Demu baya halafu linaringa!!!

Demu baya halafu linaringa!!!

Muuza Sura

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,985
Reaction score
1,353
nimemind sana mtoto mkali ananitabasamia halafu rafiki baya limenibania linamwambia aachane na mimi halafu limeniangalia kwa pozi!hivi ni kweli midemu mibaya inaringa au ni wivu tu kwasababu hawatokewi?nimemind sana leo....
 
mmmh, we nshakushtukia ni nani, thread kama hii ilishakuja hapa umeamua tu kuileta kwa style ingine
 
mmmh, we nshakushtukia ni nani, thread kama hii ilishakuja hapa umeamua tu kuileta kwa style ingine

ameichakachua thread yangu naona..
muwe mnatazama post za zamani kabla hamja post nyingine
 
Taadab'!

Mbaya wewe unaweza kumuumba kama huyo?
 
ameichakachua thread yangu naona..
muwe mnatazama post za zamani kabla hamja post nyingine

nimejizungumzia kilichonitokea mkuu kwahiyo hata muda wa kucheck ya zamani haukuwepo!
 
kuna likiwanda likubwa huko Japani linatengeneza magari aina ya Toyota.....labda ungejaribu kuwaambia wakutengenezee wa kwako....inawezekana
 
ubaya au uzuri is a very relative term. kuna mwenzio huko halali wala hanywi maji cozakiangalia glasi anauona huyo unayemuita mbaya! kalaghabaho!
 
Wanawake wabaya hivi huwa hawajitambui? Wengi wao huwa wanajisikia sana!!!
 
mmmh, we nshakushtukia ni nani, thread kama hii ilishakuja hapa umeamua tu kuileta kwa style ingine

Taadab'!

Mbaya wewe unaweza kumuumba kama huyo?

We kweli unachekesha kwanza lugha umetumia mbaya sana unaonyesha na wewe ni m-baya sana eti m-baya umemuumba wewe?!

Tatizo umeuzisha sana sura.

kuna likiwanda likubwa huko Japani linatengeneza magari aina ya Toyota.....labda ungejaribu kuwaambia wakutengenezee wa kwako....inawezekana

Mhhh, umewaudhi akina Dada/Mama wa JF.. Waombe radhi Bana!
 
ubaya au uzuri is a very relative term. kuna mwenzio huko halali wala hanywi maji cozakiangalia glasi anauona huyo unayemuita mbaya! kalaghabaho!
Hapa unafananisha mapenzi na uzuri!
Mapenzi na uzuri ni vitu viwili tofauti!
Uzuri ni uzuri tu, mwanamke mbaya anaoekana mbaya!! Na mzuri anaoneka mzuri!! Kwenye kupenda ndiyo ishu yako ya relative term inaingia!
 
Back
Top Bottom