Wanasiasa wa upinzani wasitutanie. Sisi hatuhitaji katiba. Lakini na wanasiasa wa chama tawala wasitutanie. Sisi tunadai umeme na maji, pamoja na kupungua kwa bei za bidhaa muhimu kama vile mafuta ya kula na yale ya kuendeshea mitambo. Sasa katika hao wanasiasa wa upinzani na wa chama tawala, anayejua anadaiwa hivyo vitu ajiandae kuwajibishwa
Sasa unapinga nini? Huko kudai umeme, na maji ndio de,okrasia yenyewe. Yaani demokrasia inakupa nafasi ya kudai haki yako au hitaji lako toka kwa serikali au kiongozi. Bila demokrasia hiyo nafasi ya kudai huna! Kwani nyie wenzetu akili za kufikiri mmeweka kwenye chumba gani cha giza pale Lumumba?Wanasiasa wa upinzani wasitutanie. Sisi hatuhitaji katiba. Lakini na wanasiasa wa chama tawala wasitutanie. Sisi tunadai umeme na maji, pamoja na kupungua kwa bei za bidhaa muhimu kama vile mafuta ya kula na yale ya kuendeshea mitambo. Sasa katika hao wanasiasa wa upinzani na wa chama tawala, anayejua anadaiwa hivyo vitu ajiandae kuwajibishwa