cecy, kumbuka kikwapa ni ugonjwa, na hiyo harufu inatokea tumboni, hata akioga anawe vizuri haisaidii. Anachotakiwa kufanya nikwenda kutibiwa tu, sisi tulishakua na house maid wetu alikua akitoka bafuni kuoga huwezi ingia bafuni kunavyo nuka na bado yeye pia akikupitia hapo utajuta, so cha muhimu hapo nikutibiwa apewe vidonge ameze, mdomoni atapewa mouth wash, na ushauri zaidi watampatia. JESUS IS MY HOME BOY.
 
kula chumvi uzoee harufu...
Mh bujibu unataka kutapisha watu, ulisha skia samaki alie haribika? Niambie wewe unaweza weka pua? Ngoja nikwambie hata sisi wa dada tuna tabu utakuta unasukwa nywele na mtu anaetema cheche kwa mashine yake, kuna saa inabidi ugeukie upande wake pua yako inakua katikati ya mapaja yake ili akusuke nyuma. My friend mbona ndo utajua urembo lazima urembeke utajuta.
 
Darsa zuri. Ila afunge ndoa sasa, anatuharibia dada zetu kwa uzinzi...
Hapana haitakiwi kunawia detol yamaji, wanawake waharuhusiwi kunawia detol ya maji kisayansi, atakua ana solve problem moja akiwa ana create ingine, mwanamke unapo nawia detol inafanya mishipa ya maeneo kukata stim ya ku do, so atakosa ham kabsaa ya kumpa mchumba haki yake, kikwapa ni ugonjwa na unatibika aende hospital apewe dawa na ajitahidi kua msafi kila wakati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom